Mr_Teacher
JF-Expert Member
- Feb 28, 2021
- 362
- 343
😂😂😂😂Umeona barabara gani maana tuko DY?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂😂😂😂Umeona barabara gani maana tuko DY?
Ndo kwanza tuko DYBNimeona EAA
Mimi uzalendo umenishinda pwetelea pwete! mwaka huu katikati nilikuwa ninafikiri by feb tutakuwa tumeshaianza E, lakini hakuna matumaini hadi sasa.
Pole sana, sa hv gari ziko slow kdg, hiyo DYB hata haijajaa hadi Leo, namba E hadi august hukoMimi uzalendo umenishinda pwetelea pwete! mwaka huu katikati nilikuwa ninafikiri by feb tutakuwa tumeshaianza E, lakini hakuna matumaini hadi sasa.
Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
D imeanza 2012Zimekaa mda mrefu sababu ni waliondoa plan ya pikipiki kuchanganyika na magari! Ndio maana zile B na C hazikudumu muda mrefu. Kwa kumbukumbu C zilianza 2010 bila shaka mpaka kufikia 2014 zikakata zikaanza D!
A zilimezwa na conversion ya magari kutoka TZS 99999 format kwenda T111AAA!
B zilimezwa na usajili wa pikipiki humo humo nazo hazikudumu sana!
C ndio zilikaa almost 4 years zikaisha sababu ya hela ya Jakaya ilikuwepo bado kwenye account na mizunguko ya Watu!
D zilipoanza na mzee Jiwe akawa ameingia mitamboni kuanza kutingisha hali zetu😅 na ndio nahisi atakuwa amekufa nazo mwaka huu maana January lazma tuanze na E!
D imeanza 2014 ilikuwa september nadhaniD imeanza 2012
Vp mkuu hesabu zako zimeendaje?
Mimi uzalendo umenishinda pwetelea pwete! mwaka huu katikati nilikuwa ninafikiri by feb tutakuwa tumeshaianza E, lakini hakuna matumaini hadi sasa.
December hii na bado hakuna dalili ya namba D kuachia ngaziNamba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Ya uongo hii
Ingekua je namba zingeanzia T 0001 AAA hali ingekua je nadhan tungekua bado tunapambana na namba B mpaka sasaD imeanza 2012
Labda mwisho wa mwakaHesabu zimegonga mwamba mkuu [emoji3]
DYBPole sana, sa hv gari ziko slow kdg, hiyo DYB hata haijajaa hadi Leo, namba E hadi august huko
Mimi naenda kuichukua wiki ijayo, nimesubiri sana namba E.Mi ilibidi niagize hivyohivyo, ila ikifika March naiuza.. [emoji23]