Ninja assasin
JF-Expert Member
- Jul 2, 2018
- 2,512
- 5,848
Kazi kwa mfano ya kuvunja mtandao wa kupika na kusambaza gongo kwa kiwango cha kiwanda, kukamata watengenezaji na wauzaji wa fedha bandia, kukamata wadhulumu wa ardhi za umma na wamama wajane..ndio unasema ni kazi za kishetani?Huyo Pinto Pius anatakiwa kuiacha mahakama iamue, kama amekamatwa ni vizuri afungwe mdomo ili kelele zake zisijekuingilia maamuzi ya mahakama.
Halafu unavyosema Sabaya aliwekwa Hai kwa "kazi maalum" sasa ndio analipa matunda ya hiyo kazi maalum ya kishetani mliyompa, mwambie na huyo Pinto wako ajue aache kiherehere.
Majimbo yalikombolewa na NEC siyo Sabaya. Ingekua ni Hai tu imekombolewa ingeleta maana.Kuna watu tele wanaamini sabaya katolewa kafara kuwafurahisha wapinzani. Wenye kutoa kafara kwa kawaida ni wachawi. Magufuli kufa wengi tunaamini ni mapenzi ya mungu ila inapotokea mrithi wake kuanza kuwaandama vijana wake kama vile kapindua serikali inapoteza imani...
Acha porojo mkuu Kama kukamatwa kwa sabaya kumemega ugali wako basi na wewe ulitakiwa uwe pembeni yake huko alipo.Kazi kwa mfano ya kuvunja mtandao wa kupika na kusambaza gongo kwa kiwango cha kiwanda, kukamata watengenezaji na wauzaji wa fedha bandia, wadhulumu wa ardhi za umma na wamama wajane..ndio unasema ni kazi za kishetani?
Hili la kupora watu pesa, kubaka wanawske unalisemaje?Kazi kwa mfano ya kuvunja mtandao wa kupika na kusambaza gongo kwa kiwango cha kiwanda, kukamata watengenezaji na wauzaji wa fedha bandia, wadhulumu wa ardhi za umma na wamama wajane..ndio unasema ni kazi za kishetani?
Kenge mwenyewe..Hebu toa mfano sabaya kafanya nini kibaya. Mnabwabwaja tu hamsemi kosa lake kwa kua kawadhibiti ufisadi wenu. Sana mtasema kampigilia mtu msumari mguuni..kwa kisa gani hamsemi.We kenge jinga sana. Bado wewe. Ukiingia kwenye 18 tu unakamatwa. Kwa maovu aliyofanya Sabaya unapata wapi ujasiri wa kuja hapa kutupigia kelele?
Kazi maalum ya ujambazi, kuua na kudhalilisha? Ni kinga gani huyo alie mpatia kazi alimuwekea? Na akisha fikishwa mahahakamani, mwenye mamlaka ya kusema kaonewa au hajaonewa ni mahakama. Sasa na huyo kiherehere acha akae huko.Huyo Pinto Pius anatakiwa kuiacha mahakama iamue, kama amekamatwa ni vizuri afungwe mdomo ili kelele zake zisijekuingilia maamuzi ya mahakama.
Halafu unavyosema Sabaya aliwekwa Hai kwa "kazi maalum" sasa ndio analipa matunda ya hiyo kazi maalum ya kishetani mliyompa, mwambie na huyo Pinto wako ajue aache kiherehere.
Waliyobakwa na kuporwa mbona wanaingia mitini kutoa ushahidi? Tusubiri kuona labda wanajipanga..Hili la kupora watu pesa, kubaka wanawske unalisemaje?
Unhekuwa na akili njema ungebaki nyutro, kuna vitu amnavyo mwanadamu hufanya na mtu mwingine hawezi kuujua ukweli isipokuwa ueye na mtendewa, ungesubiri ushahidi na hitimisho la kesi ndipo imtetee, kwani wakati wanabakana ulikuwepo?Waliyobakwa na kuporwa mbona wanaingia mitini kutoa ushahidi? Tusubiri kuona labda wanajipanga?!
Inabidi akaonyeshe ni namna gani kaonewa. Huenda anaujua ukweli zaidiKuna watu tele wanaamini sabaya katolewa kafara kuwafurahisha wapinzani. Wenye kutoa kafara kwa kawaida ni wachawi.
Magufuli kufa wengi tunaamini ni mapenzi ya mungu ila inapotokea mrithi wake kuanza kuwaandama vijana wake kama vile kapindua serikali inapoteza imani.
Sabaya wanaccm wanaamini aliwekwa jimbo la hai kwa kazi maalum aliyoitekeleza vizuri hadi kulikomboa jimbo toka kwa mabwanyenye waliyolitumia kuendesha ufisadi na ukwepaji kodi na kutaka kuabudiwa na raia wa kawaida.
Kuenguliwa kwake na kuburuzwa mahakamani kwa namna ya kudhalilishwa mara baada ya kifo cha magufuli ieleweke imeleta maudhi kwa wafuasi kindakindaki wa magufuli.
Jambo la kuudhi ni hizi habari kama ni kweli za kukamatwa mmoja wa vijana wanaomtetea sabaya Pinto Pius kwenye mitandao.
Kama Pinto Pius anazuiliwa kwa kusema sabaya kaonewa basi aachiwe mara moja kwa sababu kusema hivyo sio kosa la kukamatwa raia. Kama kuna kosa lingine inafaa kuwatoa mashaka watu wenye kusema sabaya anaonewa kwa sababu ni haki yao kusema wanaloamini.
Acha ujingaKazi kwa mfano ya kuvunja mtandao wa kupika na kusambaza gongo kwa kiwango cha kiwanda, kukamata watengenezaji na wauzaji wa fedha bandia, wadhulumu wa ardhi za umma na wamama wajane..ndio unasema ni kazi za kishetani?
[emoji23]mbona mtanyooka tu si mlikuwa juu ya Sheria mama anaupiga mwingi mpak Sasa anaongoza possession 80 shots on target 20 uku mataga hawaelewi wasifie na kusujudu au wawe wapinzani Kudadeki ndio kwanza mwezi 3 picha lipo kweny maintrodakseniiiii washararaaaa