Kwani wewe upo wapi Kati ya hao watu?Wabongo kama hawampendi mtu ukileta tuhuma watandandia treni bila kuhitaji ushahidi ila kama wanampenda kama Diamond uileta tuhuma watataka ushahidi...
Maisha bongo mazuri kweli maana hatuishi vituko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe upo wapi Kati ya hao watu?Wabongo kama hawampendi mtu ukileta tuhuma watandandia treni bila kuhitaji ushahidi ila kama wanampenda kama Diamond uileta tuhuma watataka ushahidi...
Maisha bongo mazuri kweli maana hatuishi vituko
Mimi siko kokote maana hakuna linalonifaidisha atakayefanya poa fresh tu kitakachonivutia kusikiliza nitasikiliza kitakachonikera nitapotezea siha hisaKwani wewe upo wapi Kati ya hao watu?
Unafiki wao upoje kwenye hii issue?Wa bongo kwa unafiki hawajambo kama una watetezi mitandaoni hata ukitembea uchi utapata wa kukutea ishu sasa uchukiwe ndio utawajua wa bongo walivyo
Mzee ume copy kwa chapo hahhaah ww jmaaa banaMsanii Baghdad aliwahi kusema kuwa wazo la kipindi cha The Bartender lilikuwa ni lake na mwanzo wazo lilikuwa TheCounter au The Bartender na alilisajili COSOTA na kubaki na hatimiliki yake. Alishangaa kuona kipindi kinatangazwa wakati makubaliano hayakuwa yametimizwa na kukubaliana. Baghdad anasema kuwa makubaliano yalikuwa ni apate 13% ya mapato yatokanayo na show na idea zote ambazo ataziweka pale Wasafi kuliko kuajiriwa, yaani awe na life-time contract na Wasafi Media.
Baghdad anaendelea kusema kuwa wakiwa katika mchakato wa kusaini mkataba ambao ilionekana kuwa 13% ni kubwa na ishuke hadi 5% ghafla akashangaa kuona promo ya The Bartender, anasema aliamua kuwasiliana na Diamond, cha ajabu Diamond hakuwahi kupokea simu wala kujibu meseji zake. Anasema ilimstua na kuamua kumtafuta Babu Tale, Tale alimsihi sana Baghdad kuwa mtulivu wakati anaongea na Diamond juu ya hili. Alimsihi pia kutofanya chochote mathalani interview popote. Baada ya siku kadhaa Tale na Baghdad walichekiana na kumchana kuwa Diamond kasema fanya chocote unachoweza.
Baghdad aliamua kwenda COSOTA kutafuta haki yake kwa maana hata wazo la Jogoo ni miongoni mwa madini aliyoyatoa Wasafi. Anazidi kusema kuwa, COSOTA waliwaita ili kuwasuruhisha japo Diamond alikuwa akituma wawakilishi, mazungumzo yalifanyika kwa siku kadhaa bila mafanikio na Baghdad kuamua kwenda Mahakamani ili tu haki yake ipatikane.
Kwakeli huu ni utapeli wa kuaminika. Jamaa hawana ubunifu wowote ni wazee wa Kucopy na ku-paste. Walimsema sana Ruge hawa; sasa yule mtoto aliyekua analialia kuonewa kawa mtoto mbaya.
Angekua anaiba au anacopy nyimbo zingekua zinafutwa youtube.....Robidinyo,
Domo ni mwizi na kila mwenye akili timamu analiona hilo.
Kaiba na anaendeleakuiba nyimbo za watu.
Anakopi na kupaste kuanzia kweny Nyimbo, watangazaji mpaka vipindi vya media.
Aisee wazee shule MUhimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Wabongo kama hawampendi mtu ukileta tuhuma watandandia treni bila kuhitaji ushahidi ila kama wanampenda kama Diamond uileta tuhuma watataka ushahidi...
Maisha bongo mazuri kweli maana hatuishi vituko
Mkuu uwe na topic zingine basi mara mojamojaMsanii Baghdad aliwahi kusema kuwa wazo la kipindi cha The Bartender lilikuwa ni lake na mwanzo wazo lilikuwa TheCounter au The Bartender na alilisajili COSOTA na kubaki na hatimiliki yake. Alishangaa kuona kipindi kinatangazwa wakati makubaliano hayakuwa yametimizwa na kukubaliana. Baghdad anasema kuwa makubaliano yalikuwa ni apate 13% ya mapato yatokanayo na show na idea zote ambazo ataziweka pale Wasafi kuliko kuajiriwa, yaani awe na life-time contract na Wasafi Media.
Baghdad anaendelea kusema kuwa wakiwa katika mchakato wa kusaini mkataba ambao ilionekana kuwa 13% ni kubwa na ishuke hadi 5% ghafla akashangaa kuona promo ya The Bartender, anasema aliamua kuwasiliana na Diamond, cha ajabu Diamond hakuwahi kupokea simu wala kujibu meseji zake. Anasema ilimstua na kuamua kumtafuta Babu Tale, Tale alimsihi sana Baghdad kuwa mtulivu wakati anaongea na Diamond juu ya hili. Alimsihi pia kutofanya chochote mathalani interview popote. Baada ya siku kadhaa Tale na Baghdad walichekiana na kumchana kuwa Diamond kasema fanya chocote unachoweza.
Baghdad aliamua kwenda COSOTA kutafuta haki yake kwa maana hata wazo la Jogoo ni miongoni mwa madini aliyoyatoa Wasafi. Anazidi kusema kuwa, COSOTA waliwaita ili kuwasuruhisha japo Diamond alikuwa akituma wawakilishi, mazungumzo yalifanyika kwa siku kadhaa bila mafanikio na Baghdad kuamua kwenda Mahakamani ili tu haki yake ipatikane.
Kwakeli huu ni utapeli wa kuaminika. Jamaa hawana ubunifu wowote ni wazee wa Kucopy na ku-paste. Walimsema sana Ruge hawa; sasa yule mtoto aliyekua analialia kuonewa kawa mtoto mbaya.
Tabu gani uliyoona hapo? Ya kuwashangaa wabongo au?Hivi kwanini unapata tabu yote hii?
Huu muda ungekua unaleta nyuzi za kiba ila wewe kutwa mond ndio maana mond yuko active sana kila kona anaongelewaaWe ni jinsia gani mkuu au ndo Juma lokole. Inakuuma sana huyo mzazi mwenzenu mnataka aongelewe kwa mazuri tu wakati kuna mabaya kibao anafanya..
Usinipangie cha kupost wala usinipangie mda wa kupost,. Wewe andika mazuri ya huyo mzazi mwenzako, mi ntaandika ambayo nyie hamwezi kuyaandika kisa ushabiki maandazi, Imekuuma utapeli wake kuwekwa wazi,.
Nyie ndo wale hata jamaa akipost sink la choo Mnaenda kukoment viemoj vya moto huku mkibana pua Chibu akee, simbaa akee, hizo pigo peleka huko hapa tunaongea mambo ya kiume, Utapeli haukubaliki
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Endelea kupambana utapata tuzo ya kumchukia mtu.
Baadala wampe attention msanii wao kiba wao kutwa mond mond yaani hakauki midomoni mwaomkuu jaribuni kubuni mbinu tofauti katka kupambana na domo maana mbinu zenu zakueneza chuki zimefail vibaya mno na jamaa anachanja mbuga kwa kasi sana kuliko matarajio yenu
Kwahiyo upendi hoja za wanaomtetea Diamond?Tabu gani uliyoona hapo? Ya kuwashangaa wabongo au?
Msanii Baghdad aliwahi kusema kuwa wazo la kipindi cha The Bartender lilikuwa ni lake na mwanzo wazo lilikuwa TheCounter au The Bartender na alilisajili COSOTA na kubaki na hatimiliki yake. Alishangaa kuona kipindi kinatangazwa wakati makubaliano hayakuwa yametimizwa na kukubaliana. Baghdad anasema kuwa makubaliano yalikuwa ni apate 13% ya mapato yatokanayo na show na idea zote ambazo ataziweka pale Wasafi kuliko kuajiriwa, yaani awe na life-time contract na Wasafi Media.
Baghdad anaendelea kusema kuwa wakiwa katika mchakato wa kusaini mkataba ambao ilionekana kuwa 13% ni kubwa na ishuke hadi 5% ghafla akashangaa kuona promo ya The Bartender, anasema aliamua kuwasiliana na Diamond, cha ajabu Diamond hakuwahi kupokea simu wala kujibu meseji zake. Anasema ilimstua na kuamua kumtafuta Babu Tale, Tale alimsihi sana Baghdad kuwa mtulivu wakati anaongea na Diamond juu ya hili. Alimsihi pia kutofanya chochote mathalani interview popote. Baada ya siku kadhaa Tale na Baghdad walichekiana na kumchana kuwa Diamond kasema fanya chocote unachoweza.
Baghdad aliamua kwenda COSOTA kutafuta haki yake kwa maana hata wazo la Jogoo ni miongoni mwa madini aliyoyatoa Wasafi. Anazidi kusema kuwa, COSOTA waliwaita ili kuwasuruhisha japo Diamond alikuwa akituma wawakilishi, mazungumzo yalifanyika kwa siku kadhaa bila mafanikio na Baghdad kuamua kwenda Mahakamani ili tu haki yake ipatikane.
Kwakeli huu ni utapeli wa kuaminika. Jamaa hawana ubunifu wowote ni wazee wa Kucopy na ku-paste. Walimsema sana Ruge hawa; sasa yule mtoto aliyekua analialia kuonewa kawa mtoto mbaya.
Siyo sioendagi hoja ila nimemtumia kama mfano ila nilichozungumza ni kwamba ushahidi kwa wabongo ni pale wanapokuwa wanampenda mtu huyo huyo mtu anayetaka ushahidi akiona post ya tuhuma kwa mtu asiyemtaka hatotaka ushahidi ataunga tela... hii iko kote hadi kwenye siasa.Kwahiyo upendi hoja za wanaomtetea Diamond?
We ni jinsia gani mkuu au ndo Juma lokole. Inakuuma sana huyo mzazi mwenzenu mnataka aongelewe kwa mazuri tu wakati kuna mabaya kibao anafanya..
Usinipangie cha kupost wala usinipangie mda wa kupost,. Wewe andika mazuri ya huyo mzazi mwenzako, mi ntaandika ambayo nyie hamwezi kuyaandika kisa ushabiki maandazi, Imekuuma utapeli wake kuwekwa wazi,.
Nyie ndo wale hata jamaa akipost sink la choo Mnaenda kukoment viemoj vya moto huku mkibana pua Chibu akee, simbaa akee, hizo pigo peleka huko hapa tunaongea mambo ya kiume, Utapeli haukubaliki
Ameshakwenda mkuu siku si nyingi dogo atajaa mapesa, aliwanyoosha huko mahakamaniUmesema kama wazo lake alilisajili COSOTA sasa si angeenda mahakamani kudai TRILIONI zake Kadhaa
Sent using Jamii Forums mobile app