ROBERT MICHAEL
JF-Expert Member
- Oct 23, 2012
- 5,054
- 2,858
Minafiki inajiona mijitu ya maana sana, ungeuruka huu uzi kungekuwa na shida gani.Walevi mnawafatilia Kila siku ila wao hawana na habari zenu.Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.
Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.
Dhambi zao wengi hai ni wanafiki wa hali ya juu kabisa.Achana naye huyooo,,,,,
Wao wanaona dhambi yetu ya ulevi
Wakati wao wana dhambi nyingi sana kuliko zetu
π€£π€£π€£Inabidi ufe huku maini na figo vikiwa nyang'anyang'a kwa kvant na konyagi mpaka Yesu anakutolea mfano kwa wengine kwa kukusimamisha na kuwauliza hivi; nikimsamehe dhambi huyu ambaye maini yake yapo nyang'anyang'a kwa ulevi au huyu ambaye amejifia na maini yake yakiwa mazima kabisa, je ni yupi atanipenda zaidi?
Wote tunamjibu, huyo ambaye hana maini.
Mimi binafsi nisipokaa kaunta nasinziaNini kinakufanya upapende hapo kaunta?
Mimi sio mnywaji wa pombe nitayajuaje na hata kama ningekuwa mnywaji siwezi chomekewa bill kizembe . lazima nijue kiasi nilichokunywaKumbe mambo ya bar huyajui wewe sio
Tunaokaa kaunta Huwa hatulewi kiasi hichoKaunta pana raha, shida inaanza ukishalewa yani kile kiti unakiona kama ghorofa....
Ukilewa unaweza ambiwa umekunywa bia kumi kumbe Tisa ,,,,,Mimi sio mnywaji wa pombe nitayajuaje na hata kama ningekuwa mnywaji siwezi chomekewa bill kizembe . lazima nijue kiasi nilichokunywa
Please embu nieleze wanawazulumu vipi au mkishaingia ndani bar akili hazifanyi tena kazi
Muulize mchepuo wako. Wewe ndio walewale tu huna lolote katika karne ya 21 unakusudia zinaa humu. Wenzio wanataka kwenda kuishi kwenye mwezi na sayari ya Mars wewe unajisifia zinaa. Limbukeni na punguani wa head wewe
kumbe navamia πππ nitaomba mkeka barTunaokaa kaunta Huwa hatulewi kiasi hicho
Mzigo sijaupata mpaka leo. Mkuu wapi nimesema kuwa nafanya kazi kwenye NGO?Dogo umepata mzigo wako uliouacha kwenye gari? We sio hadhi yangu, nilikuona kule kwenye picha uliyotupia kwenye uzi wa Bujiji. Umri wako ni sawa na binti yangu Gifz. Siwezi ongea nawe. We fanya kazi ya kutawadha vikongwe na kuuza condom kwenye ile NGO unavyofanya kazi.
Kaa KAUNTAKaunta raha sana, sema mademu wengi wa kaunta huwa ni wa mwenye bar au manager
ulijuaje ni chungu rafiki?Malevi bwana, huwaga yanajionaga ni majitu yenye maana na yanafanya kitu cha maana kweli.
Dhambi ni mbaya na inaleta utumwa. Majitu yanakunywa mavitu machungu. Wanajua kabisa kwamba hayo mavitu machungu yanaharibu maini yao, wengine wanajinyea baada ya kunywa hayo madude lakini bado wanayangangania na kuyaona ya maana. Mungu awasaidie kwa kweli.