- Thread starter
- #81
Jaribu kuwaza,uwatangazie watu ni Ebola kumbe sio ni Maburg,wakajua kuwa ina chanjo,wakapata chanjo ya ebola wakidhani wamejikinga.Halafu mlipuko ukaendelea kusambaa,watu haohao wakadhurika na kupata Marburg...kwa ujinsi unavyoweza kuua kwa haraka..unadhani utakuwa umesaidia au umetengeneza tatizo zaidi?
Pia,mambo ya kisayansi,yanaendeshwa kisayansi.Huwezi tangaza Ebola wakati kuna Marburg.
Tumekubaliana ya professionals yanabakia kwa Professionals.
Kwanini Congo, Uganda, Gabon, Guinea, Sierra Leone, Liberia na kote kwingine serikali imekuwa ikisema ilikuwa ebola?
Kwamba tuna Ebola isiyo na chanjo haikuwa ndiyo njia sahihi ya kuufikisha ujumbe kwa jamii yetu ndani ya ufinyu wa lugha yetu badala ya kujifunza majina mapya?
Hatuna haki ya kujua maendeleo ya ugonjwa huu?