Tunaposema Diamond ni mnyonyaji muwe mnaelewa. Inasemekana kipindi cha Bartender kimepigwa ''stop''

Tunaposema Diamond ni mnyonyaji muwe mnaelewa. Inasemekana kipindi cha Bartender kimepigwa ''stop''

Moderator uzi wa hivi upo tayari huyu sijui kafufukia wapi kipindi kilisimama kwa muda na kikarudi hewani unganisheni.
Mnataka kuficha huu utapeli ili isijulikane kua idea ya hicho kipindi ni cha Baghdad, Yale yale ya babu tale..

Washaurini hao Wasafi waache janjajanja na utapeli, waajiri watu wenye upeo na wabunifu

"Yule mtoto aliyemsema sana Ruge Sasa kawa Mtoto Mbaya"
 
Mnataka kuficha huu utapeli ili isijulikane kua idea ya hicho kipindi ni cha Baghdad, Yale yale ya babu tale..

Washaurini hao Wasafi waache janjajanja na utapeli, waajiri watu wenye upeo na wabunifu

"Yule mtoto aliyemsema sana Ruge Sasa kawa Mtoto Mbaya"
Hakifichwi kitu ili linajulikana ulikuwepo wapi wakati kipindi kiko off air hadi kikarudi?

Uzi upo siku nyingi sana
 
Yaani mleta maada ni kopo
amecopy na kupaste kutoka kwa jamaa mmoja humu aliposti Jana asubuhi

akili za kuambiwa changanya na zako,usitumie chuki kupitiliza.
Tunaomba source ya hii Habari yako sio kubwabwaja humu kama kibogoyo,ndio maana mods huwa wanafuta nyuzi zako.
 
Robidinyo

Acha wivu tafuta Kazi ya kufanya na wewe uwe na maisha mazuri
 
Moderator

uzi zenye propaganda na zisizo na ushahidi Kama Huu alioleta mtoa mada zifuteni watu aina ya mtoa mada ndo wanaharibu taswira nzima ya jamiiforum fanyieni kazi hili.
 
Robidinyo,

Domo ni mwizi na kila mwenye akili timamu analiona hilo.

Kaiba na anaendeleakuiba nyimbo za watu.

Anakopi na kupaste kuanzia kweny Nyimbo, watangazaji mpaka vipindi vya media.

Aisee wazee shule MUhimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
wewe mwenye shule unakipi ulichomzidi domo? jaribuni kuficha upumbavu wenu ambao kamwe hauna nguvu ya kumshusha mondi **** nyie
 
mkuu jaribuni kubuni mbinu tofauti katka kupambana na domo maana mbinu zenu zakueneza chuki zimefail vibaya mno na jamaa anachanja mbuga kwa kasi sana kuliko matarajio yenu
 
mkuu jaribuni kubuni mbinu tofauti katka kupambana na domo maana mbinu zenu zakueneza chuki zimefail vibaya mno na jamaa anachanja mbuga kwa kasi sana kuliko matarajio yenu
Namshangaa mtoa mada kampeni yake yakumpost Alikiba na king's music imeishia wapi?
 
Msanii Baghdad aliwahi kusema kuwa wazo la kipindi cha The Bartender lilikuwa ni lake na mwanzo wazo lilikuwa TheCounter au The Bartender na alilisajili COSOTA na kubaki na hatimiliki yake. Alishangaa kuona kipindi kinatangazwa wakati makubaliano hayakuwa yametimizwa na kukubaliana. Baghdad anasema kuwa makubaliano yalikuwa ni apate 13% ya mapato yatokanayo na show na idea zote ambazo ataziweka pale Wasafi kuliko kuajiriwa, yaani awe na life-time contract na Wasafi Media.

Baghdad anaendelea kusema kuwa wakiwa katika mchakato wa kusaini mkataba ambao ilionekana kuwa 13% ni kubwa na ishuke hadi 5% ghafla akashangaa kuona promo ya The Bartender, anasema aliamua kuwasiliana na Diamond, cha ajabu Diamond hakuwahi kupokea simu wala kujibu meseji zake. Anasema ilimstua na kuamua kumtafuta Babu Tale, Tale alimsihi sana Baghdad kuwa mtulivu wakati anaongea na Diamond juu ya hili. Alimsihi pia kutofanya chochote mathalani interview popote. Baada ya siku kadhaa Tale na Baghdad walichekiana na kumchana kuwa Diamond kasema fanya chocote unachoweza.

Baghdad aliamua kwenda COSOTA kutafuta haki yake kwa maana hata wazo la Jogoo ni miongoni mwa madini aliyoyatoa Wasafi. Anazidi kusema kuwa, COSOTA waliwaita ili kuwasuruhisha japo Diamond alikuwa akituma wawakilishi, mazungumzo yalifanyika kwa siku kadhaa bila mafanikio na Baghdad kuamua kwenda Mahakamani ili tu haki yake ipatikane.

Kwakeli huu ni utapeli wa kuaminika. Jamaa hawana ubunifu wowote ni wazee wa Kucopy na ku-paste. Walimsema sana Ruge hawa; sasa yule mtoto aliyekua analialia kuonewa kawa mtoto mbaya.
Siku zote mbaazi ikikosa mauwa husingizia jua... Ruge naye alisemwa sana... MUNGU AKAMUITA.. waliokuwa wanalalama wengine wamezidi kushuka...
 
Namshangaa mtoa mada kampeni yake yakumpost Alikiba na king's music imeishia wapi?
waache waendelee na chuki zao maana ndo zinampaisha mtoto wa tandale, jana katangaza kuja na album washanuna na kuanza kuleta nyuzi za chuki
 
We ni jinsia gani mkuu au ndo Juma lokole. Inakuuma sana huyo mzazi mwenzenu mnataka aongelewe kwa mazuri tu wakati kuna mabaya kibao anafanya..

Usinipangie cha kupost wala usinipangie mda wa kupost,. Wewe andika mazuri ya huyo mzazi mwenzako, mi ntaandika ambayo nyie hamwezi kuyaandika kisa ushabiki maandazi, Imekuuma utapeli wake kuwekwa wazi,.

Nyie ndo wale hata jamaa akipost sink la choo Mnaenda kukoment viemoj vya moto huku mkibana pua Chibu akee, simbaa akee, hizo pigo peleka huko hapa tunaongea mambo ya kiume, Utapeli haukubaliki
Aya, tangia umeanza kuandika mabaya yake imekusaidia nini?[emoji1]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi Bartender na Mkasi kwa wataalam wa maudhui tofauti yake nini?Bwana mayowela tusaidie.

Manake kama kulalamika kuibiwa Idea angetakiwa alalamike AY au Salama,alichofanya huyo Baghdad kuiba idea ya mkasi nakubadilisha location ndio wewe mshamba Robidinyo unaita ubunifu.

Kuna watu wameiga kipindi cha Homa ya jiji cha EFM kila kitu lkn sijawahi kuona watu wakilalamika.
 
Hivi Bartender na Mkasi kwa wataalam wa maudhui tofauti yake nini?Bwana mayowela tusaidie.

Manake kama kulalamika kuibiwa Idea angetakiwa alalamike AY au Salama,alichofanya huyo Baghdad kuiba idea ya mkasi nakubadilisha location ndio wewe mshamba Robidinyo unaita ubunifu.

Kuna watu wameiga kipindi cha Homa ya jiji cha EFM kila kitu lkn sijawahi kuona watu wakilalamika.
Hata mimi naonaga hivyo, ni mkasi with a different location

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Moderator

uzi zenye propaganda na zisizo na ushahidi Kama Huu alioleta mtoa mada zifuteni watu aina ya mtoa mada ndo wanaharibu taswira nzima ya jamiiforum fanyieni kazi hili.
Unajipendeza, ushahidi gani unaoutaka wewe Guruguja
 
Hivi Bartender na Mkasi kwa wataalam wa maudhui tofauti yake nini?Bwana mayowela tusaidie.

Manake kama kulalamika kuibiwa Idea angetakiwa alalamike AY au Salama,alichofanya huyo Baghdad kuiba idea ya mkasi nakubadilisha location ndio wewe mshamba Robidinyo unaita ubunifu.

Kuna watu wameiga kipindi cha Homa ya jiji cha EFM kila kitu lkn sijawahi kuona watu wakilalamika.
Yani ukiwa shabiki wa Diamond na akili inakua utopolo.?
 
Wabongo kama hawampendi mtu ukileta tuhuma watandandia treni bila kuhitaji ushahidi ila kama wanampenda kama Diamond uileta tuhuma watataka ushahidi...
Maisha bongo mazuri kweli maana hatuishi vituko
 
Back
Top Bottom