MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Nina maana ya DY...Duuh, unazungumzia YZ leo, yaani tumalize D tuje E, tuje F Hadi hiyo Y brother si Mwaka 20200 huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina maana ya DY...Duuh, unazungumzia YZ leo, yaani tumalize D tuje E, tuje F Hadi hiyo Y brother si Mwaka 20200 huko
Ooh sawaaa, hiyo nafkir soon inakuja maana DX ndo inaishia December hapoNina maana ya DY...
DY itaanza January huko nimemaliza[emoji41]Tuko DXT sahivi [emoji119]
We jamaa bhna...kwani gari bora unaangalia number plate? Aisee mambo mbona mazito hivi aseeHivi upya wa gari unategemea Registration ya Number plate?
Kuna mtu atanunua STK kwenye mnada na itakuja kusajiriwa kwa Namba E, vip utai-term kama gari bora kwa maana ya upya?
Mbona kama design fulani uboya uboya hv!!
Number E zipo mtaani ila chache sn, uko wapi mkuu? Nikipata picha nitakuwekea hapa.
Ngapi huko?…. hebu wahusika leteni taarifa….
wangetuachia sisi wa boda boda tuzipige hizo namba D sasa hivi mngekuwa namba Z .....sema ni wivu tu waliona na sisi tunafaidi[emoji2509]
Mwakani mwishoni tunaanza na EAA.
Pasaka inaliwa na EAA.Mwakani mwishoni tunaanza na EAA.
Wabadilishe kabisa mfumo wa T numberNamba D zimekaa miaka mingi, tangu 2012 mpka leo, takribani miaka 9 na ushee...
Namba D ndo inaishia ukingoni, Jana Gari zilizosajiliwa zilikua DWV.
View attachment 1888026
Sijui kwa herufi moja huneba magari mangapi mpk kuhamia herufi nyingine...
Nilisikia sijui ni magari 1000, yani ukitoka DW kwenda DX..
Jana tumesikia magari zaidi ya 3000 yameingia kwa mkupuo, ofcoz sio yote ni ya TZ, ila i bet 2000 yatakua ya hapa Tz...[emoji3]
Kwa idadi hiyo basi DZ inaingia mtaani mwezi huu na kudumu kwa miezi miwili...
Namba E rasmi October, D inakua yazamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna ambae anasubiri namba E kama mimi tuvute mkoko japani????
Pasaka inaliwa na EAA.