Tunapofunga kwa ajili ya maombi ya mvua ilete maji tunamshangaza sana Mungu

Tunapofunga kwa ajili ya maombi ya mvua ilete maji tunamshangaza sana Mungu

Viongozi wa dini mumshauri Mheshimiwa Rais bila unafiki wala uoga. Kama kuna dhambi amezirithi kutoka kwa mtangulizi wake aachane nazo. Zinaweza kuonekana ni ndogo na za kawaida, ila Mungu anayaona machozi ya Wanaolia kutokana na dhulma za Watawala. Bahati nzuri Mungu wetu ni wa Haki, Sio Mwepesi wa Hasira ila mwingi wa Rehema. Tukitubu kama Taifa, tukiziacha njia zetu mbaya, tukiacha kushupaza shingo, na tukiacha dhulma dhidi ya wenzetu, Mungu ataliponya Taifa letu. Tusishangae watu kushindwa kutumia Akili alizotupa Mungu, washapigwa upofu kutokana na kudhulumu Haki za wengine!


#MboweSioGaidi
 
Wanatuchanganya tu hawa

Kwanza nimechukia kishenzi kuona hao viongozi wa dini wanaitisha maombi ili mvua inyeshe. Wameshaona dalili zote za kunyosha karibuni, sasa wanaanza usanii wao. Hawana lolote la maana wanafanya kwenye jamii, wamebaki kuitisha maombi kuhadaa waumini kuwa wanaweza kuongea na Mungu.
 
Kwanza nimechukia kishenzi kuona hao viongozi wa dini wanaitisha maombi ili mvua inyeshe. Wameshaona dalili zote za kunyosha karibuni, sasa wanaanza usanii wao. Hawana lolote la maana wanafanya kwenye jamii, wamebaki kuitisha maombi kuhadaa waumini kuwa wanaweza kuongea na Mungu.
😄
 
Mungu alitupa vitu kisha akatupa akili ya kuvitumia vile vitu. Nchi hii tuna mito mikubwa sana tuna Mto Ruvuma Mto Kagera, mto Mara mto Maragarasi nk. Sanjari na hayo tuna Ziwa Eyasi, ziwa Rukwa ziwa Burigi, ziwa Nyasa ziwa Tanganyika na kubwa lao ziwa Victoria. Hizi ni baraka tayari ambazo Mungu katupa, nchi nyingine hawana kabisa, wanategemea mvua

Leo hii unafanya maombi ya mvua eti ili tupate maji. Mungu anacheka. Akili tunazo tumeshindwa kuzitumia. Nchi inapoteza fedha nyingi bila sababu za mashiko mpaka kuna wabunge hewa bungeni wanalipwa tu. Tanzania haikustahili kuwa na tatizo la maji kamwe. Nchi nyingine duniani kumbe mpaka zinavuna maji baharini. Sisi tumejaaliwa maziwa na mito tumeshindwa tukiachilia mbali Bahari ya Hindi?

Hii nchi Kwanza niseme tu CCM imefeli kuwajali wananchi bungeni wabunge 400 hamna lolote la msingi. Nchi hii imejaa maji ardhini sehemu nyingibsana watu wanachimba visima na maji yanapatikana arshini ya kutosha. Kwahiyo nchi ime give up tumebaki tunategemea maombi ya mvua? Vipi kama isiponyesha kabisa?

Wazungu wakisema Africa inapaswa kutawaliwa tena mnawajia juu, hivi sisi ni wa kufanya maombi ya mvua ili tupate maji? Nimeudhika sana na nina hasira kupita kiasi

Tunafanya mambo ya Kinjekitile Ngwale hapa

View attachment 2015440
Hii nchi haito endelea hadi sisiyemu itoke madarakani au iwekwe katiba mpya
 
Mungu alitupa vitu kisha akatupa akili ya kuvitumia vile vitu. Nchi hii tuna mito mikubwa sana tuna Mto Ruvuma Mto Kagera, mto Mara mto Maragarasi nk. Sanjari na hayo tuna Ziwa Eyasi, ziwa Rukwa ziwa Burigi, ziwa Nyasa ziwa Tanganyika na kubwa lao ziwa Victoria. Hizi ni baraka tayari ambazo Mungu katupa, nchi nyingine hawana kabisa, wanategemea mvua

Leo hii unafanya maombi ya mvua eti ili tupate maji. Mungu anacheka. Akili tunazo tumeshindwa kuzitumia. Nchi inapoteza fedha nyingi bila sababu za mashiko mpaka kuna wabunge hewa bungeni wanalipwa tu. Tanzania haikustahili kuwa na tatizo la maji kamwe. Nchi nyingine duniani kumbe mpaka zinavuna maji baharini. Sisi tumejaaliwa maziwa na mito tumeshindwa tukiachilia mbali Bahari ya Hindi?

Hii nchi Kwanza niseme tu CCM imefeli kuwajali wananchi bungeni wabunge 400 hamna lolote la msingi. Nchi hii imejaa maji ardhini sehemu nyingibsana watu wanachimba visima na maji yanapatikana arshini ya kutosha. Kwahiyo nchi ime give up tumebaki tunategemea maombi ya mvua? Vipi kama isiponyesha kabisa?

Wazungu wakisema Africa inapaswa kutawaliwa tena mnawajia juu, hivi sisi ni wa kufanya maombi ya mvua ili tupate maji? Nimeudhika sana na nina hasira kupita kiasi

Tunafanya mambo ya Kinjekitile Ngwale hapa

View attachment 2015440
Na mafuriko ya juzi huko Canada ni kwa sababu ya kukata miti ya Selous?
Endelea kujishangaza mwenyewe!
 
Mungu alitupa vitu kisha akatupa akili ya kuvitumia vile vitu. Nchi hii tuna mito mikubwa sana tuna Mto Ruvuma Mto Kagera, mto Mara mto Maragarasi nk. Sanjari na hayo tuna Ziwa Eyasi, ziwa Rukwa ziwa Burigi, ziwa Nyasa ziwa Tanganyika na kubwa lao ziwa Victoria. Hizi ni baraka tayari ambazo Mungu katupa, nchi nyingine hawana kabisa, wanategemea mvua

Leo hii unafanya maombi ya mvua eti ili tupate maji. Mungu anacheka. Akili tunazo tumeshindwa kuzitumia. Nchi inapoteza fedha nyingi bila sababu za mashiko mpaka kuna wabunge hewa bungeni wanalipwa tu. Tanzania haikustahili kuwa na tatizo la maji kamwe. Nchi nyingine duniani kumbe mpaka zinavuna maji baharini. Sisi tumejaaliwa maziwa na mito tumeshindwa tukiachilia mbali Bahari ya Hindi?

Hii nchi Kwanza niseme tu CCM imefeli kuwajali wananchi bungeni wabunge 400 hamna lolote la msingi. Nchi hii imejaa maji ardhini sehemu nyingibsana watu wanachimba visima na maji yanapatikana arshini ya kutosha. Kwahiyo nchi ime give up tumebaki tunategemea maombi ya mvua? Vipi kama isiponyesha kabisa?

Wazungu wakisema Africa inapaswa kutawaliwa tena mnawajia juu, hivi sisi ni wa kufanya maombi ya mvua ili tupate maji? Nimeudhika sana na nina hasira kupita kiasi

Tunafanya mambo ya Kinjekitile Ngwale hapa

View attachment 2015440
Tunashindwa hata kupasua miamba chini ya ardhi ,duu kweli hii ni bongo lala
 
Mungu ametupa akili lakini tuliowapa dhamana uwezo wao wakufikiri ni mdogo' they do not exercise much of their brains (lazy thinkers)
Sio kwamba hawana akiri, akiri wanazo sana. Shida ni kwamba wanajua kwa lolote watakalofanya hamna wa kuwawajibisha. Wanajua watz watasema mchana usiku watalala, au itakuja habari ya hamonize tutaenda kushabikia huko🤣
 
Na mafuriko ya juzi huko Canada ni kwa sababu ya kukata miti ya Selous?
Endelea kujishangaza mwenyewe!

Sio kwamba hawana akiri, akiri wanazo sana. Shida ni kwamba wanajua kwa lolote watakalofanya hamna wa kuwawajibisha. Wanajua watz watasema mchana usiku watalala, au itakuja habari ya hamonize tutaenda kushabikia huko🤣
ni kwel
 
Hivi mbunge akilipwa million 5 kuna ubaya gani ukichukulia gari anapewa na posho ya kikao anapewa?

Yanini kulipa mtu milioni 11 kila mwezi kwa kazi ya mtu mwenye uwezo wa kujua kusoma na kuandika tu?
Ndiyo maana tuliona wabeba mabegi yaliyoja kwenye uchaguzi wa 2020
 
Kuombea mvua badala ya kudhibiti shughuli haramu za kibinadamu zinazosababisha ukame ndiyo ujinga mkuu kuliko ujinga wowote ule ambao binadamu anaweza kuwa nao.

Mungu alishamaliza wajibu wake wa kuweka mazingira ya mvua kunyesha.Ni wajibu wetu sasa kutunza mazingira hayo.Hatutimizi wajibu huo.Mungu hawezi kuwa na muda na wajinga kama hawa,he is too busy with things that matter.
 
Wabunge kaziyao sasanaona ni kupitisha bajetitu.
 
Kuombea mvua badala ya kudhibiti shughuli haramu za kibinadamu zinazosababisha ukame ndiyo ujinga mkuu kuliko ujinga wowote ule ambao binadamu anaweza kuwa nao.

Mungu alishamaliza wajibu wake wa kuweka mazingira ya mvua kunyesha.Ni wajibu wetu sasa kutunza mazingira hayo.Hatutimizi wajibu huo.Mungu hawezi kuwa na muda na wajinga kama hawa,he is too busy with things that matter.
sahihi
 
Back
Top Bottom