Tunaopitia kwenye nyakati ngumu za kiuchumi na kimaisha, tutiane moyo!

Tunaopitia kwenye nyakati ngumu za kiuchumi na kimaisha, tutiane moyo!

Mkuu inabidi ufanye andiko lingine la jinsi ya kuweza kupata hayo mazao unayokusudia kabla ya masoko.
hiyo rahisi, sitegemei mvua (drip irrigation), mbegu bora yaani F1, napima udongo maabara, mbolea na dawa za uhakika, nk...ila asante kwa ushauri ngoja niongeze malengo.
 
Sijaona Hali ngumu, nikichoona
1) kutokuwa na nidhamu na pesa
2)kutokuwa Na nidhamu ya kuwekeza (all eggs in agricultural)
3)kujali Liability kuliko mustakabali wa maisha.

Tatizo ni wewe mwenyewe.

Man Of October
Hapa mkuu. Wewe ndiyo unaishi hivyo,sasa ilete katika lugha inayoeleweka kwa mleta mada ili kumsaidia katika situation aliyonayo
 
Huwa tunawaambia hakunaga baba mwenye gari, hamuelewi, mnasema kujenga nyumba ni uoga wa maisha.
 
Eti Kwa siku 28 alitengeneza Mil 30,ujinga mtupu.

dodge
Kaamua kuwajibu
Screenshot_20200131-160521.jpeg
Screenshot_20200131-160754.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anaishi hivyo wapi mzee baba,wkt ye mwenyewe unga unga mwana.
Hapa mkuu. Wewe ndiyo unaishi hivyo,sasa ilete katika lugha inayoeleweka kwa mleta mada ili kumsaidia katika situation aliyonayo

dodge
 
Si nilisha kwambia naishi kwa shemeji niko fulltime jobless,nashinda nimeweka poumbu juu ya sofa naangalia sinema zetu masaa 24.

Vipi wewe ambae kila kitu unaulizia mara unauza bag unalotumia kwa elfu 10,mara unataka ujitolee kufundisha huko mashuleni,mara unafikiria kufanya vibarua vya kupanda miti hujakaa sawa unakuja na story za kutafuta mteja wa kununua tani 15 za hiriki,mara dar imekushinda unataka kukimbilia mkoani,kesho unakuja na story za kutafuta vibarua vya kuosha magari,hapo hapo story za forex hukosekani,yaani daah fantasies zako ni endless.

You Never walk a talk,coz u got no balls.


dodge
Haaahaaa[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Polee sana! Kwangu mimi sijaona kama upo kwenye mazingira magumu sana kuliko watu wote hapa Tz

Ukitaka kuwa na furaha tazama umejaaliwa nini?
Watu wengi hudhani mafanikio ni kuwa na pesa lah!!
Kuwa na furaha ni mafanikio pia!!
Pima mafanikio sio kwa matokeo bali kwa juhudi kiasi gani umewekeza!!!

Tambua uwezo wako kiufanisi
ukiona unachangamotohapo ndipo unatakiwa utumie akili zaidi maana kwenye kichwa chako ndipo kuna furaha yako mwenyewe

Kama jambo lipo nje ya uwezo wako acha kuumiza kichwa !!!

Mungu atakupa faraja!!!!
Mungu haupi moyo mzigo isiyoweza kuubeba!!!!
Tatizo unalopitia unaweza kulitatua!!!!
Rasilimali ulizo nazo ni mbili kubwa anazo kila binadamu!!!!!!!!
1.Akili
2.Muda

Unavyotumia rasilimali hizo ndiyo kiwango cha furaha yako kitakavyokuwa!!!!!!!!!

Watu positive huona wepesi kila penye uzito

Kukata tamaa haiwezi kukusaidia
Think about solution you will win

If you think about Problem you will encounter more problems

Furaha yako ipo mikononi mwako
maamuzi juu yako!!!

Punguza mategemeo ya msaada kutoka kwa binadam mwenzio unakwenda kuomba msaada na yeye anakwama kama unavokwma wewe!!!

Dont complain!!!!
Complaining doesnt solve a challenge
people are happy not because they are wealthier than you but they de ide to be happy

Furaha yako ipo mikononi mwako
ukiweka mafanikio yako chini ya maamuzo ya mwenzio bas umepang kushindwa kufikia malengo yako...
usiku mwema.
Hali (situations) zinaniambia nimekwishafeli, naona km situations zinanipa both public and private insults.

Real insults and I have no power to argue. Nimebaki nainamisha kichwa chini tu na kusikilizia jinsi hali inavyouma.

Mambo yanakwama mbele ya uso wangu, mbele ya macho yangu naona. Nashuhudia mwenyewe. Roho inaniuma, nalia ndani kwa ndani kama wanaume waliavyo. I smile but don't mean it, I laugh but don't mean it. Naumia. Kilio cha wanaume.

Nakwama kuanzisha projects zangu ndogo ndogo tu. PESA sina. Nimefilisika kila kitu. Uzuri sina madeni yanayonikaba shingo, lakini kodi ya pango February kesho kutwa, sijui nitalipa nini. Oohh God simama na mimi, and make me strong forever.

Maisha ya kutafuta pesa natakiwa kuanza from 0 yaani zero, with nothing on hands.

Kweli life, are you unfair like this? Are you fighting against me? Nisamehe. You are always bigger than me, forever and ever. This punishment is bigger than me, am a little bit young and old I can't handle this intense. It's huge, very huge!

Cha ajabu Akili (brain), Moyo Mkuu (big heart) na Nafsi (Self) zinaniambia big NO sijafeli. Then, nasikia furaha kwa ndani. Lakini situations halisi zinaondoa furaha yangu ghafla. Naona sina pesa, naona siwezi hata kuanzisha ki mradi kidogo tu. Sina pesa mimi.

Kwa miezi ya mwishoni mwa mwaka jana nilipoteza shambani zaidi ya sh 14,521,000 kwenye nyanya huko Dakawa Morogoro. Hizi ndio situations zenyewe. Situations zenyewe ni hali halisi, najawa hofu kuu. Naanza kupoteza confidence, japo inside myself najiona nipo strong but weak.

Ujenzi umesimama rasmi. Nimekwama pesa. It's now very official. Wapi rafiki zangu wa karibu? Wanalia hali ngumu. Dah! Mwamba nimekamatika na mdororo wa kiuchumi. Oh God, shusha malaika wako uniokoe, wewe ndiye tumaini langu pekee.

Nina asset gani mkononi? Nina gari dogo nzuri tu. It's my last option. Hii ndio risasi yangu ya mwisho. Sitaki kuifyatua bila target, lakini naona hali halisi ikinishinda nguvu. Mungu ingilia Kati wewe ndo umebaki tumaini langu la mwisho. Nakusihi Mungu Mkuu. Sitaki kupoteza hii risasi ya mwisho. Naomba mwanga wako nipo gizani.

Nikipata mil 2 ndani ya miezi 3 naweza kurudisha labda na riba kidogo, let say 2.3ml. Wapi pesa hii hupatikana? In short hakuna. Zinapatikana kwa riba kubwa sana, ambayo sitaweza kuilipa. Otherwise atokee mtu mwema Mungu kamshukia asaidie. Ila ki kawaida kawaida hell no pesa hizo mtu hupati bila riba kubwa.

All shall pass. Kweli? Sijui.

Ma chief wa JF najua kuna wengi labda washawahi kuwakuta ya namna hii. Naomba tushauriane, nyie mlitokaje jamani? Kodi za nyumba mlilipaje? Heshima ya kumiliki pesa tena mliipataje? Mlirudi vipi kwenye form kama awali?

Tutiane Moyo na ushauri, tusaidiane tafadhali, hali ni tete sana.

Mungu Mkuu.
 
Hali (situations) zinaniambia nimekwishafeli, naona km situations zinanipa both public and private insults.

Real insults and I have no power to argue. Nimebaki nainamisha kichwa chini tu na kusikilizia jinsi hali inavyouma.

Mambo yanakwama mbele ya uso wangu, mbele ya macho yangu naona. Nashuhudia mwenyewe. Roho inaniuma, nalia ndani kwa ndani kama wanaume waliavyo. I smile but don't mean it, I laugh but don't mean it. Naumia. Kilio cha wanaume.

Nakwama kuanzisha projects zangu ndogo ndogo tu. PESA sina. Nimefilisika kila kitu. Uzuri sina madeni yanayonikaba shingo, lakini kodi ya pango February kesho kutwa, sijui nitalipa nini. Oohh God simama na mimi, and make me strong forever.

Maisha ya kutafuta pesa natakiwa kuanza from 0 yaani zero, with nothing on hands.

Kweli life, are you unfair like this? Are you fighting against me? Nisamehe. You are always bigger than me, forever and ever. This punishment is bigger than me, am a little bit young and old I can't handle this intense. It's huge, very huge!

Cha ajabu Akili (brain), Moyo Mkuu (big heart) na Nafsi (Self) zinaniambia big NO sijafeli. Then, nasikia furaha kwa ndani. Lakini situations halisi zinaondoa furaha yangu ghafla. Naona sina pesa, naona siwezi hata kuanzisha ki mradi kidogo tu. Sina pesa mimi.

Kwa miezi ya mwishoni mwa mwaka jana nilipoteza shambani zaidi ya sh 14,521,000 kwenye nyanya huko Dakawa Morogoro. Hizi ndio situations zenyewe. Situations zenyewe ni hali halisi, najawa hofu kuu. Naanza kupoteza confidence, japo inside myself najiona nipo strong but weak.

Ujenzi umesimama rasmi. Nimekwama pesa. It's now very official. Wapi rafiki zangu wa karibu? Wanalia hali ngumu. Dah! Mwamba nimekamatika na mdororo wa kiuchumi. Oh God, shusha malaika wako uniokoe, wewe ndiye tumaini langu pekee.

Nina asset gani mkononi? Nina gari dogo nzuri tu. It's my last option. Hii ndio risasi yangu ya mwisho. Sitaki kuifyatua bila target, lakini naona hali halisi ikinishinda nguvu. Mungu ingilia Kati wewe ndo umebaki tumaini langu la mwisho. Nakusihi Mungu Mkuu. Sitaki kupoteza hii risasi ya mwisho. Naomba mwanga wako nipo gizani.

Nikipata mil 2 ndani ya miezi 3 naweza kurudisha labda na riba kidogo, let say 2.3ml. Wapi pesa hii hupatikana? In short hakuna. Zinapatikana kwa riba kubwa sana, ambayo sitaweza kuilipa. Otherwise atokee mtu mwema Mungu kamshukia asaidie. Ila ki kawaida kawaida hell no pesa hizo mtu hupati bila riba kubwa.

All shall pass. Kweli? Sijui.

Ma chief wa JF najua kuna wengi labda washawahi kuwakuta ya namna hii. Naomba tushauriane, nyie mlitokaje jamani? Kodi za nyumba mlilipaje? Heshima ya kumiliki pesa tena mliipataje? Mlirudi vipi kwenye form kama awali?

Tutiane Moyo na ushauri, tusaidiane tafadhali, hali ni tete sana.

Mungu Mkuu.
Kama umenisemea mimi vile, japo tofauti yangu nawe ni kwamba mimi sina hata baiskeli ya mbao na akili ime seize kabisa yaan imefunga nawaza beyond japo sijui beyond yangu ni ipi, natamani sana ningeweza kuwaza beyond my comfort zone labda ningepata namna ya kufanya. 😔
 
Back
Top Bottom