Robidinyo
JF-Expert Member
- Feb 20, 2016
- 4,043
- 8,686
- Thread starter
- #21
Mnataka kuficha huu utapeli ili isijulikane kua idea ya hicho kipindi ni cha Baghdad, Yale yale ya babu tale..Moderator uzi wa hivi upo tayari huyu sijui kafufukia wapi kipindi kilisimama kwa muda na kikarudi hewani unganisheni.
Washaurini hao Wasafi waache janjajanja na utapeli, waajiri watu wenye upeo na wabunifu
"Yule mtoto aliyemsema sana Ruge Sasa kawa Mtoto Mbaya"