Jorge WIP
JF-Expert Member
- Jul 12, 2018
- 3,567
- 5,323
Umependeza
Ahsante
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umependeza
Mbona mikono imekomaa ivyo mrembo
Ahsanteee.Yeah, karibu mrembo
Slim yummy. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Ukiona huvyo ni polisi nguo zake za zamani huwa hawaachi nguo.Yako sijaona kabisaa
Slim yummy. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
UnastressMbona mikono imekomaa ivyo mrembo
Boss hy miwani ya kwenye profile picture ndo hii umevaa hapo juu ya gari?
Ni kampuni moja hiyo ni ya 2021 ya kwenye profile ni ya 2011Boss hy miwani ya kwenye profile picture ndo hii umevaa hapo juu ya gari?
Hahaha[emoji23]hapa useme ukweli tu.....mtu mbadi ulingaa sana!!
Siri ya mafaniko ni nini?
You numbers are daid
Ila watu wa rika lako huwa watamu sana halafu sio wasumbufu.yaani ugekua enzi zile niko kigori,PM yako leo ingejaaa na meseji zangu[emoji1787][emoji3526][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960][emoji2960]
Ila watu wa rika lako huwa watamu sana halafu sio wasumbufu.
Wenzenu wapo shule, nyie humu mnafanya nini ?
Kumbe dogo umewahi kuwa shabiki wa mboga mboggaHahaha mkuu bado naishi ghetto Ila bangi ndo nimeachana nazo na viroba havipo SIKU hizi mwendo wa Safari lager.ila.kushukuru TU bado tuko hai wote nakumbuka tulizinguana Sana kipindi nikiwa team Magufuli a.k.a lumumba buku Saba alivoingia mama akaona anionjeshe kidogo cake nitulie
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
Huyu mbona ana sura ya kirembo sana.Na mimi natupia ya kwangu ila nia ni kutafuta mchumba.
View attachment 2175224
Hujui kitu kwa taarifa yako Nina kazi ya kuajiriwa nzuri na pia nimejiajiri namshukuru MUNGUWenzenu wapo shule, nyie humu mnafanya nini ?
Usiteseke fatilia post zangu za nyuma na ujue sababu za kumsifia magufuli na bado NI best president kuwahi kutokeaKumbe dogo umewahi kuwa shabiki wa mboga mbogga