Mzee wa kupambania
JF-Expert Member
- Aug 14, 2022
- 21,111
- 53,092
Purely Talented,charismatic fella,Game changer and Entertainer
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuja kusema wewe ni LIKUD 😂😂Sijui n kwanini... LAKINI
Hua nahisi bwana popoma alisoma SAUT ile kozi ya uandishi wa habari, na inawezekana alisoma na wale ambao hua anasema n classmates wake e.g zamaradi..
Lakini aliangukia patupu kupata mchongo kama wao but alikua na hamu sana.
Thats why hua anapenda kujisifia kuhusu kusema na kina Farrhia na kujidai anajua kupangilia maneno n.k ili kupata umaarufu humu JF maana ndo palipobaki ambako hafahamiki lakini anaweza kujitukuza,.
Japo sometimes ana vi points pia.
Ni mtazamo, usijenge chuki
🤣🤣🤣🤣 umebadili tena gia angani. Mwanzoni ulisema Imamu wa msikiti wa Ukwamani anaitwa Sheikh.. Abdallah Abeid, umepigwa kofi moja la uso umebadilisha tena jina amekuwa tena Sheikh Msafiri.LIKUD unapenda sana Kunionyesha kuwa sina nikijuacho, Muongo na Mshamba hapa JamiiForums huku baadhi ya Wapumbavu na Wendawazimu Wenzake wakimuamini.
Taarifa ikufikie na kuanzia leo anza Kujiita LIKUD MPUMBAVU kwani Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe ambaye alifiwa Jana na Mwanae ( Rafiki yangu Hamad ) anaitwa Imam Mzee Abdallah Abedi na kwa sasa kutokana na Changamoto zake za Afya amemteua Sheikh Msafiri na huko nyuma Sheikh Juma Imamu wa Msikiti Uliojengwa upya unaopakana na Kawe Police Station aishiye mita chache tu kutoka ilipo Hospitali mpya ya NDAHANI Kawe nae alikuwa akimsaidia, ila Mamlaka yote ya Msikiti wa Ukwamani Kawe yako chini ya Imam Mkuu wa Msikiti huo wa Ukwamani Kawe Imam Mkuu Msikiti wa Ukwamani Kawe Mzee Sheikh Abdallah Abedi.
Pumbavu.
Niko sure kwa 95% kwa aina yako ya kujitetea na uandishi wewe sio mdaslamu ni mgeni tu kama mimi.LIKUD unapenda sana Kunionyesha kuwa sina nikijuacho, Muongo na Mshamba hapa JamiiForums huku baadhi ya Wapumbavu na Wendawazimu Wenzake wakimuamini.
Taarifa ikufikie na kuanzia leo anza Kujiita LIKUD MPUMBAVU kwani Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe ambaye alifiwa Jana na Mwanae ( Rafiki yangu Hamad ) anaitwa Imam Mzee Abdallah Abedi na kwa sasa kutokana na Changamoto zake za Afya amemteua Sheikh Msafiri na huko nyuma Sheikh Juma Imamu wa Msikiti Uliojengwa upya unaopakana na Kawe Police Station aishiye mita chache tu kutoka ilipo Hospitali mpya ya NDAHANI Kawe nae alikuwa akimsaidia, ila Mamlaka yote ya Msikiti wa Ukwamani Kawe yako chini ya Imam Mkuu wa Msikiti huo wa Ukwamani Kawe Imam Mkuu Msikiti wa Ukwamani Kawe Mzee Sheikh Abdallah Abedi.
Pumbavu.
Kamata Mwizi wakati NIMEKUUMBUA Pumbavu na Mwendawazimu Wewe?🤣🤣🤣 wacha bana. Kamata mwizi meeh!.
Nimeshamthibitishia Basha wako kuhusu nani ni Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe hivyo nakuomba mwambie Basha wako uliyemtaja hapa nae athibitishe wake.Niko sure kwa 95% kwa aina yako ya kujitetea na uandishi wewe sio mdaslamu ni mgeni tu kama mimi.
Ni ama unatokea kusini au kanda ya ziwa kama asemavyo LIKUD
Ndiyo Kaburi lake lilivyokuwa limeandikwa.Kwahiyo marehemu kafariki kabla yakuzaliwa, mmm hatari na nusu
Mna kabattle kenu katamu mkuu nipigie mbwa hii hahahahUmeshakatazwa mkuu uache kujisingizia UNAISHI Dar. Wewe upo kijijini kwenu huko bunda vijijini mambo ya kawe Dar yanakuhusu nini wewe?
Kichwa cha habari tofauti, content tofauti. Lengo ni kuwashawishi wana jf kwamba UNAISHI Dar.
Wana jf hawadanganyiki
Naweza kuwa na battle na Mpumbavu kama Yeye? Si alikuha hapa kutaka Kuniumbua kuwa simjui Imamu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe Mzee Sheikh Abdallah Abedi ( Baba wa Marehemu Rafiki yangu Hamadi ) na baadhi ya Wapumbavu Wenzake mkamuamini sasa nimempa Uthibitisho wa Kitaarifa hivyo namuomba nae alete wake ili nimuumbue zaidi.Mna kabattle kenu katamu mkuu nipigie mbwa hii hahahah
GENTAMYCINE na hakuna Mwingine.Purely Talented,charismatic fella,Game changer and Entertainer
Wala sio mgeni mkuu huyu hata Dar yenyewe hajawahi kufika ndio maana anatumia nguvu nyingi sana kuaminisha watu hapa jf kwamba amewahi kufika dar.Niko sure kwa 95% kwa aina yako ya kujitetea na uandishi wewe sio mdaslamu ni mgeni tu kama mimi.
Ni ama unatokea kusini au kanda ya ziwa kama asemavyo LIKUD
Uthibitisho upi huo? Weka picha ya Marehemu Hamad tuione hapa wacha blah blah wewe bushmanNaweza kuwa na battle na Mpumbavu kama Yeye? Si alikuha hapa kutaka Kuniumbua kuwa simjui Imamu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe Mzee Sheikh Abdallah Abedi ( Baba wa Marehemu Rafiki yangu Hamadi ) na baadhi ya Wapumbavu Wenzake mkamuamini sasa nimempa Uthibitisho wa Kitaarifa hivyo namuomba nae alete wake ili nimuumbue zaidi.
Mm sina upande ila yy nampenda anaongea kwa staha.Naweza kuwa na battle na Mpumbavu kama Yeye? Si alikuha hapa kutaka Kuniumbua kuwa simjui Imamu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe Mzee Sheikh Abdallah Abedi ( Baba wa Marehemu Rafiki yangu Hamadi ) na baadhi ya Wapumbavu Wenzake mkamuamini sasa nimempa Uthibitisho wa Kitaarifa hivyo namuomba nae alete wake ili nimuumbue zaidi.
Kama umepatia jina la Imamu wa msikiti utakuwa umesikia kwenye matangazo ya vifo mkuu muogope Mungu wewe hauishi Dar bana hata mwandiko wako tu unajionyesha.Anayekuweka au?
Tafadhali nimempa Taarifa Kamili huyo Basha wako juu ya nani ni Sheikh Mkuu wa Msikiti wa Ukwamani Kawe hivyo mwambie na Yeye ( Basha Wako ) aweke Uhakika wa Taarifa yake.
Idiot.
Na hata 'Kukuweka' pia 'hukuweka' kwa Staha?Mm sina upande ila yy nampenda anaongea kwa staha.
Unahangaika sana kutumia IDs zako mbalimbali tafadhali chagua moja tu Kupambana nami hapa sawa?🤣🤣🤣 acha utapeli mkuu weka picha za Hamad rafiki yako aliye fariki
Basha wake / wako.Amekuuliza huyo wa kwenye picha ni nani? Msafiri au Abdallah?
Nani anakuzingatia sasa .watu tunakuonaga mwehuNa hata 'Kukuweka' pia 'hukuweka' kwa Staha?
Idiot.