- Thread starter
- #141
ID za msaada kama hizi:Duh hii nchi ngumu sana. Mwamba ana force tanzania tuwe na ebola kwasababu ndo inajulikana sana uswazi.
Huwa tunazitegemea hali ikiwa Tete.
Posts 34 Kwa miaka 5?
Mtawachuuza wajinga tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ID za msaada kama hizi:Duh hii nchi ngumu sana. Mwamba ana force tanzania tuwe na ebola kwasababu ndo inajulikana sana uswazi.
Mbona naona katika wote mnaojadili hapa mnajizungusha au kukwepa kuzungumzia swala la kwamba miezi kadhaa nyuma Uganda walikuwa na hii changamoto na tukumbuke Uganda ni jirani tu hapo na tulishauriana tuchukue tahadhari.
Sio binadamu wote wana akili timamu. Kuna watu wanavichwa vigumu na vizito kuelewa hawa kuwaelekeza inabidi utumie hata viboko na kipigo ili wakikumbuka maumivu wajue mipaka yao ila sio kushika maelekezo ya mdomo.
Sasa nina mashaka muingiliano wa raia eneo la mipakani hapo wilaya za Bukoba wameruhusu watu wa Mataifa jirani kuingia na hatimaye wameleta maambukizi upande wetu.
CCM na genge lao wanalojiita serikali (of which mimi nakataa) wameshindwa kuweka mikakati ya tahadhari tokea siku taarifa ya kwanza ya outbreak huko Uganda imetokea je, walituma hata makachero wa usalama wa taifa kwenda kutazama hali ipo vipi na kuja na mikakati ya kuweka lile eneo chini ya uangalizi ikiwamo kuweka vipimo maeneo yote ya jumuiya na kufanya vipimo kwa raia wanaosafiri kuja mikoa mingine?!
Hapa nina wasi wasi kuna watu wanaingia kila siku kutoka mataifa haya jirani na kuja bila kukaguliwa na hatimae tutakuja shituka outbreak imesambaa mikoa mingine ya katikati.
Mkoa wa bukoba unatakiwa kuwa under quarantine kuanzia sasa tukizungumza. Asiruhusiwe mtu yoyote kutoka huko kuja mikoa jirani wala kwenda nchi jirani hadi pale amefanyiwa vipimo mara kumi kumi ili kujiridhisha kuwa hana hizo changamoto.
Hii inchi muda mwingine mtu unajiuliza inaendeshwa na watu wa aina gani mbona hata wanafunzi wa chuo kikuu wangepewa serikali basi wangekuwa na maamuzi serious sana kuliko hawa wadudu tulio nao.
Wao kazi yao ni kufuatilia nani kamtukana raisi, nani anaponda serikali hizo ndizo shughuli ambazo hawa wanaojiita usalama wa taifa wanazimudu ila mtu anapita kwenye mipaka na virus wa ugonjwa hatari sana ambao unaua kwa haraka sana mara tu ukimpata muhanga, huyu mtu anapita kwenye mipaka bila kikwazo chochote na kuleta madhara kwa raia.
Wewe usiyekuwa na facts za ndoto majibu yako yako wapi?Kuna watu wakiota tu wanaona ni fact.
Ungekuwa umejibu matatu haya Mh. DC, si ungewasaidia wajumbe wa serikali waliotimua mbio?Bavicha kila kitu mnajua. Hiyo nguvu kwa nn msiitumie kumzuia sultan kula pesa za ruzuku?
Jamaa ataendelea kukaza fuvu mwisho lipasuke tiiiNdiyo,ni magonjwa mawili tofauti yasababishwayo na viruses wa aina mbili tofauti,yaani Ebola virus na Marburg virus.
Malaria ni ugonjwa na Plasmodium ni mdudu asababishaye malaria,na ni kweli malaria ndio ifahamikayo mtaani sio plasmodium.
Kwa kuwa umesema mwenyewe hayo ni magonjwa mawili tofauti,unadhani ni sahihi kwamba baada ya wataalam wa afya kuthibitisha kuwa,huo ni ugonjwa wa Marburg na sio Ebola,watangaze kuwa ni ebola hata kama yanafanana kwa asilimia kubwa?
Na sababu kuu ya kuudanganya uma iwe ni kuwa "uswahilini hawautambui marburg bali ebola"
Mkuu,hata kama Marburg virus disease na Ebola virus disease yanafanana kwa asilimia kubwa,lakini huwezi kuita Ebola- marburg na marburg-ebola.Ni magonjwa tofauti,yasababishwayo na wadudu tofauti.
Bongo watu wanafiki sana wanakupa definition ya Ebola kinyume nyume
Kama kula nyani basi wamakonde wasingekuepo kwenye uso wa dunia mana wale watu hawaachi kitu kuanzia Nyani,tumbili,fungo,bundi,yani wana msemo wao "kila kilichoumbwa na Mungu rukhsa kuliwa" kwa kimakonde sijui wanasemajeAlafu hiyo virus inatokana na kula nyani Marburg ilitokea kwenye nyani wa labs huko Ujerumani mji wa Marburg na Ebola ilitokea kwanza congo magonjwa hayo yote hutokana na nyani usile hiyo kitu na kaa mbali na nyani
Kama kula nyani basi wamakonde wasingekuepo kwenye uso wa dunia mana wale watu hawaachi kitu kuanzia Nyani,tumbili,fungo,bundi,yani wana msemo wao "kila kilichoumbwa na Mungu rukhsa kuliwa" kwa kimakonde sijui wanasemaje
Ogopa sana mijitu MIJUHA halafu MIBISHIDuh hii nchi ngumu sana. Mwamba ana force tanzania tuwe na ebola kwasababu ndo inajulikana sana uswazi.
Sawa mkuu lakini sidhani kama Wana sababu ya kufichaUlichoandika ni ukweli mtupu. Ajabu ni kuwa wanaoujua ukweli huo wengine wamechagua kuwa wapotoshaji. Kuwaaminisha wasiojua cynically kuwa Marburg si Ebola (ambao ni ukweli) na kuwa with Marburg tuko vizuri (ambao ni upuuzi).
Kwamba wanacheza na lugha kulikimbia tatizo mabus yakiendelea kuchanja mbuga kama vile hakuna jipya.
Aina gani ya watu walio na dhamana ya afya zetu hawa?
mitanzania inaweza kuwa mijinga ila siyo wote, wengine tunajitambua nini tunafanya
EBOLA IPOOO!!!!
Utahangaika sana.Kina Ruble wanasema kuuita ugonjwa Kwa jina lake (ebola) ni kuukoleza.
Ebola inauwa. Hata sasa ni mjinga peke yake ndiye anayeweza kuamini kuwa walioathirika ni hao tu tuliokwisha kuambiwa.
Ni kweli kuwa tuna wajinga wengi nchini ambao ni mtaji muhimu zaidi wa serikali za CCM. Ila ni vyema wakajua SI wote.
Walisema fumbo mfumbie mjinga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sio ebola hio acha kulazimisha
Hii nchi ni kiboko!! Hawa Keyboard worriors ni shida.Duuuh ii nchi inawajuaji wengi!! yani uko kwingine Marburg ndo inaitwa ebola
umesoma afya...ungesoma afya ungeelewa tofauti yao
Kumbe ulidhani ni mashindano? 🤣🤣🤣Utahangaika sana.
Hakuna cha ebola wala babaake na ebola [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bumunda linalojifanya juvi.
Huyu mtu wa kuitwa BRAZAJ hata kipindi cha corona alileta ujuaji wa kufa mtu humu jamvini.Kuna watu ni wajuaji sana aisee.
Yapo magonjwa yanashare symptoms nyingi tu then confirmation inakuwa ni laboratory test au imaging etc ntakupa mfano
U.T.I=typhoid
Marburg virus diseases=ebola virus Diseases
GBS=ADEM
Kwa hiyo uache ujuaji jamaa, huna data unaleta ujuaji.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] eeeh si ndioMarbug ni Marbug na Ebola ni Ebola