Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Mkuu una maanisha nini kwani ukijiunga humu unasakwa na vyombo vya ulinzi mkuu nifungue inakuwaje mpaka tusakwe humuπŸ€”
mtandao wa kijamii usiopendwa hata kidogo na watawala wa nchi hii.
Kinachowauma zaidi roho ni kuwa unamilikiwa na mzawa .
Pale mahakamani kesi dhidi ya jf za kumwaga.
Melo anapambana sana kutulinda humu .hongera kwake na mods waaminifu.
 
Du mkuu humu sio mi nilijua upo vizuri tena mambo ya kufatana ngoja niache ata niifute tu
sikushauri uiache au kuifuta , kikubwa umakini tu.
Usipende mazoea ya ajabu na kujuanajuana na watu humu , wengi ni nyoka humu.
 
kacnia, the great king of the south
here we go.....


au basi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…