fredo fred
JF-Expert Member
- Oct 17, 2015
- 748
- 1,615
DXYNamba leo inasoma ngap wakuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
DXYNamba leo inasoma ngap wakuu?
SAHIHISHO MUHIMU
Alphabets kutoka A to Z ziko 26 na siyo 25 na hivyo zinazoweza kutumika ni 24 na si 23. Kwa hali hiyo basi, idadi ya magari yanayoweza kuasjiliwa kuanzia herufi A to Z inakuwa 899x24x24x24=12,427, 776 na kila mojawapo ya herufi hizi inachukua idadi ya magari 517,824
Kabla ya namba zenye herufi D kuanza, huko nyuma namba za magarI zilikuwa zinatumika kwa pikipiki na Bajaj pia. Baada ya kuondolewa pikipiki, namba hizi zimeanza kudumu muda mrefu. HAPO KABLA zilikuwa zinakimbia sana. Ulichosema hapa ni sawa kabisa na hesabu yako iko sahihi kabisaKama herufi D Imekaa kuanzia 2014 to approx 2022 like 9 years. Hii Inamaanisha kumaliza hadi Z Itachukua miaka zaidi ya 200.
517,824 cars = 9 years
12,427,776 cars = Y
Y = 216 years. Toa Idadi ya miaka kuanzia A hadi D upate Idadi ya miaka Iliyobaki.
Hii ni Maths ya kufikirika so staki povu.
2022 namba E** tunaikuta maana tumebakiza DXZ, DYA - DYZ, DZA - DZZ
Hehehe hivi lengo la huu uzi ni nini? Kuona namba hizo kwenye magari ya watu
sa hizi kitu kiko DYA
Acha uzushi , yaani tupo DYA wewe unasema kesho una EAA , kivipi?Baba kesho kutwa Alphard yangu inakuja na namba T 101 EAA
😁😁😁😁😁😁hiyo cjui mwaka gani huko, 2025 labdaMe nasubiri EXZ 999
kha, sasa AAA jamani hiyo si namba ya zamani sana, kwann lisiwepo!!!Mbona Kuna basi la Sai Baba ni AAA?
Acha kutupanga basi
Shida yako wewe unapinga Kila kitu kama ChademaAcha uzushi , yaani tupo DYA wewe unasema kesho una EAA , kivipi?
Mkuu nakumbuka mwaka 2016 ndugu yangu alikuwa anaendesha noah Ilikuwa DFF. Nashangaa 5 years bado tuna namba D.😁😁😁😁😁😁hiyo cjui mwaka gani huko, 2025 labda
brother, sio kupinga, sasa hebu fanya kutupatia Elimu unafanyaje hiyo kitu na sisi tujue namna ya kufanya, kuliko kungoja kuja kutambishiana baadae 🤣🤣🤣🤣Shida yako wewe unapinga Kila kitu kama Chadema
Sasa tulia nitakutumia picha ya chuma hapo January
ndo mana hiyo EXZ yako hatutoifikia leo kaka, bado sana hadi 2025 kuendelea huko hata 2027 labdaMkuu nakumbuka mwaka 2016 ndugu yangu alikuwa anaendesha noah Ilikuwa DFF. Nashangaa 5 years bado tuna namba D.
Mjini hapa tulia.brother, sio kupinga, sasa hebu fanya kutupatia Elimu unafanyaje hiyo kitu na sisi tujue namna ya kufanya, kuliko kungoja kuja kutambishiana baadae [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
nmetulia brother😁😁😁😁Mjini hapa tulia.