MH urefu wake nini? Zote ni 7 characters. UK wanatumia hizo. MfanoNdefu sana. Hazitaenea kwenye plates.
Mkuu hizi namba zinaenda kwa Mahesabu yaki PROBABILITY _Hv kwa mfano mtu umeplan labda upate namba DZZ utajuaje ipo apo hili upate gari la namba hyo
Madalali huwa wanazinguwa sana ... u akuta Ist namba B ipo kwenye hali nzuri kuliko namba DWabongo bwana, unakuta Gari ni ya 90's namba D inaitwa New Model🤣🤣🤣
Kwa hicho kitambi kwenye avatar mkuu hiyo pesa kwenye kibubu utakula... weka fixed deposits bank mapaka kufika mwaka huoTena ikifika mwaka huo ndio safi, naanza kuchanga kibubu taratibu niibuke na chuma mwaka 2023
Confusion kati ya 1 na 0 sifuriHesabu yako iko vizuri, ila pigia herufi 24, siyo26.
I na O hazitumiki.
Ushuru wa kutoa gari znz kuja bara mkuu umeondolewa? Maana nasikia gharama zake ni balaaKama ni mdau wa namba E , subiri D iishe unaenda Zanzibar unanua gari unasajili bara
Mkuu hii siyo probability, number zinaenda kwa sequence, kuna mchezo wa kutegesha watu wanawapoza watu wa registration ikifika number anayotaka anapewa. Ndipo serikali ikaja na hiyo kulipa 500k upate number yoyote ya mbele.Mkuu hizi namba zinaenda kwa Mahesabu yaki PROBABILITY _
kama uliisoma vizuri probability tafuta solution utafanikiwa 😂😂😂😂
Nafikiri ni automated systems iko based on probability ..
.
Kweli kabisa mkuu, hili tumbo nikipiga hesabu basi kuna fuso ndani humo imekaaKwa hicho kitambi kwenye avatar mkuu hiyo pesa kwenye kibubu utakula... weka fixed deposits bank mapaka kufika mwaka huo
Unavimba na DW 2005 Toyota Crown wakati watu wako humble na CZB walizochukua CMC zikiwa na 18km za delivery tu!
Sawa kabisa.Mkuu hii siyo probability, number zinaenda kwa sequence, kuna mchezo wa kutegesha watu wanawapoza watu wa registration ikifika number anayotaka anapewa. Ndipo serikali ikaja na hiyo kulipa 500k upate number yoyote ya mbele....
Ni ili kutokuchanganya tuu irabu O inaweza pia kuwa sifuriNielimishe hapo, kwanini kutotumika kwa irabu hizo!?
UKo sahihi sana,ili DX..,DY...,DZA...DZZ ziishe bado gari 64,800Bado mpaka mwakani iyoo!
Kama jimeli kubwa limeshusha magari 3,700 na 7,00 tu ndio yanabaki nchini, tegemea kupata namba E mapema mwakani.
Hapo bado kusajiliwa magari takrabin 64,000 ndio namba D ziishe.
Tunaosubiri namba F na sie tunaruhusiwa kukomenti?Namba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV...
Si Bora ata wewe mkuu unasubiri namba E,, wengine ata atujui kudra za Rahman zitatuangukia namba ipi😅😅😅😓Ila kikubwa uhaiNamba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV...
Kuna bus za Dodom First Choice zote ni 111Mkuu hii siyo probability, number zinaenda kwa sequence, kuna mchezo wa kutegesha watu wanawapoza watu wa registration ikifika number anayotaka anapewa. Ndipo serikali ikaja na hiyo kulipa 500k upate number yoyote ya mbele...