Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Marburg virus has killed five people in Tanzania's north-western Kagera region, the health ministry has said.
High fever is a common symptom of the deadly Ebola-like virus, often followed by bleeding and organ failure.
Tanzania's Health Minister Ummy Mwalimu said the disease had been contained and she was confident it would not spread further.
Three people are being treated in hospital and authorities are tracing 161 contacts, Ms Mwalimu added.
Tanzania's strategy to control the spread was praised by the World Health Organization (WHO
).
Soma mada usirukie treni kwa mbele. Uswahilini hakuna google. Maisha yako uswahilini siyo kwenye google wala mitandaoni.

Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak

Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania
Toka kwenye hiyo link, Serikali imepongezwa na shirika la afya Duniani Kwa kuchukua hatua stahiki za kudhibiti kuenea huo ugonjwa.......wewe wa Kiloleli unaponda.
 
Kuna daktari mmoja leo alikuwa anatoa elimu na akasema kuhusu huo ugonjwa. Dalili zote alizozitaja ni za Ebola.
 

Kwani mkuu hapo sasa ndiyo umesema nini au hujasema nini?

Mada umeisoma lakini?

Zingatia 2 + 2 = 4. Kweli kabisa lakini sasa ni relevant?
 

Labda angalia posts #289, 288 na #296 kujiridhisha kuwa haujabakia nyuma.

Ikikupendeza mkuu.
 

Ninakazia:

Posts #289, 288 na #296 zinakuhusu.

Ikikupendeza mkuu.
 
Hayapo mashindano lakini. Kumbe wewe ulikuwa kwenye ligi?
Mimi nimesema yaishe kwakuwa hata nikuelezeeje utakuja pinga nielezee scientifically au kwalugha rahisi, bado utapinga. Hivyo bora niache tu! Umeshinda
 
Kama kawaida jf na madokta mwitu na wataalam wa kila kitu mmekuja
 
ID za msaada kama hizi:

View attachment 2562470

Huwa tunazitegemea hali ikiwa Tete.

Posts 34 Kwa miaka 5?

Mtawachuuza wajinga tu.
Sijaelewa. Yani wewe unahisi umeandika vitu vya maana sana kwenye huu uzi hadi watu wanatumia fake id kukujibu. Yani watu tuwe na "hali tete" kwasababu ya huu uchafu ulioandika humu? Au unataka kumaanisha nini.
 
Mimi nimesema yaishe kwakuwa hata nikuelezeeje utakuja pinga nielezee scientifically au kwalugha rahisi, bado utapinga. Hivyo bora niache tu! Umeshinda

Ila miye siko kwenye mashindano mkuu. Tufanye umeshinda wewe uliyekuwa kwenye ligi.
 
Sijaelewa. Yani wewe unahisi umeandika vitu vya maana sana kwenye huu uzi hadi watu wanatumia fake id kukujibu. Yani watu tuwe na "hali tete" kwasababu ya huu uchafu ulioandika humu? Au unataka kumaanisha nini.
Kweli hujaelewa mkuu. 🤣🤣

Wapi nimesema nimeandika vitu vya maana?

Kwani ume escape kutokea wapi ndugu? 🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…