- Thread starter
- #41
Shukran chiefKama ujenzi umekwama ina maana una jengo lisiloisha, una gari ndogo
Wewe bado kufikia kulia, labda kama sijaelewa au kuna kitu hujaongea
Fanya kitu mkuu bado una cha kufanyia
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukran chiefKama ujenzi umekwama ina maana una jengo lisiloisha, una gari ndogo
Wewe bado kufikia kulia, labda kama sijaelewa au kuna kitu hujaongea
Fanya kitu mkuu bado una cha kufanyia
Sent using Jamii Forums mobile app
Msamehe bure hajui aandikaloWewe nidhamu yako ya pesa/nidhamu ya kuwekeza imekufikisha wapi so far?
dodge
Dah acha tu.....'Kwa miezi ya mwishoni mwa mwaka jana nilipoteza shambani zaidi ya sh 14,521,000 kwenye nyanya'
Mtoa mada utanisamehe,kilimo kibongo bongo ni kujitafutia umasikini tu.
Samahani lakini mkuu.
dodge
Amen! Amen! Amen!duuuh! kweli Mungu awe upande wako na utapita nakufanikisha katika hali hiyo. ee Mwenyezi Mungu msaidie huyu mja wako! Inshallah
Sent using Jamii Forums mobile app
PoaNimesoma kwa umakini hadi nilipofika 'ujenzi haujaisha, nimepoteza 14m, nina gari ndogo' nikaona umeleta thread hii kuwachora wenye hali ngumu kiukweli.
Msamehe bure.....!mkuu October man ya Mungu mengi usitukane wakunga na uzazi ..........?
Sent using Jamii Forums mobile app
SawaKabisa Huyu anachora watu hapa hiyo gari ya nini si apige hata ubber kama yupo miji mikubwa. Watu wanapenda solola wenzao, na hilo Pahala la nini?
Aweke dhamana akakope
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana Chief!kaka hamna kitu kinachotucost watanzania kama kulazimisha maisha,kama wadau walivyokushauri,weka gari uber,weka nenda panga eneo linaloendana na uwezo wako ukitaka kaa tabata au sinza lazima ufeli na kodi ya laki 2 kama unafanya kilimo cha kisasa basi utakua ulikua unajiwekea akiba bank so kwa kutumia mzunguko wako unaweza fuatilia mkopo..pole komaa we mwanaume
Amen! Amen! Amen!Marufuku kukata tamaa milango mingine ikifungwa mwingine utafunguka wako bado haujafunguka
Hela anayo huyo. Milioni 14 imepotea shambani, ana nyumba bado haijaisha na ana gari ndogo. Nyumba ingawa haijaisha ni asset na hata gari anaweza ifanya ikamuingizia hela kiuchumi bado hajafulia kwa kweli sema tu amestuck kwa sasa hajui afanye nini.Kiingereza chote hichi umekosa kuwa na hela?kweli kiingereza bila hela ni sawa nakupiga kelele . alisema langa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana. Asante sana. Asante sanaMkuu haya maisha hayajawah kuwa straight kwa mtu yeyote kikubwa si unapumua na hauna matatizo ya kiafya
Tuendelee kupambana
Sent using Jamii Forums mobile app
PoaKiingereza chote hichi umekosa kuwa na hela?kweli kiingereza bila hela ni sawa nakupiga kelele . alisema langa
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante sana!pole sana mkuu
Pole sana kaka.Pole sana ndugu, hii ni mitihani ya dunia. Bora wewe una spirit ya upambanaji. Chukulia mwenzako nikiyeshinda kuhudhuria mahakamani kwa Civil Case mwaka mzima, wife alidanganywa na mashoga zake akaenda kudai talaka kwa sababu zisizo na mbele wala nyuma. Hii imepelekea ninepoteza ajira nzuri kwani ni suala lililonijaza stress nikashindwa kufanya kazi kama zamani na ilipokuja kupunguza wafanyakazi nikawa chaguo LA kwanza. Kilichoniokoa ni kwamba nina pa kuishi ambapo yule Malaya alitaka tupauze. Almost nipo kwenye zero ingawa still najua nitasimama tena.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ubarikiwe sanaHela anayo huyo. Milioni 14 imepotea shambani, ana nyumba bado haijaisha na ana gari ndogo. Nyumba ingawa haijaisha ni asset na hata gari anaweza ifanya ikamuingizia hela kiuchumi bado hajafulia kwa kweli sema tu amestuck kwa sasa hajui afanye nini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Poa[emoji819]️Gari moja ndogo, my last option [emoji848]
[emoji819]️Mungu, ndo tumaini pekee lililobaki [emoji848]
Usimchezee Mungu wetu mkuu muweza wa yote, uza kila ulichonacho wape maskini kisha umfuate... usiku utapokwisha.
Nakumbuka ilikua milion 50!.unapigiwa hesabu kali za kila mpapai unazaa mapapai 20..kutoka papai had papai sentimita kadhaa eka moja mamapai km yote[emoji1787]!
Ss usiombe upepo mdogo tu ukanyemelea shamba lako[emoji1787][emoji1787][emoji1787]fyeee!
Ninyi ndo miongoni mwa wa bongo mtu anamweleza hali yake ya kimaisha halafu yeye anamwambia Hiyo ya kwako mbona cha mtoto? utafikiri shida ni mashindanoSijaona Hali ngumu, nikichoona
1) kutokuwa na nidhamu na pesa
2)kutokuwa Na nidhamu ya kuwekeza (all eggs in agricultural)
3)kujali Liability kuliko mustakabali wa maisha.
Tatizo ni wewe mwenyewe.
Man Of October