Hatari sana
Nchi inaongozwa na chama cha Mazezeta unatajia nini? Usishangae maelfu ya maji ya upako yamepelekwa hukoTumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.
Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola.
View attachment 2562190
"Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake."
Maajabu ya Mussa.
Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?
Katika kinachoitwa kuepuka kinachoitwa taharuki gonjwa halipewi umuhimu wala coverage yoyote ya maana kwenye media zetu. Kwetu Simba au Yanga kwenda robo fainali ni habari kubwa, Lakini si gonjwa hili.
Maisha yanaendelea kama vile kila kitu ni sawa.
Ya nini kutoambiana ukweli wote tukajipanga kukabiliana nalo ana kwa ana kama nchi?
Tahadhali iliyotolewa na wizara na kutogusana imo. Inawezekana namna gani kwenye maisha yetu ya kawaida watu kutokugusana masokoni, magulioni, mashuleni, makabisani, kwenye mabasi au kwenye madala dala?
Ebola si ya maji tiririka, barakoa, michaichai, matango pori wala upigaji nyungu.
Walioyasikia ya kwetu wameshtukua kuliko sisi wakati sisi tukichukulia poa. Dhidi ya gonjwa hili dunia tayari inatunyanyapaa.
Angalia Rwanda, The New Times - Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak
Angalia mabeberu, BBC News - Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania
Coverage zao ni makini na kamilifu (extensive and focussed). Kwetu wenge la awamu Ile na njama za mabeberu bado lingalipo.
Kwanini watu wasiambiwe ukweli wote kungali mapema? Ya nini kujidanganya?
Magonjwa haya si vita vya kiuchumi. Ebola si corona ambayo kuuwa kwake kulikuwa hadi 2%. Hiyo hata ikihusianisha uzee na uwepo wa magonjwa mengine pia.
Kwenye ugonjwa huu tusipoamka mapema, usanii wetu uliozoeleka utatuumbua.
Mama anaupiga mwingi ujueTumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.
Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola.
View attachment 2562190
"Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake."
Maajabu ya Mussa.
Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?
Katika kinachoitwa kuepuka taharuki gonjwa halipewi umuhimu wala coverage yoyote ya maana kwenye media zetu. Kwetu Simba au Yanga kwenda robo fainali ni habari kubwa, Lakini si gonjwa hili.
Maisha yanaendelea kama vile kila kitu ni sawa.
Ya nini kutoambiana ukweli wote tukajipanga kukabiliana nalo ana kwa ana kama nchi?
Tahadhali iliyotolewa na wizara na kutogusana imo. Inawezekana namna gani kwenye maisha yetu ya kawaida watu kutokugusana masokoni, magulioni, mashuleni, makanisani, misikitini, kwenye mabasi au kwenye madala dala?
Ebola si ya maji tiririka, barakoa, michaichai, matango pori wala upigaji nyungu.
Walioyasikia ya kwetu wameshtuka kuliko sisi wakati sisi tukichukulia poa. Dhidi ya gonjwa hili dunia tayari inatunyanyapaa.
Angalia Rwanda, The New Times - Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak
Angalia mabeberu, BBC News - Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania
Coverage zao ni makini na kamilifu (extensive and focussed). Kwetu wenge la awamu ile na njama za mabeberu bado lingalipo.
Kwanini watu wasiambiwe ukweli wote kukiwa kungali mapema? Ya nini kujidanganya?
Magonjwa haya si vita (vya kiuchumi). Ebola si corona ambayo kuuwa kwake kulikuwa hadi 2%. Hiyo hata ikihusianisha uzee na uwepo wa magonjwa mengine pia.
Kwa hakika kwenye ugonjwa huu tusipoamka mapema usanii wetu uliozoeleka, utatuumbua.
Ndiyo,ni magonjwa mawili tofauti yasababishwayo na viruses wa aina mbili tofauti,yaani Ebola virus na Marburg virus.Ebola na Marburg kisayansi (yaani in scientific details) ni magonjwa mawili tofauti. Malaria na Plasmodium kisayansi ni vitu viwili tofauti. Uswahilini plasmodium haina maana yoyote ila malaria.
Sio ebola hio acha kulazimisha
Ndiyo,ni magonjwa mawili tofauti yasababishwayo na viruses wa aina mbili tofauti,yaani Ebola virus na Marburg virus.
Malaria ni ugonjwa na Plasmodium ni mdudu asababishaye malaria,na ni kweli malaria ndio ifahamikayo mtaani sio plasmodium.
Kwa kuwa umesema mwenyewe hayo ni magonjwa mawili tofauti,unadhani ni sahihi kwamba baada ya wataalam wa afya kuthibitisha kuwa,huo ni ugonjwa wa Marburg na sio Ebola,watangaze kuwa ni ebola hata kama yanafanana kwa asilimia kubwa?
Na sababu kuu ya kuudanganya uma iwe ni kuwa "uswahilini hawautambui marburg bali ebola"
Mkuu,hata kama Marburg virus disease na Ebola virus disease yanafanana kwa asilimia kubwa,lakini huwezi kuita Ebola- marburg na marburg-ebola.Ni magonjwa tofauti,yasababishwayo na wadudu tofauti.
sasa ata kama uswahilini akuna google ndo Marburg iitwe ebola utakua unajitambua kweli yani ugonjwa mwingine upewe jina la ugonjwa mwingine!!!Soma mada usirukie treni kwa mbele. Uswahilini hakuna google. Maisha yako uswahilini siyo kwenye google wala mitandaoni.
Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak
Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania
Duuuh ii nchi inawajuaji wengi!! yani uko kwingine Marburg ndo inaitwa ebolaHakuna media ya Tanzania imetamka neno ebola kwa mara ya kwanza tangia ugonjwa huu ulipoingia nchini. Japo hilo ndilo jina likitumika kokote ulikokuwapo kabla.
Ghafla koleo limegeuka kuwa a big spoon.
Janja janja hizi kwa maslahi ya nani?
Ruble mwongozo wako tafadhali
Sawa bloangu,🤣🤣🤣
Mkuu,unachojaribu kufanya ni kuhalalisha mada uliyokuja nayo hata kama unajiona haupo sahihi.Maelezo yako yamezingatia kuwa ni kwa mara ya kwanza Tanzania kuuita Marburg baada ya kuuita ugonjwa huo huo ebola? Kwani ulipokuwa Congo, Uganda, Gabon, Guinea, Sierra Leone, Liberia nk tuliuita je? Tukiaminishwa watu wa huko ni wala popo na nyani?
Umezingatia pia kuwa maneno haya "similar" kuonyesha kumfanana na "slightly" kuonyesha tofauti kama yalivyotumika hapa chini:
Marburg and Ebola viruses are filamentous filoviruses that are distinct from each other but that cause clinically similar diseases characterized by hemorrhagic fevers and capillary leakage. Ebola virus infection is slightly more virulent than Marburg virus infection."
Bila shaka utakubaliana nami ugonjwa ni ebola ila scientifically ni Marburg.
Kama ndivyo faida gani mswahili anapata kwa kumwambia tunakabiliwa na Marburg badala ya kumwambia anakabiliwa na Ebola.
Kwanini tunataka kucheza na lugha ya beberu kuwahadaa watu? Ndiyo maana kwenda robo fainali ni habari kubwa kuliko roho za watu siyo?
Post #27 umeiona? Ninakazia:sasa ata kama uswahilini akuna google ndo Marburg iitwe ebola utakua unajitambua kweli yani ugonjwa mwingine upewe jina la ugonjwa mwingine!!!
punguza ujuaji alafu kubali kujifunza kwani unafikili ebola ni common name yani kama jina la kujitungia.... Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na ebola virus na Marburg ni ugonjwa unaosababishwa na Marburg virus ote awa wanapatikana katika kundi la filovirus ambalo ni kundi la long filamentous virus na wana characteristics ya kusababisha hemorrhage fever yan ni homa inayosababisha kupungua kwa strength ya blood vessels na kupelekea kua rahisi kuburst na mtu kutokwa na damuMaelezo yako yamezingatia kuwa ni kwa mara ya kwanza Tanzania kuuita Marburg baada ya kuuita ugonjwa huo huo ebola? Kwani ulipokuwa Congo, Uganda, Gabon, Guinea, Sierra Leone, Liberia nk tuliuita je? Tukiaminishwa watu wa huko ni wala popo na nyani?
Umezingatia pia kuwa maneno haya "similar" na "slightly" kama yalivyotumika kwenye mfanano na tofauti hapa chini?
Marburg and Ebola viruses are filamentous filoviruses that are distinct from each other but that cause clinically similar diseases characterized by hemorrhagic fevers and capillary leakage. Ebola virus infection is slightly more virulent than Marburg virus infection."
Bila shaka utakubaliana nami, kwetu ugonjwa ni ebola ila scientifically ni Marburg.
Kama ndivyo faida gani mswahili anapata kwa kumwambia tunakabiliwa na Marburg badala ya kumwambia anakabiliwa na Ebola anayoijua?
Akijua ni ebola si ataacha hata kula nyani na popo? Sasa Marburg atoke vipi? Ugonjwa mpya siyo?
Kwanini tunataka kucheza na lugha ya beberu kuwahadaa watu? Ndiyo maana kwenda robo fainali ni habari kubwa kuliko roho za watu siyo?
Ebola ni scientifically na Marburg ni scientifically yani tatizo unaliona jina Ebola limekaa kama local na Marburg limekaa kishuaPost #27 umeiona? Ninakazia:
"Bila shaka utakubaliana nami, kwetu ugonjwa ni ebola ila scientifically ni Marburg.
Kama ndivyo faida gani mswahili anapata kwa kumwambia tunakabiliwa na Marburg badala ya kumwambia anakabiliwa na Ebola anayoijua?
Akijua ni ebola si ataacha hata kula nyani na popo? Sasa Marburg atoke vipi? Ugonjwa mpya siyo?"
Mkuu,unachojaribu kufanya ni kuhalalisha mada uliyokuja nayo hata kama unajiona haupo sahihi.
Kuna mahali umekubali kuwa ni magonjwa mawili tofauti,lakini bado ulazimisha kuwa yaitwe jina moja.
Hiyo Marburg disease,sisi sio wa kwanza kupata,Uganda walipata,Congo,Ghana,Equitorial Guninea n.k..hizo nchi baadhi walipata Ebola pia.Lakini hawakuwahi kuuita ugonjwa wa marburg kuwa ni Ebola.
punguza ujuaji alafu kubali kujifunza kwani unafikili ebola ni common name yani kama jina la kujitungia.... Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na ebola virus na Marburg ni ugonjwa unaosababishwa na Marburg virus ote awa wanapatikana katika kundi la filovirus ambalo ni kundi la long filamentous virus na wana characteristics ya kusababisha hemorrhage fever yan ni homa inayosababisha kupungua kwa strength ya blood vessels na kupelekea kua rahisi kuburst na mtu kutokwa na damu
sasa kwa lugha rahisi ata kama simba na tiger wanafanana kwa kua ote wapo kwnye kundi moja mtu akishambuliwa na tiger atuwezi kusema kashambuliwa na simba kisa tu watu awajawai kumsikia tiger
Sawa bloangu,🤣🤣🤣
Ebola ni scientifically na Marburg ni scientifically yani tatizo unaliona jina Ebola limekaa kama local na Marburg limekaa kishua
Sio ebola hio acha kulazimisha