Umewahi kuona kamanda wa mgambo wa kijiji alafu mleviiiiiii wa mataptap, mwembambaaaaaaaaa hana afya kabisa, ana mindevu fulani michafu, mabuti yamechoka yameshonwa shonwa kila mahali ila kayapiga kiwi fresh, kavaa uniform ila alivyokondeana lile shati la mgambo limekuwa kama mfuko wa mashineni limefika kwenye magoti? Ndio huyu pimbiWewe ni kamanda?
Mimi nilijua ni huyo wa kushotoUmewahi kuona kamanda wa mgambo wa kijiji alafu mleviiiiiii wa mataptap, mwembambaaaaaaaaa hana afya kabisa, ana mindevu fulani michafu, mabuti yamechoka yameshonwa shonwa kila mahali ila kayapiga kiwi fresh, kavaa uniform ila alivyokondeana lile shati la mgambo limekuwa kama mfuko wa mashineni limefika kwenye magoti? Ndio huyu pimbi
Sasa wewe umemjua!Mimi nilijua ni huyo wa kushotoView attachment 1823426
Akili zao zimewaruka hawaelewi washike lipi, Kuna taga mmoja ameanzisha uzi eti ni habari njema mtuhumiwa amevaa suti na amerudishiwa walinzi.Acha wenge wewe mpuuzi, CHADEMA ndio waliomkamata? Wana gereza? acha kurupoka ujinga wewe, pumbavu kabisa, naona MATAGA hamuwezi kukalisha makalio yenu mkatulia kila saa mnawataka tu CHADEMA
Haki Uhuru na Maendeleo ya watu ndio Sera mama anaitekeleza kwa sasa viva Chadema. Chadema inaongoza watu, Mataga wanaiga na kutawala.Hii ni sababu za kishamba kuwekeza chuki kwa mtu aliyefanya kazi yake kutetea watu wa Hai na kudhibiti viongozi wasiofaa.
Huyu mwanaCCM ambae Makamanda wenzangu wamemwagia chuki kubwa akimaliza haya majanga na kurudi uraiani Makamanda tutavuna aibu kubwa.
AiseIla jamaa alifanikiwa kumdhibiti ndugu mwenyekiti.
Kudos sabaya.
Kwa kutumia Kituo cha Polisi.Ila jamaa alifanikiwa kumdhibiti ndugu mwenyekiti.
Kudos sabaya.
Kwahiyo chadema ni washauri wakisiasa wa madam Samia suluhu Hassan.acha unafiki peleka malalamiko kwa muhusikaHii ni sababu za kishamba kuwekeza chuki kwa mtu aliyefanya kazi yake kutetea watu wa Hai na kudhibiti viongozi wasiofaa.
Huyu mwanaCCM ambae Makamanda wenzangu wamemwagia chuki kubwa akimaliza haya majanga na kurudi uraiani Makamanda tutavuna aibu kubwa.
Kumbe Chadema wana polisi, wana dola, wana mahakama?Hii ni sababu za kishamba kuwekeza chuki kwa mtu aliyefanya kazi yake kutetea watu wa Hai na kudhibiti viongozi wasiofaa.
Huyu mwanaCCM ambae Makamanda wenzangu wamemwagia chuki kubwa akimaliza haya majanga na kurudi uraiani Makamanda tutavuna aibu kubwa.
Kwani ameshtakiwa na chama!!!!!????Hii ni sababu za kishamba kuwekeza chuki kwa mtu aliyefanya kazi yake kutetea watu wa Hai na kudhibiti viongozi wasiofaa.
Huyu mwanaCCM ambae Makamanda wenzangu wamemwagia chuki kubwa akimaliza haya majanga na kurudi uraiani Makamanda tutavuna aibu kubwa.
Ujinga nao ni sifa!Hii ni sababu za kishamba kuwekeza chuki kwa mtu aliyefanya kazi yake kutetea watu wa Hai na kudhibiti viongozi wasiofaa.
Huyu mwanaCCM ambae Makamanda wenzangu wamemwagia chuki kubwa akimaliza haya majanga na kurudi uraiani Makamanda tutavuna aibu kubwa.