Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Na sisi tunaofanana na emoji tunaweza kuweka picha zetu?
 
Mkuu una maanisha nini kwani ukijiunga humu unasakwa na vyombo vya ulinzi mkuu nifungue inakuwaje mpaka tusakwe humu[emoji848]
Achana nao wasikutishe, usakwe kwa lipi?
 
Mna roho ngumu sana. Bujibuji nilijuaga ni wale wazee vijana born town..kumbe mporipori namna hii?!...[emoji2297][emoji2297]
Mlugaluga flani[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…