Tunapofunga kwa ajili ya maombi ya mvua ilete maji tunamshangaza sana Mungu

Tunapofunga kwa ajili ya maombi ya mvua ilete maji tunamshangaza sana Mungu

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Mungu alitupa vitu kisha akatupa akili ya kuvitumia vile vitu. Nchi hii tuna mito mikubwa sana tuna Mto Ruvuma Mto Kagera, mto Mara mto Maragarasi nk. Sanjari na hayo tuna Ziwa Eyasi, ziwa Rukwa ziwa Burigi, ziwa Nyasa ziwa Tanganyika na kubwa lao ziwa Victoria. Hizi ni baraka tayari ambazo Mungu katupa, nchi nyingine hawana kabisa, wanategemea mvua

Leo hii unafanya maombi ya mvua eti ili tupate maji. Mungu anacheka. Akili tunazo tumeshindwa kuzitumia. Nchi inapoteza fedha nyingi bila sababu za mashiko mpaka kuna wabunge hewa bungeni wanalipwa tu. Tanzania haikustahili kuwa na tatizo la maji kamwe. Nchi nyingine duniani kumbe mpaka zinavuna maji baharini. Sisi tumejaaliwa maziwa na mito tumeshindwa tukiachilia mbali Bahari ya Hindi?

Hii nchi Kwanza niseme tu CCM imefeli kuwajali wananchi bungeni wabunge 400 hamna lolote la msingi. Nchi hii imejaa maji ardhini sehemu nyingibsana watu wanachimba visima na maji yanapatikana arshini ya kutosha. Kwahiyo nchi ime give up tumebaki tunategemea maombi ya mvua? Vipi kama isiponyesha kabisa?

Wazungu wakisema Africa inapaswa kutawaliwa tena mnawajia juu, hivi sisi ni wa kufanya maombi ya mvua ili tupate maji? Nimeudhika sana na nina hasira kupita kiasi

Tunafanya mambo ya Kinjekitile Ngwale hapa

IMG_20211118_173845.jpg
 
Mungu ametupa akili lakini tuliowapa dhamana uwezo wao wakufikiri ni mdogo' they do not exercise much of their brains (lazy thinkers)
 
Mahela ya wabunge hewa makubwaaaaa,hata ya wabunge wenyewe wote mishahara na posho ni kufuruuuu.Kwanini yasipunguzwe hata kwa moezi 3 ili fungu hilo litumike kubeba maji na kupeleka huko kwenye uzalishaji wa umeme.

Na mahela mengine yatumike kuseti mitambo maji ya kutumia majumbani yapatikane!

Hovyo kabisa kabisaaa, hovyoooooo ccm
 
Agiza bia hapo kula hata kitimoto kama vipo Kisha lipa mwenyewe
 
Mahela ya wabunge hewa makubwaaaaa,hata ya wabunge wenyewe wote mishahara na posho ni kufuruuuu.Kwanini yasipunguzwe hata kwa moezi 3 ili fungu hilo litumike kubeba maji na kupeleka huko kwenye uzalishaji wa umeme.


Na mahela mengine yatumike kuseti mitambo maji ya kutumia majumbani yapatikane!


Hovyo kabisa kabisaaa, hovyoooooo ccm
Hivi mbunge akilipwa million 5 kuna ubaya gani ukichukulia gari anapewa na posho ya kikao anapewa?

Yanini kulipa mtu milioni 11 kila mwezi kwa kazi ya mtu mwenye uwezo wa kujua kusoma na kuandika tu?
 
Pole mkuu , nchi imejamba hii..
Wabunge 400 wengi sana, kuna wabunge wachupi pia sio hewa tu . Na mimi napata hasira sasa😟
eti jaman hv chama chabmapinduzi walishatuonamo et akina polepole wabunge wa nini sasa? na anakula posho mshahara na pensheni halafu unashangaa maajabu hata mwanza tu iliyozungukwa na ziwa na ko maji ni shida

huu ni ujinga sasa
 
Back
Top Bottom