Unajua mwenyewe malaika msafi usie na doa, mbingu iko kwa ajili yako, [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Na ndio siwezi kuwa, kwani nimefanyaje mimi!? [emoji23]
Ndio shida ya kuvuta bangi ndani ya quaresma na ramdhani.. Itabidi vijana wakufunge kamba kwanza utulize wenge. [emoji23]Unajua mwenyewe malaika msafi usie na doa, mbingu iko kwa ajili yako, [emoji23][emoji23][emoji3][emoji3][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ni Maamuzi[emoji28]Na kujenga ni nini?
We mtoto[emoji3064][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha hapa mnooo
Kna mtu aliwahi nambia "wee ukiwepo mbinguni mie ntaandamana na nitajua hiyo mbingu ya mchongo sio halisia" nilicheka mbavu cna.
Jaman mie nshajipanga kwa safar ya jehanam, tena nitakua ndo kuni enyewe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hakusoma nilichoandika akaelewa?Mkuu wacha kubumbulua[emoji23][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika zile 7 ataenda mbingu ipi!? [emoji23] Au ataenda ya to ze infinity kabisa [emoji23][emoji1787]
Asiyeelewa haeleweshwi, nikimuelewesha nitakuwa sielewi mimiHakusoma nilichoandika akaelewa?
Mueleweshe basi[emoji28]
Bujibuji Simba Nyamaume hivi ndo wewe ulileta Mkeka WA ajali.ukapewa business card ukaitwankwenda kutengeneza gari..ukaenda ongea na mwenye gari ndondocha..akakupa Hela ya kumlipa bodaboda 50,000??Jamani kumbe huwa nawaziwa na mrembo kama wewe. Bujibuji Simba Nyanaume uliyemuona ndiye halisi
Unione Mara Ngapi Sasa We MUTU.[emoji23]
Uko na muzee.
πππUko na muzee.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Tumuache alivyo...Asiyeelewa haeleweshwi, nikimuelewesha nitakuwa sielewi mimi
Tumuache alivyo[emoji23]
Tumetokelezea, nashukuru hujanikata. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na Mimi nimeweka picha leo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumetokelezea, nashukuru hujanikata. [emoji23][emoji23]
Nami wasinisumbue picha nishaweka[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Tumeweka ya pamojaNami wasinisumbue picha nishaweka[emoji23]
Na wewe nikupeleke? Niliambiwa yule XXXX (usimwite ndondocha) anahitaji marafiki wengi wa kubadilishana naye mawazo, kuna posho nzuri tu mbona inatolewa.Bujibuji Simba Nyamaume hivi ndo wewe ulileta Mkeka WA ajali.ukapewa business card ukaitwankwenda kutengeneza gari..ukaenda ongea na mwenye gari ndondocha..akakupa Hela ya kumlipa bodaboda 50,000??
Isije ikawa umeruma picha yako ya x-rayTumeweka ya pamoja