Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Post #27 umeiona? Ninakazia:

"Bila shaka utakubaliana nami, kwetu ugonjwa ni ebola ila scientifically ni Marburg.

Kama ndivyo faida gani mswahili anapata kwa kumwambia tunakabiliwa na Marburg badala ya kumwambia anakabiliwa na Ebola anayoijua?

Akijua ni ebola si ataacha hata kula nyani na popo? Sasa Marburg atoke vipi? Ugonjwa mpya siyo?"
Unalazimisha hoja.

Ni muhimu kuelewa kitabibu kila ugonjwa unajulikana kwa jina lake.
Kujulikana zaidi kwa ebola uswahilini hakuhalalishi Marburg iitwe Ebola.
 
Unalazimisha hoja.

Ni muhimu kuelewa kitabibu kila ugonjwa unajulikana kwa jina lake.
Kujulikana zaidi kwa ebola uswahilini hakuhalalishi Marburg iitwe Ebola.
Inakusaidia nini kuelewa plasmodium kitabibu wakati wewe ni wa malaria kufukia madimbwi, kusafisha mazingira na kupokea dawa mseto ukatumie ndugu?
 
Sijui aliyeleta huu ujinga wa kuondoa taaruki ni Nani ?

Atakuwa ni yule shujaa wa awamu Ile akiungwa mkono na kina Ngorunde. Hayo yakiendelea:

"Mabasi ya Happy Nation, Majinja, Abood, Travelers, Frester nk, yakipeleka mabasi mawili mawili tokea huko njia nzima kupitia Kahama, Singida, Dodoma, Morogoro hadi Dar kila siku."

Hii achilia mbali Mwanza, Musoma, Arusha hadi Kigoma.

Ila tuko busy kuondoa taharuki.
 
Sijui aliyeleta huu ujinga wa kuondoa taaruki ni Nani ?

Atakuwa ni yule shujaa wa awamu Ile akiungwa mkono na kina Ngorunde. Hayo yakiendelea:

"Mabasi ya Happy Nation, Majinja, Abood, Travelers, Frester nk, yakipeleka mabasi mawili mawili tokea huko njia nzima kupitia Kahama, Singida, Dodoma, Morogoro hadi Dar kila siku."

Hii achilia mbali Mwanza, Musoma, Arusha, Moshi hadi Kigoma.

Ila tuko busy kuondoa taharuki.
 
Labda kama ghafla unataka kuiandika historia upya.

Kiswahili ni kifinyu. Ebola ni neno la kigeni lililotoholewa kwenye kiswahili. Likaeleweka na kukubalika kuhusiana na kuwa rasmi kwa ugonjwa huu.

Marburg ni neno jipya na utohozi wake au kwa kiswahili tungali jina hatuna.

Baada ya siku zote kuelezana ebola ulipokuwa kwingine kote, sasa tunataka kutoka kivingine:

"Kwa ugonjwa ule ule utokanao na kula popo au nyani, wenye dalili zile zile, kujikinga kule kule na madhara yale yale."

Mtawadanganya wajinga werevu watawang'amua.

Cc: sudan iii
Ugonjwa wa Marburg uligundulika mji wa Marburg na Frankfurt,Ujerumani...ndio asili ya jina hilo.

Ugonjwa wa Ebola,mlipuko wake wa kwanza ulitokea Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo,kwenye kijini kilicho na mto Ebola...ndio asili ya jina Ebola.

Yamepewa majina kutokana na sehemu yalipotokea kwa mara ya kwanza.
 
Duuuh ii nchi inawajuaji wengi!! yani uko kwingine Marburg ndo inaitwa ebola

umesoma afya...ungesoma afya ungeelewa tofauti yao

Kutumia gari si lazima kujua kuna crankshaft inayohusika kwenye mchakato mzima.

Tofautisha substance na nitty gritty.
 
Tumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.

Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola.

View attachment 2562190

"Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake."

Maajabu ya Mussa.

Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?

Katika kinachoitwa kuepuka taharuki gonjwa halipewi umuhimu wala coverage yoyote ya maana kwenye media zetu. Kwetu Simba au Yanga kwenda robo fainali ni habari kubwa, Lakini si gonjwa hili.

Maisha yanaendelea kama vile kila kitu ni sawa.

Ya nini kutoambiana ukweli wote tukajipanga kukabiliana nalo ana kwa ana kama nchi?

Tahadhali iliyotolewa na wizara na kutogusana imo. Inawezekana namna gani kwenye maisha yetu ya kawaida watu kutokugusana masokoni, magulioni, mashuleni, makanisani, misikitini, kwenye mabasi au kwenye madala dala?

Ebola si ya maji tiririka, barakoa, michaichai, matango pori wala upigaji nyungu.

Walioyasikia ya kwetu wameshtuka kuliko sisi wakati sisi tukichukulia poa. Dhidi ya gonjwa hili dunia tayari inatunyanyapaa.

Angalia Rwanda, The New Times - Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak

Angalia mabeberu, BBC News - Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania

Coverage zao ni makini na kamilifu (extensive and focussed). Kwetu wenge la awamu ile na njama za mabeberu bado lingalipo.

Kwanini watu wasiambiwe ukweli wote kukiwa kungali mapema? Ya nini kujidanganya?

Magonjwa haya si vita (vya kiuchumi). Ebola si corona ambayo kuuwa kwake kulikuwa hadi 2%. Hiyo hata ikihusianisha uzee na uwepo wa magonjwa mengine pia.

Kwa hakika kwenye ugonjwa huu tusipoamka mapema usanii wetu uliozoeleka, utatuumbua.
Bumunda linalojifanya juvi.
 
Ugonjwa wa Marburg uligundulika mji wa Marburg na Frankfurt,Ujerumani...ndio asili ya jina hilo.

Ugonjwa wa Ebola,mlipuko wake wa kwanza ulitokea Jamuhuri ya kidemokrasia ya Kongo,kwenye kijini kilicho na mto Ebola...ndio asili ya jina Ebola.

Yamepewa majina kutokana na sehemu yalipotokea kwa mara ya kwanza.

Hakuna tatizo na maneno hayo kama majina ya mahali na kuwa leo ni misamiati katika lugha kadhaa.

Ebola limekuwapo muda na ni rasmi katika kiswahili.

Hili jingine ni jipya kwetu. Kinachotushangaza ni kuwa ghafla inalitumia hili:

"Baada ya siku zote kuelezana ebola ulipokuwa kwingine kote, sasa tunataka kutoka kivingine kote."

Kwamba:

"Kwa ugonjwa ule ule utokanao na kula vitu vile vile, wenye dalili zile zile, namna ya kujikinga ile ile na madhara yale yale?"

Looh! Kulikoni mbwa wazee hawa kujifunza jina jipya?
 
Inakusaidia nini kuelewa plasmodium kitabibu wakati wewe ni wa malaria kufukia madimbwi, kusafisha mazingira na kupokea dawa mseto ukatumie ndugu?
Kwa mtu wa kawaida,asiye mtaalamu akijua malaria tu,dalili na njia za kuzuia inatosha.

Kwa mtaalam wa afya,akijua Malaria pekee haitosaidia..lakini akijua na mdudu anayesababisha,Plasmodium..na species zake,life cycle yake,namna gani anasambazwa kutoka kwa mmbu,katika hatua gani mdudu anaweza kusababisha ugonjwa,dawa gani zinafaa na kwa nini dawa hizo,namna ya kumanage ugonjwa katika hatua tofauti tofauti hiyo ni nzuri zaidi,maana ataweza kuutibu ugonjwa kwa ufasaha.
 
Bumunda linalojifanya juvi.

Mollel anakuona:

FpKL8ABWcAANyqU.jpeg
 
Kwa mtu wa kawaida,asiye mtaalamu akijua malaria tu,dalili na njia za kuzuia inatosha.

Kwa mtaalam wa afya,akijua Malaria pekee haitosaidia..lakini akijua na mdudu anayesababisha,Plasmodium..na species zake,life cycle yake,namna gani anasambazwa kutoka kwa mmbu,katika hatua gani mdudu anaweza kusababisha ugonjwa,dawa gani zinafaa na kwa nini dawa hizo,namna ya kumanage ugonjwa katika hatua tofauti tofauti hiyo ni nzuri zaidi,maana ataweza kuutibu ugonjwa kwa ufasaha.

Tatizo kwenye nchi badala ya uwepo mbuzi na watu kama viumbe tofauti, kuna na hizi viumbe MoseKing, Kapeace zenyewe haziko na tofauti na mbuzi.

Kujadiliana kwa hoja haiwahusu bali kejeli na matusi hata kwenye mambo ya msingi.

Bure kabisa.
 
Tatizo kwenye nchi badala ya uwepo mbuzi na watu kama viumbe tofauti, kuna na hizi viumbe MoseKing Kapeace zenyewe haziko na tofauti na mbuzi.

Kujadiliana kwa hoja haiwahusu bali kejeli na matusi hata kwenye mambo ya msingi.

Bure kabisa.
Wewe ndo mwenyekiti wa uliowaita wajinga
 
Tumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.

Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola.

View attachment 2562190

"Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake."

Maajabu ya Mussa.

Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?

Katika kinachoitwa kuepuka taharuki gonjwa halipewi umuhimu wala coverage yoyote ya maana kwenye media zetu. Kwetu Simba au Yanga kwenda robo fainali ni habari kubwa, Lakini si gonjwa hili.

Maisha yanaendelea kama vile kila kitu ni sawa.

Ya nini kutoambiana ukweli wote tukajipanga kukabiliana nalo ana kwa ana kama nchi?

Tahadhali iliyotolewa na wizara na kutogusana imo. Inawezekana namna gani kwenye maisha yetu ya kawaida watu kutokugusana masokoni, magulioni, mashuleni, makanisani, misikitini, kwenye mabasi au kwenye madala dala?

Ebola si ya maji tiririka, barakoa, michaichai, matango pori wala upigaji nyungu.

Walioyasikia ya kwetu wameshtuka kuliko sisi wakati sisi tukichukulia poa. Dhidi ya gonjwa hili dunia tayari inatunyanyapaa.

Angalia Rwanda, The New Times - Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak

Angalia mabeberu, BBC News - Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania

Coverage zao ni makini na kamilifu (extensive and focussed). Kwetu wenge la awamu ile na njama za mabeberu bado lingalipo.

Kwanini watu wasiambiwe ukweli wote kukiwa kungali mapema? Ya nini kujidanganya?

Magonjwa haya si vita (vya kiuchumi). Ebola si corona ambayo kuuwa kwake kulikuwa hadi 2%. Hiyo hata ikihusianisha uzee na uwepo wa magonjwa mengine pia.

Kwa hakika kwenye ugonjwa huu tusipoamka mapema usanii wetu uliozoeleka, utatuumbua.
Mkuu nimefukua fukua kuhusu hili Marburg. Liachwe jina hilo hilo kwa sababu ni balaa kubwa kuliko ebola.

Fungua link hii

jamaa, hili gonjwa ni terminator linapangusa kwa speed mbaya.

Kibaya ni kiwa serikali yetu inadhibiti taarifa kwa umma na kuzitoa zile zinazopaswa kutolewa kwa watoto wa shule.
 
Mkuu nimefukua fukua kuhusu hili Marburg. Liachwe jina hilo hilo kwa sababu ni balaa kubwa kuliko ebola.

Fungua link hii

jamaa, hili gonjwa ni terminator linapangusa kwa speed mbaya.

Kibaya ni kiwa serikali yetu inadhibiti taarifa kwa umma na kuzitoa zile zinazopaswa kutolewa kwa watoto wa shule.


Mkuu hawachelewi kusema tunataka kuleta taharuki. Hivi kama mbuni wanajificha kwa kuficha vichwa mchangani.

Lengo si kuonyesha hali yetu kuwa ni mbaya zaidi japo huo ndiyo ulio ukweli mchungu.

Kwanini kuwaficha wananchi leo kuwa tuna Ebola ndani ya nyumba? Wakisema tuna Ebola hata Itobo, Nzega huko ataelewa.

Kulikoni majina mapya haya leo ambako hawakuyatumia Congo, Uganda au huko Afrika Magharibi Kwa ugonjwa huo huo?

Updates za ugonjwa ziko wapi tokea kwa wenzetu 8 wa mwanzo, ambao bila shaka waliofariki walioshwa na kuzikwa kawaida?

Yule mwingine tuliambiwa alikuwa ni bwana Harusi wa kwenye hafla. Kwamba ilikwisha je?

Kwanini serikali inataka kutuhodhi sisi kama mbuzi mbuzi tu?

Hivi Jaji wa kina Adamoo asingeweza kuwakuta hawa serikali na kesi ya kujibu kweli?
 
Kuna watu ni wajuaji sana aisee.
Yapo magonjwa yanashare symptoms nyingi tu then confirmation inakuwa ni laboratory test au imaging etc ntakupa mfano
U.T.I=typhoid
Marburg virus diseases=ebola virus Diseases
GBS=ADEM
Kwa hiyo uache ujuaji jamaa, huna data unaleta ujuaji.
 
Back
Top Bottom