Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Tunaopenda kutupia picha zetu halisi tukutane hapa

Niko timamu
Screenshot_20220203-112846_Facebook.jpg
 
yaani ugekua enzi zile niko kigori,PM yako leo ingejaaa na meseji zangu[emoji1787][emoji3526][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Ila watu wa rika lako huwa watamu sana halafu sio wasumbufu.
 
Hahaha mkuu bado naishi ghetto Ila bangi ndo nimeachana nazo na viroba havipo SIKU hizi mwendo wa Safari lager.ila.kushukuru TU bado tuko hai wote nakumbuka tulizinguana Sana kipindi nikiwa team Magufuli a.k.a lumumba buku Saba alivoingia mama akaona anionjeshe kidogo cake nitulie

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Kumbe dogo umewahi kuwa shabiki wa mboga mbogga
 
Back
Top Bottom