Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taratibu ndugu
Kabisa Huyu anachora watu hapa hiyo gari ya nini si apige hata ubber kama yupo miji mikubwa. Watu wanapenda solola wenzao, na hilo Pahala la nini?Nimesoma kwa umakini hadi nilipofika 'ujenzi haujaisha, nimepoteza 14m, nina gari ndogo' nikaona umeleta thread hii kuwachora wenye hali ngumu kiukweli.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]kimemtoa ontariounawekeza pesa zote hizo shabani.. ushasikia kilimo kimemtoa nani hapa bongo?
huko anakolima Masanjuka "Kapunga mbarali" kuna watu hakika kilimo kimewatoa hasa yaani ukimkuta mtu alivyochakaa na pesa anayomiliki haviendani kabisa. kweli ile kazi inahitaji kujitoa kwelikweli, masanja mjanja kamuweka mdg ake wa kike ndo anasimamia hiyo miradi nae yupo vizuri kiuchumi ila kachakaa kwelikweli ni balaa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]kale ka dogo kwa kupiga magumashi kapo vizuri kaendelee kuwadanganya akina october manEti Kwa siku 28 alitengeneza Mil 30,ujinga mtupu.
dodge
Mkuu hii cha mtoto ilizingukaga ya mapapai[emoji1787]
Hahah hio sijaiona mkuu,ilikua inaleta net profit ya sh. Ngapi?
dodge
Amen
Dogo naona unashusha nondo tuuSijaona Hali ngumu, nikichoona
1) kutokuwa na nidhamu na pesa
2)kutokuwa Na nidhamu ya kuwekeza (all eggs in agricultural)
3)kujali Liability kuliko mustakabali wa maisha.
Tatizo ni wewe mwenyewe.
Man Of October
Amen Amen Amen!pole sana mkuu my hubby and I tunapita kwenye situation kama yako inatakiwa tarehe 1feb tukamuone landlord ila Mungu ni mwaminifu atafanya njia pasipo na njia