Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Server kujaa ni sehemu ya kazi yake. Tafadhali jibu matatu yale.Hii nimejibu hapo juu, soma kwa makini si kujaza server jamani.
Naona umeamua kunogesha Uzi wako,hoja za kijingajinga ili uwe na pages nyingiServer kujaa ni sehemu ya kazi yake. Tafadhali jibu matatu yale.
Mama AICC aliwaambia mje huku na hoja si kuruka ruka.
Majibu ya maswali haya tafadhali:
1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?
Cc: Humilis
Una maabara yako umepima wahanga ukajua ni ebola!?..hao mabwana zako mabeberu wamepima wakakwambia ni ebola!?
Umejaza ujinga tu kwenye mada,na ile mentality ya wabongo kuombea mabaya nchi yaoUmeisoma mada japo ukaelewa msingi wake au ni kurukia treni kwa mbele?
"Haya ya kuuliza a maabara za kupima tulishatoka huko. Wenye maswali yao wangali wanachemsha miti shamba huko."
Msingi wa mada ni huu:
"Tumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.
Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola."
Mkazo uko hapa:
"Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?"
Hata hivyo ukipenda kuwasaidia kina Humilis na bwana Lukonge Kuna maswali hapa wanapiga dana dana tu:
1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?
Ni hayo tu ndugu mjumbe.
Naona umeamua kunogesha Uzi wako,hoja za kijingajinga ili uwe na pages nyingi
Mwendawazimu huona wengine ndiyo wagonjwa wazimuKwani wewe nani ndugu? Mbona na miye naona uliyeuamua kuonyesha ujinga wako halisi ni wewe?
View attachment 2562429
Umejaza ujinga tu kwenye mada,na ile mentality ya wabongo kuombea mabaya nchi yao
Ujinga ni kung'ang'ania marbug virus kuwa Ebola virusHuo si ndiyo wako uliokuja nao
Mwendawazimu huona wengine ndiyo wenda wenda wazimu. Timamu kabisa kama ilivyo wewe!Mwendawazimu huona wengine ndiyo wagonjwa wazimu
Ujinga ni kung'ang'ania marbug virus kuwa Ebola virus
Ugonjwa hauamuliwi na nchi kama nchi tu. Kuna WHO na ukikataa wanapiga kelele. Ugonjwa hauwezekani kuuficha. Wewe sasa unakuwa wale watu wanafika hospitali na kumwambia daktari yeye ana malaria au typhoid bila kusubiria majibu ya daktrari.Tumekumbwa gonjwa hatari lenye kuuwa hadi 90% ya wahanga.
Sisi kwa tunachoita kuondoa taharuki tumependelea kuliita Marburg badala ya jina lake linalofahamika uswahilini, yaani Ebola.
View attachment 2562190
"Kwamba tumependa kutoliita koleo kwa jina lake."
Maajabu ya Mussa.
Tangu lini uswahilini neno Marburg likafahamika? Kwani gonjwa hili lilipokuwa Congo, Uganda, Guinea, Gabon, Sierra Leone au Liberia tuliwahi liita Marburg?
Katika kinachoitwa kuepuka taharuki gonjwa halipewi umuhimu wala coverage yoyote ya maana kwenye media zetu. Kwetu Simba au Yanga kwenda robo fainali ni habari kubwa, Lakini si gonjwa hili.
Maisha yanaendelea kama vile kila kitu ni sawa.
Ya nini kutoambiana ukweli wote tukajipanga kukabiliana nalo ana kwa ana kama nchi?
Tahadhali iliyotolewa na wizara na kutogusana imo. Inawezekana namna gani kwenye maisha yetu ya kawaida watu kutokugusana masokoni, magulioni, mashuleni, makanisani, misikitini, kwenye mabasi au kwenye madala dala?
Ebola si ya maji tiririka, barakoa, michaichai, matango pori wala upigaji nyungu.
Walioyasikia ya kwetu wameshtuka kuliko sisi wakati sisi tukichukulia poa. Dhidi ya gonjwa hili dunia tayari inatunyanyapaa.
Angalia Rwanda, The New Times - Rwanda on Marburg alert after Tanzania outbreak
Angalia mabeberu, BBC News - Ebola-like Marburg virus kills five people in Tanzania
Coverage zao ni makini na kamilifu (extensive and focussed). Kwetu wenge la awamu ile na njama za mabeberu bado lingalipo.
Kwanini watu wasiambiwe ukweli wote kukiwa kungali mapema? Ya nini kujidanganya?
Magonjwa haya si vita (vya kiuchumi). Ebola si corona ambayo kuuwa kwake kulikuwa hadi 2%. Hiyo hata ikihusianisha uzee na uwepo wa magonjwa mengine pia.
Kwa hakika kwenye ugonjwa huu tusipoamka mapema usanii wetu uliozoeleka, utatuumbua.
Ujinga ni mzigo. Unavyopambana na uzi wako kusambaza ujinga wako ungetumia nguvu hiyo kutafuta pesa.Huo si ndiyo wako uliokuja nao
Marburg na ebola wapo kundi moja la virus
Filoviruses (very long viruses ) na wote ni enveloped RNA viruses na wana present na symptoms Sawa na wote hawana dawa zaidi zaidi tunatumia monoclonal antibody kutibu Mfano ansumivabb hata vaccine yake ya kuunga haijulikani bado, Zmapp
Na wote wanapimwa na RT-PCR pamoja na ELISA
Hawa ni wabaya na si kama corona wa story nyingi Hawa ukileta masihara unakwenda na maji
Unachonishangaza ni pale unapoforce Marbug iitwe Ebola eti kwakuwa huko uswahilini kwenu haifahamiki!!! Hivi una akili kweli au kichwa kimejaa samadi!?Hivi una uwezo hata wa kuandika sentence 2 zezeta wewe?
Hiiiiiii bagosha! [emoji1787][emoji1787]
Ujinga ni mzigo. Unavyopambana na uzi wako kusambaza ujinga wako ungetumia nguvu hiyo kutafuta pesa.Ujinga ni mzigo. Unavyopambana na uzi wako kusambaza ujinga wako ungetumia nguvu hiyo kutafuta pesa.
Ulichoandika ni TAKATAKA
Unachonishangaza ni pale unapoforce Marbug iitwe Ebola eti kwakuwa huko uswahilini kwenu haifahamiki!!! Hivi una akili kweli au kichwa kimejaa samadi!?
Kama vipi itisha press.
Unachonishangaza ni pale unapoforce Marbug iitwe Ebola eti kwakuwa huko uswahilini kwenu haifahamiki!!! Hivi una akili kweli au kichwa kimejaa samadi!?
Kama vipi itisha press.