Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] umenichekesha hapa mnooo

Kna mtu aliwahi nambia "wee ukiwepo mbinguni mie ntaandamana na nitajua hiyo mbingu ya mchongo sio halisia" nilicheka mbavu cna.

Jaman mie nshajipanga kwa safar ya jehanam, tena nitakua ndo kuni enyewe. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
We mtoto[emoji3064]
Neema ya Mungu bado ipo.
 
[emoji56]
JamiiForums302485409.jpg
 
Bujibuji Simba Nyamaume hivi ndo wewe ulileta Mkeka WA ajali.ukapewa business card ukaitwankwenda kutengeneza gari..ukaenda ongea na mwenye gari ndondocha..akakupa Hela ya kumlipa bodaboda 50,000??
Na wewe nikupeleke? Niliambiwa yule XXXX (usimwite ndondocha) anahitaji marafiki wengi wa kubadilishana naye mawazo, kuna posho nzuri tu mbona inatolewa.
 
Back
Top Bottom