mng'ato
JF-Expert Member
- Oct 27, 2014
- 29,200
- 49,076
Mkuu sometimes unakuwa na IQ kubwa ila unashindwa kung'amua mambo madogo sana pitia hapo juu ulivyonipinga then hapa umekuja kisapoti moja ya point yangu bila kufahamu...muda mwengine ninaandika vitu sensitive kama nilichomwambia mtoa mada ila kwasababu alishaweka akiri yake kuwa positive kupokea aina ya maoni 'pole' 'yatapita' hatoelewa nilochoandika.
Man Of October
'muda mwengine ninaandika vitu sensitive kama nilichomwambia mtoa mada'.
Unajua hivyo sensitive unavyoandika kama wewe mwenyewe havijakusaidia/hauna hela ni kama unapiga kelele tu mkuu?
dodge