Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

We mtoto[emoji3064]
Neema ya Mungu bado ipo.
 
Bujibuji Simba Nyamaume hivi ndo wewe ulileta Mkeka WA ajali.ukapewa business card ukaitwankwenda kutengeneza gari..ukaenda ongea na mwenye gari ndondocha..akakupa Hela ya kumlipa bodaboda 50,000??
Na wewe nikupeleke? Niliambiwa yule XXXX (usimwite ndondocha) anahitaji marafiki wengi wa kubadilishana naye mawazo, kuna posho nzuri tu mbona inatolewa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…