Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

Tunaposema CCM imeishiwa watu muwe mnaelewa Katibu Mkuu UVCCM ametokea CHADEMA

Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
KUMBE NDIO WALE WALIONUNULIWA AIBU
 
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
Kama ambavyo chadema huwa inachukua walipigwa chini na ccm kama lowassa na wengine na kuwasimamisha kuwa wagombea au sio.
 
Faki Lulandala amekuwa mwanachama na kiongozi wa Chadema kwa miaka mingi tu , mwaka 2014 alipanda hadi ngazi ya mkoa wa Njombe .

2018 aliunga kilichoitwa Juhudi kwa serikali ya Jiwe , ilikuwa aambatane na George Sanga (Sanga alikataa baadaye akapewa kesi ya mauaji na yuko ndani hadi leo)

Bwana Lulandala baada ya kujiuza akatunukiwa UDC wa Momba , na sasa ni Katibu Mkuu wa UVCCM Taifa .

Je wewe Chawa mfia chama unadhani ni lini utapata nafasi ikiwa Wasaliti ndio wanateka Chama ? Majibu anayo Lucas mwashambwa

Narudia tena kwamba Sitawahurumia hata kidogo , Wachumia tumbo wakubwa nyie ! mtaendelea tu kutumika kama Naniliu .....

View attachment 2768625
Kitu usichojua bado na utakuja kuchukua muda mrefu sana kujua kuwa huyo alitoka CCM na kupelekwa CHADEMA kwa kazi maalumu na alipoikamilisha akarudi CCM!
Hizi teuzi anazopata ni kutokana na ufanisi wa kazi zake alizokamilisha ikiwemo akiwa huko CHADEMA!
CCM Ina " watu wake" kwenye vyama vyote kitu ambacho CHADEMA hawakijui na hawana maarifa hayo hata kidogo!
Huwa nilkiona " mijitu" ya CHADEMA kama akina Heche, Bon Yai inajifanya mijanja kumbe haijui imepakatwa na CCM!
CCM ni master wa " Dark Arts" !
 
Kitu usichojua bado na utakuja kuchukua muda mrefu sana kujua kuwa huyo alitoka CCM na kupelekwa CHADEMA kwa kazi maalumu na alipoikamilisha akarudi CCM!
Hizi teuzi anazopata ni kutokana na ufanisi wa kazi zake alizokamilisha ikiwemo akiwa huko CHADEMA!
CCM Ina " watu wake" kwenye vyama vyote kitu ambacho CHADEMA hawakijui na hawana maarifa hayo hata kidogo!
Huwa nilkiona " mijitu" ya CHADEMA kama akina Heche, Bon Yai inajifanya mijanja kumbe haijui imepakatwa na CCM!
CCM ni master wa " Dark Arts" !
Hakuna lolote ! wadanganye wajinga sana .
 
Hakuna lolote ! wadanganye wajinga sana .
Sawa, Patrobas Katambi hakuwa Mwenyekiti wa BAVICHA?!
Hamkuja kujua baadaye kuwa alikuwa Afisa Kipenyo baada ya report ku- reveal hivyo!

Nyie mnachojua kwa ufasaha hapo CHADEMA ni kula Kitimoto na Mbususu za Viti maalum wenu basi!

Niliona uliuliza swali la kijinga kuhusu umri wa Lulandala na uteuzi wake wa Katibu Mkuu wa UVCCM!

Mtu hujui hata structures za CCM , ndo utawajuwa wana CCM walioko CHADEMA?!

Katibu Mkuu wa jumuia yoyote ya CCM ni Mtendaji Mwajiriwa hivyo hafungwi na kanuni za umri za jumuia husika.

CHADEMA hata structures za maana hamna!
Kina John Mrema utakuta wako Baa wanakula Kitimoto wanateuana mara Mkurugenzi sijui wa Mambo ya Nje na taka taka gani wakati hata geti la Ubalozi wa USA hapo Barabara ya Mwai Kibaki hajawahi kanyaga!
 
Back
Top Bottom