Vegetarian
JF-Expert Member
- Apr 7, 2012
- 654
- 509
Tunapoelekea kwenye Uchaguzi mkuu wa chama nimeshangazwa na kuvunjwa moyo na kauli ya Baadhi ya makada wa chama.
Hususan Yeriko, Boniface, Kigaila miongoni mwa wengine. Tangu makamu mwenyekiti TL alivyotangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti hao makada wamejitokeza hadharani na kumshambulia vikali huyo wakili msomi.
Kufuatia kauli hizi zinazoonesha chuki za wazi binafsi zimenishangaza sana na kunivunja moyo na ninadhani Siasa za upinzani hapa mchini bado zina safari ndefu sana.
Kauli ya Yeriko kudai kuwa Uenyekiti wa Chama ni mkubwa kuliko Urais wa nchi ni kauli ya kukatisha tamaa kudhihirisha kuwa CHADEMA wamechagua kuwa wapinzani wa kudumu na hawana ndoto ya kushika dola kamwe.
Hususan Yeriko, Boniface, Kigaila miongoni mwa wengine. Tangu makamu mwenyekiti TL alivyotangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti hao makada wamejitokeza hadharani na kumshambulia vikali huyo wakili msomi.
Kufuatia kauli hizi zinazoonesha chuki za wazi binafsi zimenishangaza sana na kunivunja moyo na ninadhani Siasa za upinzani hapa mchini bado zina safari ndefu sana.
Kauli ya Yeriko kudai kuwa Uenyekiti wa Chama ni mkubwa kuliko Urais wa nchi ni kauli ya kukatisha tamaa kudhihirisha kuwa CHADEMA wamechagua kuwa wapinzani wa kudumu na hawana ndoto ya kushika dola kamwe.