Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Tunaosubiri namba E tukutane hapa

Nyie mnao subiria Namba E mpo nyumban kwa waume wa dada zenu mnalelewa kama dada zenu. Mwanaume mwenye akili hawez kujadiri gari kwa kigezo cha Namba kama Mwanamke.
Tafuteni pesa vijana lasivyo mtashikishwa bonet 😅
 
Nyie mnao subiria Namba E mpo nyumban kwa waume wa dada zenu mnalelewa kama dada zenu. Mwanaume mwenye akili hawez kujadiri gari kwa kigezo cha Namba kama Mwanamke.
Tafuteni pesa vijana lasivyo mtashikishwa bonet [emoji28]
Japo sisubiri namba E lakini umeandika maneno makali sana mkuu!!

Kuna watu walikuwa hawafahamu mtiririko wa namba uko vipi, ila kupitia uzi huu wameelewa!

Umekosea mkuu!!
 
hiyo naona cc kubwa
bei gani naweza ona picha

IMG_0563.jpg

IMG_0562.jpg


Namba DN
 
Namba E inasubiriwa kama mkesha wa mwaka mpya apa 😀😀😀
Uzi ulianza kimasihara unasogea
 
Nyie mnao subiria Namba E mpo nyumban kwa waume wa dada zenu mnalelewa kama dada zenu. Mwanaume mwenye akili hawez kujadiri gari kwa kigezo cha Namba kama Mwanamke.
Tafuteni pesa vijana lasivyo mtashikishwa bonet 😅
Unaongea kama 'hole seller'; Una maneno ya jumla jumla sana.
 
Back
Top Bottom