Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Mie natumia snapchat napenda camera yake mengine hata siwezi..yangu ni Jf sana sana
Mbna mie hata ya camera siwezi kutumia, sijui sett ake siwezi kuweka lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kizuri hata ukikificha kinaonekana [emoji7][emoji7] macho km Presidar au mwanae ww sio kwa jicho hilo ivi ikfika jion swaumu ikikukamata jicho linakuwaje [emoji14][emoji3059]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]uwiiiih

Shauri yako
 
Mbna mie hata ya camera siwezi kutumia, sijui sett ake siwezi kuweka lol. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ohooo [emoji23][emoji23] mbona ni rahis sana . Hiyo tiktok ndio sijui hata inafananaje
 
Back
Top Bottom