Tunapokuwa na taifa ambalo mkuu wa nchi anakaa kimya pale raia wake wanapouliwa kinyume cha sheria hilli Tataizo kubwa. Kwanini yupo kimya?

Tunapokuwa na taifa ambalo mkuu wa nchi anakaa kimya pale raia wake wanapouliwa kinyume cha sheria hilli Tataizo kubwa. Kwanini yupo kimya?

Nyankurungu2020

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2020
Posts
4,170
Reaction score
6,757
Kila mtanzania ana haki ya kuishi. Awe ni mharifu sio mhalifu hii ni kwa mujibu wa ibara ya 14 ya katiba JMT.

Kama ni mahalifu basi apelekwe mahakamani kwa kwa mujibu wa ibara ya 13 ya katiba ya JMT.

Hii kamata kamata ya kulazimishana kuvua nguo ili binti na baba yake walalane imetoka wapi?

Kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo ya makosa ya jinai ipo wazi namna mhalifu anatakiwa kukamatwa.

Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anataka watu wamalizwe.
 
Acha kulalamika mjomba kama wao waliuwa basi acha na wao wauwawe. Umeshaambiwa kuwa "Mshahara wa DHAMBI ni MAUTI".

Hao mbwa koko wenu walizingua mpaka kuifanya nchi ionekane haina serikali. Sasa kibao kimewageukia unakuja kulalamika.

Mbona wakati wao (panya road) wakifanya uhalifu wa kuvunja nyumba za raia, kuiba, kujeruhi na mpaka kuuwa raia wasiokuwa na hatia mbona haukuja kuandika ushuzi wako hapa kwa waliyoyafanya?

Nashauri polisi isisitishe oparation hii mpaka ihakikishe nchi inarudi kuwa mahali salama kwa kila mmoja wetu kuishi kwa amani na furaha.
 
Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anatata watu wamalizwe.
Unalialia nini wewe ukishika mtutu wa bunduki jua ipo siku utakufa kwa mtu wa bunduki

Hao majambazi unawatetea nini ukiona hadi polisi wanachukua maamuzi hayo jua there's no other means or no other options to deal with them isipokua kuwasukumia vyuma tu

Pongezi ziwafikie jeshi la polisi kwa utendaji mzuri wa kazi yao ya kuwamaliza kabisa watu km hao na wenye tabia km hizo ikiwezekana wamalizwe kabisa wote pasibakie hata mmoja kila atakaedakwa apelekewe chuma tu hakuna mjadala piga manati ya mzungu akajieleze mbele huko

Unasema sheria akienda ndani anatoka anarudi mtaani anafanya vile vile inamaana hajajutia kosa alilofanya mwanzo anaendeleza uhalifu

Pigwa manati ya mzungu ndio kilichobakia
 
Mtu yeyeto anapokengeuka na kuamua kuwa muhalifu huyo ameshatoka kwenye ubinanadamu inatakiwa haraka sana arejeshwe kuzimu haraka sana Ili asilete madhara. Vipi kwa mfano akiua mtu ambae kesho anatakiwa awe Rais, huoni ni hasara kwa Jamii.
 
Binafsi nahisi mleta mada na yeye ni panya road au ni mnufaika wa uhalifu unaofanywa na panya road. Hawa ndio wale watu ambao hununua vitu mbali mbali vya bei chee kutoka katika makundi hayo ya panya road.

Kwahiyo wakiuwawa mleta mada atakosa watu wengine wa kumletea mizigo ya wizi ya bei chee, ndo maana amekimbilia huku kulalamika ili apate uungwaji mkono na hatimae polisi isitishe zoezi lake la kuwaangamiza wahalifu na wauaji hao.
Bora polisi ingekuwa inapitia na huku mitandaoni kuwachunguza na kuwafuatilia hawa wanaoonesha kukerwa na hatua zinazochukuliwa na serikali katika jitihada za kurudisha amani na usalama jijini Dar es salaam na nchini kwa ujumla.
 
Kila mtanzania ana haki ya kuishi. Awe ni mharifu sio mhalifu hii ni kwa mujibu wa ibara ya 14 ya katiba JMT.

Kama ni mahalifu basi apelekwe mahakamani kwa kwa mujibu wa ibara ya 13 ya katiba ya JMT.

Hii kamata kamata ya kulazimishana kuvua nguo ili binti na baba yake walalane imetoka wapi?

Kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo ya makosa ya jinai ipo wazi namna mhalifu anatakiwa kukamatwa.

Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anatata watu wamalizwe.
Nadhani Watawala wana Akili Kubwa. Hawo wanaouawa ndo waliwekewa madarakani kwa vitisho, kuua na kubambikizia makesi. Hata ningekuwa Mimi siwezi kumkemea anayeniweka madarakani!
 
Binafsi nahisi mleta mada na yeye ni panya road au ni mnufaika wa uhalifu unaofanywa na panya road. Hawa ndio wale watu ambao hununua vitu mbali mbali vya bei chee kutoka katika makundi hayo ya panya road.

Kwahiyo wakiuwawa mleta mada atakosa watu wengine wa kumletea mizigo ya wizi ya bei chee, ndo maana amekimbilia huku kulalamika ili apate uungwaji mkono na hatimae polisi isitishe zoezi lake la kuwaangamiza wahalifu na wauaji hao.
Bora polisi ingekuwa inapitia na huku mitandaoni kuwachunguza na kuwafuatilia hawa wanaoonesha kukerwa na hatua zinazochukuliwa na serikali katika jitihada za kurudisha amani na usalama jijini Dar es salaam na nchini kwa ujumla.
Point zako ni Nzuri sana Kama ungezipeleka bungeni itungwe sheria ya kuwapa mamlaka hayo Police. Vinginevyo kusaka Teuzi kusitufanye Watanzania tuishi Kihayawani kama Wasaka Teuzi mlivyogeuka kuwa Hayawani hapa Tanzania!
 
Wasimamia Sheria ndio hao wao wavunja Sheria lipi lipo sahihi??

Hawa polisi lazima wajifunze kitu na kwa haya wanayofanya wajue kuwa watu Wana haki ya kurudisha mrejesho hasi kwa matendo yao
 
Point zako ni Nzuri sana Kama ungezipeleka bungeni itungwe sheria ya kuwapa mamlaka hayo Police. Vinginevyo kusaka Teuzi kusitufanye Watanzania tuishi Kihayawani kama Wasaka Teuzi mlivyogeuka kuwa Hayawani hapa Tanzania!
Siku panya road wakivamia kwako na kukuvunjia yai kwenye mattercall mbele ya mke wako usikose kuja kuandika uharo wako hapa JF.
 
Nilikuwa nahangaika kuwatafuta wale watu wanaoua vikongwe kule Kanda ya Ziwa kwa sababu ya macho yao kuwa mekundu na hivyo kuhusishwa na ushirikina.
Bahati nzuri leo nimewapata humu JF.
Melo atatusaidia.
 
Kila mtanzania ana haki ya kuishi. Awe ni mharifu sio mhalifu hii ni kwa mujibu wa ibara ya 14 ya katiba JMT.

Kama ni mahalifu basi apelekwe mahakamani kwa kwa mujibu wa ibara ya 13 ya katiba ya JMT.

Hii kamata kamata ya kulazimishana kuvua nguo ili binti na baba yake walalane imetoka wapi?

Kifungu cha 14 cha sheria ya mwenendo ya makosa ya jinai ipo wazi namna mhalifu anatakiwa kukamatwa.

Sheria mama inavunjwa. Sheria za zinazohusika zinavunjwa mkuu wa nchi yupo kimya. Basi anatata watu wamalizwe.
Mbona kina lisu,saanane, azroy na kina mawazo serikali ilikaa kimya tena bila hata kutia neno mfyuuuu
 
Back
Top Bottom