Tunaosimama na Sabaya hatuipingi Serikali, tunapambana dhidi ya dhuluma na uonevu kwa waliojitolea kupambania Taifa

Tunaosimama na Sabaya hatuipingi Serikali, tunapambana dhidi ya dhuluma na uonevu kwa waliojitolea kupambania Taifa

Mbona mtanyooka tu si mlikuwa juu ya Sheria mama anaupiga mwingi mpak Sasa anaongoza possession 80 shots on target 20 uku mataga hawaelewi wasifie na kusujudu au wawe wapinzani Kudadeki ndio kwanza mwezi 3 picha lipo kweny maintrodakseniiiii washararaaaa
 
Huyo Pinto Pius anatakiwa kuiacha mahakama iamue, kama amekamatwa ni vizuri afungwe mdomo ili kelele zake zisijekuingilia maamuzi ya mahakama.

Halafu unavyosema Sabaya aliwekwa Hai kwa "kazi maalum" sasa ndio analipa matunda ya hiyo kazi maalum ya kishetani mliyompa, mwambie na huyo Pinto wako ajue aache kiherehere.
Kazi kwa mfano ya kuvunja mtandao wa kupika na kusambaza gongo kwa kiwango cha kiwanda, kukamata watengenezaji na wauzaji wa fedha bandia, kukamata wadhulumu wa ardhi za umma na wamama wajane..ndio unasema ni kazi za kishetani?
 
Kwa hiyo alipewa kazi maalumu ya kutesa watu, kama hampendi upinzani si mrudishe nchi kwenye chama kimoja!

Tukisema uongozi wa mwendazake ulikuwa uongozi wa uonevu na kibaguzi mtakataa? Watu wakifurahia huyo mtu kuondolewa kati ya wengi waliokuwa wakiumizwa mnashangaaa?

Mungu aendelee kuwapiga nyundo za kichwa wote wanaonea wengine na kuwanyima haki zao!

Sabaya anastahili anayopitia! Karma is a bitch!

Heko Mama Samia, tunakuamini, na tunakupenda na tunaamini utaleta amani na utulivu na umoja tena ambao ulianza kutoweka nchini!
 
Peleka mashahidi mahakamani wewe acha longolongo na ujinga hapa
 
Kuna watu tele wanaamini sabaya katolewa kafara kuwafurahisha wapinzani. Wenye kutoa kafara kwa kawaida ni wachawi. Magufuli kufa wengi tunaamini ni mapenzi ya mungu ila inapotokea mrithi wake kuanza kuwaandama vijana wake kama vile kapindua serikali inapoteza imani...
Majimbo yalikombolewa na NEC siyo Sabaya. Ingekua ni Hai tu imekombolewa ingeleta maana.
 
Kazi kwa mfano ya kuvunja mtandao wa kupika na kusambaza gongo kwa kiwango cha kiwanda, kukamata watengenezaji na wauzaji wa fedha bandia, wadhulumu wa ardhi za umma na wamama wajane..ndio unasema ni kazi za kishetani?
Acha porojo mkuu Kama kukamatwa kwa sabaya kumemega ugali wako basi na wewe ulitakiwa uwe pembeni yake huko alipo.

Sabaya alikua gaidi,mwizi,jambazi,kibaka Leo hii et unasema alikua mtetezi wa wananchi..njaa haiui kinachoua ni hofu ya kufa na njaa tulia dawa iwaingie shenzii!!
 
Kazi kwa mfano ya kuvunja mtandao wa kupika na kusambaza gongo kwa kiwango cha kiwanda, kukamata watengenezaji na wauzaji wa fedha bandia, wadhulumu wa ardhi za umma na wamama wajane..ndio unasema ni kazi za kishetani?
Hili la kupora watu pesa, kubaka wanawske unalisemaje?
 
Hata wewe inaonekana umetumwa kazi maalum hapa jamvini. Kwa kuwa wewe pia hupendi haki ndo maana unamtetea mtu katili. Unajitoa tu ufaham. Wewe pia ni miongoni mwa hao kindakindaki.
 
We kenge jinga sana. Bado wewe. Ukiingia kwenye 18 tu unakamatwa. Kwa maovu aliyofanya Sabaya unapata wapi ujasiri wa kuja hapa kutupigia kelele?
Kenge mwenyewe..Hebu toa mfano sabaya kafanya nini kibaya. Mnabwabwaja tu hamsemi kosa lake kwa kua kawadhibiti ufisadi wenu. Sana mtasema kampigilia mtu msumari mguuni..kwa kisa gani hamsemi.
 
Huyo Pinto Pius anatakiwa kuiacha mahakama iamue, kama amekamatwa ni vizuri afungwe mdomo ili kelele zake zisijekuingilia maamuzi ya mahakama.

Halafu unavyosema Sabaya aliwekwa Hai kwa "kazi maalum" sasa ndio analipa matunda ya hiyo kazi maalum ya kishetani mliyompa, mwambie na huyo Pinto wako ajue aache kiherehere.
Kazi maalum ya ujambazi, kuua na kudhalilisha? Ni kinga gani huyo alie mpatia kazi alimuwekea? Na akisha fikishwa mahahakamani, mwenye mamlaka ya kusema kaonewa au hajaonewa ni mahakama. Sasa na huyo kiherehere acha akae huko.
 
Waliyobakwa na kuporwa mbona wanaingia mitini kutoa ushahidi? Tusubiri kuona labda wanajipanga?!
Unhekuwa na akili njema ungebaki nyutro, kuna vitu amnavyo mwanadamu hufanya na mtu mwingine hawezi kuujua ukweli isipokuwa ueye na mtendewa, ungesubiri ushahidi na hitimisho la kesi ndipo imtetee, kwani wakati wanabakana ulikuwepo?
Wakati anavamia maduka ulikuwepo?
Ndio maana takukuru wanaziita ni tuhuma na sio hukumu.
Tuliza kijambio hadi mwisho wa kesi
 
Kuna watu tele wanaamini sabaya katolewa kafara kuwafurahisha wapinzani. Wenye kutoa kafara kwa kawaida ni wachawi.
Magufuli kufa wengi tunaamini ni mapenzi ya mungu ila inapotokea mrithi wake kuanza kuwaandama vijana wake kama vile kapindua serikali inapoteza imani.
Sabaya wanaccm wanaamini aliwekwa jimbo la hai kwa kazi maalum aliyoitekeleza vizuri hadi kulikomboa jimbo toka kwa mabwanyenye waliyolitumia kuendesha ufisadi na ukwepaji kodi na kutaka kuabudiwa na raia wa kawaida.
Kuenguliwa kwake na kuburuzwa mahakamani kwa namna ya kudhalilishwa mara baada ya kifo cha magufuli ieleweke imeleta maudhi kwa wafuasi kindakindaki wa magufuli.
Jambo la kuudhi ni hizi habari kama ni kweli za kukamatwa mmoja wa vijana wanaomtetea sabaya Pinto Pius kwenye mitandao.
Kama Pinto Pius anazuiliwa kwa kusema sabaya kaonewa basi aachiwe mara moja kwa sababu kusema hivyo sio kosa la kukamatwa raia. Kama kuna kosa lingine inafaa kuwatoa mashaka watu wenye kusema sabaya anaonewa kwa sababu ni haki yao kusema wanaloamini.
Inabidi akaonyeshe ni namna gani kaonewa. Huenda anaujua ukweli zaidi
 
Kazi kwa mfano ya kuvunja mtandao wa kupika na kusambaza gongo kwa kiwango cha kiwanda, kukamata watengenezaji na wauzaji wa fedha bandia, wadhulumu wa ardhi za umma na wamama wajane..ndio unasema ni kazi za kishetani?
Acha ujinga
 
mbona mtanyooka tu si mlikuwa juu ya Sheria mama anaupiga mwingi mpak Sasa anaongoza possession 80 shots on target 20 uku mataga hawaelewi wasifie na kusujudu au wawe wapinzani Kudadeki ndio kwanza mwezi 3 picha lipo kweny maintrodakseniiiii washararaaaa
[emoji23]
 
Back
Top Bottom