Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Mimi nipo upande wa serikali ilichosema
Huyu brazaJ asitutoe kwenye reli🤣
Kama vipi atupe kwanza vipimo vyake
Na si kuguess tu anachotaka kwa kutumia mambo yaliyopita.

Kwani upande wa serikali ni upi? Au ni ule usiokuwa na majibu hata kwenye yaliyo msingi tu kama haya:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?
 
Wewe mbwabwajaji kama wenzio. Waachie wenye taaluma zao kama hujui.
 
Ni ugonjwa hatari na uko familia moja na ebola, ila sio ebola ni marburg lakini mtu anashupaza shingo kuwa ni ebola mara imepunguzwa ukali kwa kuitwa marburg yani kuna watu humu haya ubongo hawana achiloa mbali akili
 

Kwa ulichoandika hapa hakuna shaka kuwa nina pass marks nzuri zaidi kuliko wewe katika masomo yote yakiwamo mawili uliyoyataja.

Nadhani hapo kwa kuanzia utakuwa umenifahamu angalau kuweza kujipanga kama una nia ya mjadala wowote wenye tija.

Ajabu na kweli, hata mfano wako wa Typhoid dhidi ya Malaria ni aibu nyingine Kwa kuwa hata huo nao ufahamu wako ni wa kubambia bambia.

Zingatia:

Dalili za Typhoid hizi hapa:
  • Weakness.
  • Stomach pain.
  • Headache.
  • Diarrhea or constipation.
  • Cough.
  • Loss of appetite
Wakati dalili za Malaria ni pamoja na:
  • Muscle aches
  • Vomiting
  • Shaking chills
Zaidi pia Malaria huwa haina constipation, pia inaweza kuleta anaemia na jaundice yaani macho na ngozi kuwa njano kutokana na upungufu wa red blood cells tofauti na typhoid.

Sikatai dalili nyingi za Malaria kushabihiana na typhoid na hata kukaribiana. Lakini bado tofauti za kutosha za wazi zipo.

Weka hapa tofauti za Marburg na ebola.

Zaidi sana jipange kushehenesha maswali haya ambapo wajomba kutoka kwa Ummi wamemwaga mbio kimya kimya:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?

Angalizo: Ummi siyo Ummy.
 
Ujinga mtupu.

Hufai hata kuwa wakili, unajitutumua tu.

Wewe ni BUMUNDA JUVI.
 
Umesoma comments zangu?

Nipo upande wa Serikali na nlkua namwelimisha mleta mada

Mkuu elimu haina mwisho si nadra kuwa wazi kuelimishana pia. Kwa kuanzia mwongozo wako hapa ingependeza zaidi:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?

Ustaraabu ni kujadili mambo kistaarabu siyo kama like Mburumundu lenye BICHWA KOMWEE.
 

Ninakazia: utakuwa umenisoma vibaya labda kwa kulipuuza forth with BICHWA KOMWEE kama halikuwahi ku exist. Maswali yangu kwa mara nyingine kwako ikikupendekeza:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?

Mwongozo wako tafadhali.
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]

Aposto kuna muujiza huku.

Chizi la mirembe limefufuka [emoji23][emoji23]
 
Typhoid na malaria zinafanana sana kwenye dalili ebu punguza ujinga uliokua nao
 
Typhoid na malaria zinafanana sana kwenye dalili ebu punguza ujinga uliokua nao
Nani kakwambia hazifanani?

Uliyaona haya kwenye niliyoandika?

"Sikatai dalili nyingi za Malaria kushabihiana na typhoid au hata kukaribiana. Lakini bado tofauti za kutosha za wazi zipo."

Au ni mwendo wa kudandia treni kwa mbele. Eti umesoma chemistry na biology. Chemistry na biology gani ulizosoma mburula wewe?

Kwa kushindwa kujibu maswali niliyokupa nini tofauti yako BICHWA KOMWEE Mburula mwingine mbobezi?
 
Shida ya Tz tatizo likotokea huwa mamlaka zinataka tukio lifichwe ila hali imeshaanza kuwa mbaya
 
Ni ugonjwa hatari na uko familia moja na ebola, ila sio ebola ni marburg lakini mtu anashupaza shingo kuwa ni ebola mara imepunguzwa ukali kwa kuitwa marburg yani kuna watu humu haya ubongo hawana achiloa mbali akili

Kwanini ni vigumu kwako wewe usiyeshupaza shingo maswali haya:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?
 
Shida ya Tz tatizo likotokea huwa mamlaka zinataka tukio lifichwe ila hali imeshaanza kuwa mbaya

Ngoja tusubiri.

Ila kabla halijakuwa baya huibuka ID mpya mpya za msaada zenye mabandiko hata 10 kwa miaka 5.

Uzuri waimba mapambio hao huwa ni wazuri pia kwenye kuunga juhudi mamlaka za juu zikibadili mawazo.

Wanajulikana wote. Wanaitwa bendera fuata upepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…