Tunaopitia kwenye nyakati ngumu za kiuchumi na kimaisha, tutiane moyo!

Tunaopitia kwenye nyakati ngumu za kiuchumi na kimaisha, tutiane moyo!

pole sana mkuu my hubby and I tunapita kwenye situation kama yako inatakiwa tarehe 1feb tukamuone landlord ila Mungu ni mwaminifu atafanya njia pasipo na njia

Poleni sana mkuu , heri yako ww unamsaidia hata mr mawazo anaheri maana kuna ss tunapitia hali hizo unaefikiria uko naye akupe hata moyo ndio kwanza hakuelewi kwamba huna hela


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pole sana mkuu, this shall pass too

Umepoteza mil 14, kuna watu wamepoteza mil 50, 100, 500

Umebaki na kagari kazuri tu (na afya, japo hujatuambia) , kuna watu hawana hata kiwanja cha laki 5 na hawana afya nzuri

Kubali hali yako mpya uliyonayo, hii ni hatua ya kwanza muhimu...... Kisha Anza tena, kuanza upya si ujinga
Hali (situations) zinaniambia nimekwishafeli, naona km situations zinanipa both public and private insults.

Real insults and I have no power to argue. Nimebaki nainamisha kichwa chini tu na kusikilizia jinsi hali inavyouma.

Mambo yanakwama mbele ya uso wangu, mbele ya macho yangu naona. Nashuhudia mwenyewe. Roho inaniuma, nalia ndani kwa ndani kama wanaume waliavyo. I smile but don't mean it, I laugh but don't mean it. Naumia. Kilio cha wanaume.

Nakwama kuanzisha projects zangu ndogo ndogo tu. PESA sina. Nimefilisika kila kitu. Uzuri sina madeni yanayonikaba shingo, lakini kodi ya pango February kesho kutwa, sijui nitalipa nini. Oohh God simama na mimi, and make me strong forever.

Maisha ya kutafuta pesa natakiwa kuanza from 0 yaani zero, with nothing on hands.

Kweli life, are you unfair like this? Are you fighting against me? Nisamehe. You are always bigger than me, forever and ever. This punishment is bigger than me, am a little bit young and old I can't handle this intense. It's huge, very huge!

Cha ajabu Akili (brain), Moyo Mkuu (big heart) na Nafsi (Self) zinaniambia big NO sijafeli. Then, nasikia furaha kwa ndani. Lakini situations halisi zinaondoa furaha yangu ghafla. Naona sina pesa, naona siwezi hata kuanzisha ki mradi kidogo tu. Sina pesa mimi.

Kwa miezi ya mwishoni mwa mwaka jana nilipoteza shambani zaidi ya sh 14,521,000 kwenye nyanya huko Dakawa Morogoro. Hizi ndio situations zenyewe. Situations zenyewe ni hali halisi, najawa hofu kuu. Naanza kupoteza confidence, japo inside myself najiona nipo strong but weak.

Ujenzi umesimama rasmi. Nimekwama pesa. It's now very official. Wapi rafiki zangu wa karibu? Wanalia hali ngumu. Dah! Mwamba nimekamatika na mdororo wa kiuchumi. Oh God, shusha malaika wako uniokoe, wewe ndiye tumaini langu pekee.

Nina asset gani mkononi? Nina gari dogo nzuri tu. It's my last option. Hii ndio risasi yangu ya mwisho. Sitaki kuifyatua bila target, lakini naona hali halisi ikinishinda nguvu. Mungu ingilia Kati wewe ndo umebaki tumaini langu la mwisho. Nakusihi Mungu Mkuu. Sitaki kupoteza hii risasi ya mwisho. Naomba mwanga wako nipo gizani.

Nikipata mil 2 ndani ya miezi 3 naweza kurudisha labda na riba kidogo, let say 2.3ml. Wapi pesa hii hupatikana? In short hakuna. Zinapatikana kwa riba kubwa sana, ambayo sitaweza kuilipa. Otherwise atokee mtu mwema Mungu kamshukia asaidie. Ila ki kawaida kawaida hell no pesa hizo mtu hupati bila riba kubwa.

All shall pass. Kweli? Sijui.

Ma chief wa JF najua kuna wengi labda washawahi kuwakuta ya namna hii. Naomba tushauriane, nyie mlitokaje jamani? Kodi za nyumba mlilipaje? Heshima ya kumiliki pesa tena mliipataje? Mlirudi vipi kwenye form kama awali?

Tutiane Moyo na ushauri, tusaidiane tafadhali, hali ni tete sana.

Mungu Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
'Kwa miezi ya mwishoni mwa mwaka jana nilipoteza shambani zaidi ya sh 14,521,000 kwenye nyanya'

Mtoa mada utanisamehe,kilimo kibongo bongo ni kujitafutia umasikini tu.

Samahani lakini mkuu.

dodge
Mkuu sometimes unakuwa na IQ kubwa ila unashindwa kung'amua mambo madogo sana pitia hapo juu ulivyonipinga then hapa umekuja kisapoti moja ya point yangu bila kufahamu...muda mwengine ninaandika vitu sensitive kama nilichomwambia mtoa mada ila kwasababu alishaweka akiri yake kuwa positive kupokea aina ya maoni 'pole' 'yatapita' hatoelewa nilochoandika.

Man Of October
 
mkuu October man ya Mungu mengi usitukane wakunga na uzazi ..........?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu nilochoandika sijamkufuru mungu tatizo mkuu wangu nakeambiaga sana unapenda kuwa upande wa wengi hata kama hawapo sawa jamaa ameandika uzi nakijiandaa kidaikolojia kupokea 'pole' 'yatapit'....nilochoandika ni makosa aliyofanya na anaendelea kuyafanya mpaka alipotoa hii mada nisiandike sana.

Man Of October
 
Inabidi tuulize mkuu,labda yeye anaweza kutupa experience yake namna hivyo vitu alivyosema vilivyomsaidia kumfikisha hapo alipo.

dodge
Mkuu sijafanikiwa kugusa chanell za pesa bado ila najua misingi ya pesa hata iyo ndogo niliyowai kuigusa niliiwekea misingi ambayo inanifaidisha hadi Leo.

Man Of October
 
Mkuu nilochoandika sijamkufuru mungu tatizo mkuu wangu nakeambiaga sana unapenda kuwa upande wa wengi hata kama hawapo sawa jamaa ameandika uzi nakijiandaa kidaikolojia kupokea 'pole' 'yatapit'....nilochoandika ni makosa aliyofanya na anaendelea kuyafanya mpaka alipotoa hii mada nisiandike sana.

Man Of October
inshort jamaa alijilipua kwenye kilimo cha motivation speaker akaweka mayai yote kwenye chungu kimoja then akadondokea pua ila isiwe sababu yakummanga

chamsingi anacho cha kuanzia anaweza uza pagale au gari akaanza upya

kupoteza 14m sio mchezo ndo maana hadi kesho nakataa kuwapa nafasi hawa motivation speaker

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa hio unaongelea theory zaidi sio boss?
Mkuu sijafanikiwa kugusa chanell za pesa bado ila najua misingi ya pesa hata iyo ndogo niliyowai kuigusa niliiwekea misingi ambayo inanifaidisha hadi Leo.

Man Of October

dodge
 
Back
Top Bottom