Wanatuchanganya tu hawa
😄Kwanza nimechukia kishenzi kuona hao viongozi wa dini wanaitisha maombi ili mvua inyeshe. Wameshaona dalili zote za kunyosha karibuni, sasa wanaanza usanii wao. Hawana lolote la maana wanafanya kwenye jamii, wamebaki kuitisha maombi kuhadaa waumini kuwa wanaweza kuongea na Mungu.
Hii nchi haito endelea hadi sisiyemu itoke madarakani au iwekwe katiba mpyaMungu alitupa vitu kisha akatupa akili ya kuvitumia vile vitu. Nchi hii tuna mito mikubwa sana tuna Mto Ruvuma Mto Kagera, mto Mara mto Maragarasi nk. Sanjari na hayo tuna Ziwa Eyasi, ziwa Rukwa ziwa Burigi, ziwa Nyasa ziwa Tanganyika na kubwa lao ziwa Victoria. Hizi ni baraka tayari ambazo Mungu katupa, nchi nyingine hawana kabisa, wanategemea mvua
Leo hii unafanya maombi ya mvua eti ili tupate maji. Mungu anacheka. Akili tunazo tumeshindwa kuzitumia. Nchi inapoteza fedha nyingi bila sababu za mashiko mpaka kuna wabunge hewa bungeni wanalipwa tu. Tanzania haikustahili kuwa na tatizo la maji kamwe. Nchi nyingine duniani kumbe mpaka zinavuna maji baharini. Sisi tumejaaliwa maziwa na mito tumeshindwa tukiachilia mbali Bahari ya Hindi?
Hii nchi Kwanza niseme tu CCM imefeli kuwajali wananchi bungeni wabunge 400 hamna lolote la msingi. Nchi hii imejaa maji ardhini sehemu nyingibsana watu wanachimba visima na maji yanapatikana arshini ya kutosha. Kwahiyo nchi ime give up tumebaki tunategemea maombi ya mvua? Vipi kama isiponyesha kabisa?
Wazungu wakisema Africa inapaswa kutawaliwa tena mnawajia juu, hivi sisi ni wa kufanya maombi ya mvua ili tupate maji? Nimeudhika sana na nina hasira kupita kiasi
Tunafanya mambo ya Kinjekitile Ngwale hapa
View attachment 2015440
Na mafuriko ya juzi huko Canada ni kwa sababu ya kukata miti ya Selous?Mungu alitupa vitu kisha akatupa akili ya kuvitumia vile vitu. Nchi hii tuna mito mikubwa sana tuna Mto Ruvuma Mto Kagera, mto Mara mto Maragarasi nk. Sanjari na hayo tuna Ziwa Eyasi, ziwa Rukwa ziwa Burigi, ziwa Nyasa ziwa Tanganyika na kubwa lao ziwa Victoria. Hizi ni baraka tayari ambazo Mungu katupa, nchi nyingine hawana kabisa, wanategemea mvua
Leo hii unafanya maombi ya mvua eti ili tupate maji. Mungu anacheka. Akili tunazo tumeshindwa kuzitumia. Nchi inapoteza fedha nyingi bila sababu za mashiko mpaka kuna wabunge hewa bungeni wanalipwa tu. Tanzania haikustahili kuwa na tatizo la maji kamwe. Nchi nyingine duniani kumbe mpaka zinavuna maji baharini. Sisi tumejaaliwa maziwa na mito tumeshindwa tukiachilia mbali Bahari ya Hindi?
Hii nchi Kwanza niseme tu CCM imefeli kuwajali wananchi bungeni wabunge 400 hamna lolote la msingi. Nchi hii imejaa maji ardhini sehemu nyingibsana watu wanachimba visima na maji yanapatikana arshini ya kutosha. Kwahiyo nchi ime give up tumebaki tunategemea maombi ya mvua? Vipi kama isiponyesha kabisa?
Wazungu wakisema Africa inapaswa kutawaliwa tena mnawajia juu, hivi sisi ni wa kufanya maombi ya mvua ili tupate maji? Nimeudhika sana na nina hasira kupita kiasi
Tunafanya mambo ya Kinjekitile Ngwale hapa
View attachment 2015440
Tunashindwa hata kupasua miamba chini ya ardhi ,duu kweli hii ni bongo lalaMungu alitupa vitu kisha akatupa akili ya kuvitumia vile vitu. Nchi hii tuna mito mikubwa sana tuna Mto Ruvuma Mto Kagera, mto Mara mto Maragarasi nk. Sanjari na hayo tuna Ziwa Eyasi, ziwa Rukwa ziwa Burigi, ziwa Nyasa ziwa Tanganyika na kubwa lao ziwa Victoria. Hizi ni baraka tayari ambazo Mungu katupa, nchi nyingine hawana kabisa, wanategemea mvua
Leo hii unafanya maombi ya mvua eti ili tupate maji. Mungu anacheka. Akili tunazo tumeshindwa kuzitumia. Nchi inapoteza fedha nyingi bila sababu za mashiko mpaka kuna wabunge hewa bungeni wanalipwa tu. Tanzania haikustahili kuwa na tatizo la maji kamwe. Nchi nyingine duniani kumbe mpaka zinavuna maji baharini. Sisi tumejaaliwa maziwa na mito tumeshindwa tukiachilia mbali Bahari ya Hindi?
Hii nchi Kwanza niseme tu CCM imefeli kuwajali wananchi bungeni wabunge 400 hamna lolote la msingi. Nchi hii imejaa maji ardhini sehemu nyingibsana watu wanachimba visima na maji yanapatikana arshini ya kutosha. Kwahiyo nchi ime give up tumebaki tunategemea maombi ya mvua? Vipi kama isiponyesha kabisa?
Wazungu wakisema Africa inapaswa kutawaliwa tena mnawajia juu, hivi sisi ni wa kufanya maombi ya mvua ili tupate maji? Nimeudhika sana na nina hasira kupita kiasi
Tunafanya mambo ya Kinjekitile Ngwale hapa
View attachment 2015440
Sio kwamba hawana akiri, akiri wanazo sana. Shida ni kwamba wanajua kwa lolote watakalofanya hamna wa kuwawajibisha. Wanajua watz watasema mchana usiku watalala, au itakuja habari ya hamonize tutaenda kushabikia huko🤣Mungu ametupa akili lakini tuliowapa dhamana uwezo wao wakufikiri ni mdogo' they do not exercise much of their brains (lazy thinkers)
Na mafuriko ya juzi huko Canada ni kwa sababu ya kukata miti ya Selous?
Endelea kujishangaza mwenyewe!
ni kwelSio kwamba hawana akiri, akiri wanazo sana. Shida ni kwamba wanajua kwa lolote watakalofanya hamna wa kuwawajibisha. Wanajua watz watasema mchana usiku watalala, au itakuja habari ya hamonize tutaenda kushabikia huko🤣
Ndiyo maana tuliona wabeba mabegi yaliyoja kwenye uchaguzi wa 2020Hivi mbunge akilipwa million 5 kuna ubaya gani ukichukulia gari anapewa na posho ya kikao anapewa?
Yanini kulipa mtu milioni 11 kila mwezi kwa kazi ya mtu mwenye uwezo wa kujua kusoma na kuandika tu?
sahihiKuombea mvua badala ya kudhibiti shughuli haramu za kibinadamu zinazosababisha ukame ndiyo ujinga mkuu kuliko ujinga wowote ule ambao binadamu anaweza kuwa nao.
Mungu alishamaliza wajibu wake wa kuweka mazingira ya mvua kunyesha.Ni wajibu wetu sasa kutunza mazingira hayo.Hatutimizi wajibu huo.Mungu hawezi kuwa na muda na wajinga kama hawa,he is too busy with things that matter.