Tachu hano
JF-Expert Member
- May 30, 2016
- 1,506
- 2,518
- Thread starter
-
- #61
Yeah huo ndiyo utaratibu wetu sisi mtoto anaamka mapema kabla wazazi (haswa baba ) kwenda kusalimia na ni kikurya sio kiswahiliLazima uamke usiku kabla baba hajaamka kwenda kumsalimia usipofanya hivyo jua kesi hiyo!
Watoto Ni lazima wajifunze Na kusalimia kwa kikurya!
Hata mura ntaghambere ighoMimi ni wakutoka mara, kurya pure ila mleta mada unaonekana una low self esteem, jikubali yaani kujitambulisha wewe mkurya unaona ni changamoto?? Mura ulatughwisya
Sent using Jamii Forums mobile app
Tehetehetehe sawa mura hilo lisikuumize wewe tafuta pesa tu, heshima kwa mwanaume yeyote ni pesa sio kabila lakeHata mura ntaghambere igho
Changamoto nipale wanapoanza kukuona kama mtu KATILI yaani kila baya kabila lako, saivi naona kawaida mura waito
Sent using Jamii Forums mobile app
POA MKUU WASALIMIE CHATO KWENUMbona unakimbia unaweza linganisha na mkoa upi kanda ya ziwa then onesha uongo wangu hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Contradiction .proud to be typical kurya but unashukuru kuzaliwa na kukulia Kilimanjaro. Which is which [HASHTAG]#tangana[/HASHTAG]?i am typical kuryan na am proud for this....lakini mila za kule kwetu bana siziwezi...nashukuru nimezaliwa na kukulia kilimanjaro
Kweli mura pesa ndiyo mambo yoteTehetehetehe sawa mura hilo lisikuumize wewe tafuta pesa tu, heshima kwa mwanaume yeyote ni pesa sio kabila lake
Kuna watu humu jamiii forum wanapenda makuu sana mtu anaanzisha ushindani pasipo na sababu yoyoteSawa mkuu Ndio mkoa maskini tumekubali, lengo la mada sio battle na mikoa mingine ya kanda ya ziwa kwa wewe unavyotaka iwe, jaribu kusoma mada uielewe
Na wakubwa Mbuya muraa! [emoji23] [emoji23] ila kwa hawa watoto wanaozaliwa Na kukulia mjini siku hizi wanaamka ile asubuhi kusalimia kwa shingo upandeYeah huo ndiyo utaratibu wetu sisi mtoto anaamka mapema kabla wazazi (haswa baba ) kwenda kusalimia na ni kikurya sio kiswahili
Tata isakuru chacha
Sent using Jamii Forums mobile app
Kukatana mapanga sio mila mkuuContradiction .proud to be typical kurya but unashukuru kuzaliwa na kukulia Kilimanjaro. Which is which [HASHTAG]#tangana[/HASHTAG]?
Mila za kukata mapanga utapeleka Moshi? Leave as Roman leave.
Wakurya wamewekeza sana nje ya kwao.Wakurya achen wizi fanyen kazi
Vile vile achen kuzikimbia familia zenu na kukimbilia mikoa ya watu
Ukiangalia mkoa wa mara kwa sasa ndo mkoa masikin kuliko yote kanda ya ziwa, mkoa kwa sasa unazidiwa mbali sana na mikoa mipya ya usukuman kama geita na simiyu pia inazidiwa mbali sana na wilaya za kahama na maswa
Wakurya badiliken kuwen na akili achen ushamba
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahahhah Kweli mkuuNa wakubwa Mbuya muraa! [emoji23] [emoji23] ila kwa hawa watoto wanaozaliwa Na kukulia mjini siku hizi wanaamka ile asubuhi kusalimia kwa shingo upande
Huyo mchangiaji anasema wakurya tunakimbia familia zetuWakurya wamewekeza sana nje ya kwao.
Hayo maeneo unayotaja madon ni wakurya.
Mkurya na mchaga ni marafiki sana kibiashara.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Watoto wa kike "wajaluo" wazuri sana kwenye bed.
Uko sahihi !Nimesomea advance mkoa wa Mara, watu wa Mara ni wakarimu sana kwa wageni ila hawataki utani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya mura nindacheUche mula
sent from my iPhone 7s using JamiiForum mobile app.