Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,286
- 39,418
Benz yangu mpaka ifike itakua EAD maana watu wamejaza magari kwao wanasubir No.E
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uwiiiiii.....uwiiiiii amkeniiiiiiii maana nisemeje sasa
Kama upo Dar nenda Mwenge TRA office kuna office pale nje wanatengeneza vibaoNaomba nitoke kidogo nje ya mada ingawa swali linahusika na namba. Ni hivi nina gari yangu niliipaki muda mrefu sana juani mpk vibao vya namba vimepauka sana. Ninahitaji vibao vipya utaratibu ukoje na ni kiasi gani?
Kiasi gani kwa setiKama upo Dar nenda Mwenge TRA office kuna office pale nje wanatengeneza vibao
Finally its here…. Tukabargain sasa mitaani huko namba C zenye quality nzuri [emoji1787][emoji1787][emoji1787] na sisi tuendeshe ,
Ila wabongo sijui nani alituambia uzuri wa gari ni Namba na sio quality hasa engine ya gari…
Yan bei ya gari watu wanaitathminisha kwanza kwenye namba mengine utajua mwenyewe
Upon sahihi kabisa wabongo wengi gari ikiwa na wese tu,yeye mbio na inatengenezwa ikisha haribika.check-up ya Mara kwa Mara haipo.Watu wengi wanaangalia namba sababu wamiliki wengi wa magari ni wazembe kwenye maintanance na wengi wanategemena gari moja kwahiyo the older the plate the old the car (uchakavu)
Ni watu wachache sana wanafanya regular maintanance
Shikamoo kaka mkubwa....hahahahahFuteni uzi wenu sasa tuanze na kusubiri namba F. Wale walipinga mwezi wa 8 haiingii wako wapi. Walikuja na mahesabu yao ya darasani.