Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

Tunapoichukulia poa Ebola hata kuiita majina yasiyojulikana ni hatari

punguza ujuaji alafu kubali kujifunza kwani unafikili ebola ni common name yani kama jina la kujitungia.... Ebola ni ugonjwa unaosababishwa na ebola virus na Marburg ni ugonjwa unaosababishwa na Marburg virus ote awa wanapatikana katika kundi la filovirus ambalo ni kundi la long filamentous virus na wana characteristics ya kusababisha hemorrhage fever yan ni homa inayosababisha kupungua kwa strength ya blood vessels na kupelekea kua rahisi kuburst na mtu kutokwa na damu

sasa kwa lugha rahisi ata kama simba na tiger wanafanana kwa kua ote wapo kwnye kundi moja mtu akishambuliwa na tiger atuwezi kusema kashambuliwa na simba kisa tu watu awajawai kumsikia tiger
Alafu hiyo virus inatokana na kula nyani Marburg ilitokea kwenye nyani wa labs huko Ujerumani mji wa Marburg na Ebola ilitokea kwanza congo magonjwa hayo yote hutokana na nyani usile hiyo kitu na kaa mbali na nyani
 
Hata ebola si kiswahili. Bali ebola ni jina la mto huko Congo lenye kuhusianishwa na asili ya ugonjwa huo.

Ugonjwa ulioko Kagera hauwezi kuachwa kufungamanishwa na ugonjwa uliomalizika majuzi Uganda.

Why is Uganda's Ebola outbreak so serious? - BBC News

Kwamba Uganda ilikuwa ebola ni mwenda wazimu pekee anaweza kuamini Leo kuwa kagera Kuna ugonjwa mwingine Marburg ambao si ebola wenye dalili hizo hizo.

Hivi Kwa kutuona je ndugu?

Nyie si mna historia ya kupima mbuzi, oil, mapapai na hata mafuta ya kula na majibu yanapatikana?
Hapa unapoteza point, nenda kasome IQA na EQA. Rudi uje uone uliyoandika. Yale majibu hayakuwa kamili kwa mujibu wa taratibu za qualitu assessment. Kajisomee, usibebe mambonya wanasiasa. PI alitoa boko.
 
Nadhani umepotea sasa, tafakari kwanza.

Si kuwa umetambua kudanganya mjifunze kukumbuka na huwezi kuwadanganya watu wote siku zote?

Walisema waswahili fumbo fumbieni wajinga.
 
Kwamba unasaidiwa je?

Huu ugonjwa umetokea Uganda?

Why is Uganda's Ebola outbreak so serious? - BBC News

Unafanana kila kitu na ebola ila siyo Ebola. Anayesema hivyo aliwahi pima mbuzi na oil kwenye janga jingine kama hili?

Mnategemea tutawaambia? Kwa lipi sasa?
Kasome misitu inayozunguka upande wa Uganda na Bukoba na possibility za kuleta HAEMORRHAGIC FEVER kwa kuzingatia mienendo ya maisha ya watu na mwingiliano wake.
 
Hapa unapoteza point, nenda kasome IQA na EQA. Rudi uje uone uliyoandika. Yale majibu hayakuwa kamili kwa mujibu wa taratibu za qualitu assessment. Kajisomee, usibebe mambonya wanasiasa. PI alitoa boko.
Umeamua kuandika ya kwako. Si Kuna maswali mle mbona hujibu?

Huu ugonjwa unaaminika kutokea Uganda siyo?
 
Kasome misitu inayozunguka upande wa Uganda na Bukoba na possibility za kuleta HAEMORRHAGIC FEVER kwa kuzingatia mienendo ya maisha ya watu na mwingiliano wake.
Kulikoni hujibu maswali ndugu?
 
Si kuwa umetambua kudanganya mjifunze kukumbuka na huwezi kuwadanganya watu wote siku zote?

Walisema waswahili fumbo fumbieni wajinga.
Utasema hayo ukiwa na ushahidi si hisia na hapa tunatoka kwenye fact na kuanza maneno ya kanga.

Ndo maana nasema pumzika utafakari ili uje na mabo ya msingi na yenye kusaidia jamii.
 
Heee.
Kumbe hiki wanachokiita Marburg ni Ebola?
Acheni utani bandugu mnamaanishsha ebola kama ebola yenyewe?
 
Utasema hayo ukiwa na ushahidi si hisia na hapa tunatoka kwenye fact na kuanza maneno ya kanga.

Ndo maana nasema pumzika utafakari ili uje na mabo ya msingi na yenye kusaidia jamii.

Kama majibu huna ustaarabu si kusema majibu huna?

Nakuuliza tena:

1. Huu ugonjwa ni logical kudhani umetokea Uganda. Kweli?
2. Huu ugonjwa una dalili zile zile kama walioutokomeza Uganda majuzi. Kweli?
3. Ugonjwa uliotokomezwa majuzi Uganda karibu na kagera ulikuwa ni ebola. Kweli?

Majibu kwa matatu hayo itapendeza zaidi.

Cc: Humilis
 
Back
Top Bottom