Tunaposema Diamond ni mnyonyaji muwe mnaelewa. Inasemekana kipindi cha Bartender kimepigwa ''stop''

Tunaposema Diamond ni mnyonyaji muwe mnaelewa. Inasemekana kipindi cha Bartender kimepigwa ''stop''

Wabongo kama hawampendi mtu ukileta tuhuma watandandia treni bila kuhitaji ushahidi ila kama wanampenda kama Diamond uileta tuhuma watataka ushahidi...
Maisha bongo mazuri kweli maana hatuishi vituko
Kwani wewe upo wapi Kati ya hao watu?
 
Wa bongo kwa unafiki hawajambo kama una watetezi mitandaoni hata ukitembea uchi utapata wa kukutea ishu sasa uchukiwe ndio utawajua wa bongo walivyo
 
Msanii Baghdad aliwahi kusema kuwa wazo la kipindi cha The Bartender lilikuwa ni lake na mwanzo wazo lilikuwa TheCounter au The Bartender na alilisajili COSOTA na kubaki na hatimiliki yake. Alishangaa kuona kipindi kinatangazwa wakati makubaliano hayakuwa yametimizwa na kukubaliana. Baghdad anasema kuwa makubaliano yalikuwa ni apate 13% ya mapato yatokanayo na show na idea zote ambazo ataziweka pale Wasafi kuliko kuajiriwa, yaani awe na life-time contract na Wasafi Media.

Baghdad anaendelea kusema kuwa wakiwa katika mchakato wa kusaini mkataba ambao ilionekana kuwa 13% ni kubwa na ishuke hadi 5% ghafla akashangaa kuona promo ya The Bartender, anasema aliamua kuwasiliana na Diamond, cha ajabu Diamond hakuwahi kupokea simu wala kujibu meseji zake. Anasema ilimstua na kuamua kumtafuta Babu Tale, Tale alimsihi sana Baghdad kuwa mtulivu wakati anaongea na Diamond juu ya hili. Alimsihi pia kutofanya chochote mathalani interview popote. Baada ya siku kadhaa Tale na Baghdad walichekiana na kumchana kuwa Diamond kasema fanya chocote unachoweza.

Baghdad aliamua kwenda COSOTA kutafuta haki yake kwa maana hata wazo la Jogoo ni miongoni mwa madini aliyoyatoa Wasafi. Anazidi kusema kuwa, COSOTA waliwaita ili kuwasuruhisha japo Diamond alikuwa akituma wawakilishi, mazungumzo yalifanyika kwa siku kadhaa bila mafanikio na Baghdad kuamua kwenda Mahakamani ili tu haki yake ipatikane.

Kwakeli huu ni utapeli wa kuaminika. Jamaa hawana ubunifu wowote ni wazee wa Kucopy na ku-paste. Walimsema sana Ruge hawa; sasa yule mtoto aliyekua analialia kuonewa kawa mtoto mbaya.
Mzee ume copy kwa chapo hahhaah ww jmaaa bana

Na wewe unataka kunyonywa dada!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Robidinyo,

Domo ni mwizi na kila mwenye akili timamu analiona hilo.

Kaiba na anaendeleakuiba nyimbo za watu.

Anakopi na kupaste kuanzia kweny Nyimbo, watangazaji mpaka vipindi vya media.

Aisee wazee shule MUhimuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu
Angekua anaiba au anacopy nyimbo zingekua zinafutwa youtube.....

Sio kubwabwaja leta facts tuone. Domo kakuibia nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wabongo kama hawampendi mtu ukileta tuhuma watandandia treni bila kuhitaji ushahidi ila kama wanampenda kama Diamond uileta tuhuma watataka ushahidi...
Maisha bongo mazuri kweli maana hatuishi vituko


Hivi kwanini unapata tabu yote hii?
 
Msanii Baghdad aliwahi kusema kuwa wazo la kipindi cha The Bartender lilikuwa ni lake na mwanzo wazo lilikuwa TheCounter au The Bartender na alilisajili COSOTA na kubaki na hatimiliki yake. Alishangaa kuona kipindi kinatangazwa wakati makubaliano hayakuwa yametimizwa na kukubaliana. Baghdad anasema kuwa makubaliano yalikuwa ni apate 13% ya mapato yatokanayo na show na idea zote ambazo ataziweka pale Wasafi kuliko kuajiriwa, yaani awe na life-time contract na Wasafi Media.

Baghdad anaendelea kusema kuwa wakiwa katika mchakato wa kusaini mkataba ambao ilionekana kuwa 13% ni kubwa na ishuke hadi 5% ghafla akashangaa kuona promo ya The Bartender, anasema aliamua kuwasiliana na Diamond, cha ajabu Diamond hakuwahi kupokea simu wala kujibu meseji zake. Anasema ilimstua na kuamua kumtafuta Babu Tale, Tale alimsihi sana Baghdad kuwa mtulivu wakati anaongea na Diamond juu ya hili. Alimsihi pia kutofanya chochote mathalani interview popote. Baada ya siku kadhaa Tale na Baghdad walichekiana na kumchana kuwa Diamond kasema fanya chocote unachoweza.

Baghdad aliamua kwenda COSOTA kutafuta haki yake kwa maana hata wazo la Jogoo ni miongoni mwa madini aliyoyatoa Wasafi. Anazidi kusema kuwa, COSOTA waliwaita ili kuwasuruhisha japo Diamond alikuwa akituma wawakilishi, mazungumzo yalifanyika kwa siku kadhaa bila mafanikio na Baghdad kuamua kwenda Mahakamani ili tu haki yake ipatikane.

Kwakeli huu ni utapeli wa kuaminika. Jamaa hawana ubunifu wowote ni wazee wa Kucopy na ku-paste. Walimsema sana Ruge hawa; sasa yule mtoto aliyekua analialia kuonewa kawa mtoto mbaya.
Mkuu uwe na topic zingine basi mara mojamoja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We ni jinsia gani mkuu au ndo Juma lokole. Inakuuma sana huyo mzazi mwenzenu mnataka aongelewe kwa mazuri tu wakati kuna mabaya kibao anafanya..

Usinipangie cha kupost wala usinipangie mda wa kupost,. Wewe andika mazuri ya huyo mzazi mwenzako, mi ntaandika ambayo nyie hamwezi kuyaandika kisa ushabiki maandazi, Imekuuma utapeli wake kuwekwa wazi,.

Nyie ndo wale hata jamaa akipost sink la choo Mnaenda kukoment viemoj vya moto huku mkibana pua Chibu akee, simbaa akee, hizo pigo peleka huko hapa tunaongea mambo ya kiume, Utapeli haukubaliki
Huu muda ungekua unaleta nyuzi za kiba ila wewe kutwa mond ndio maana mond yuko active sana kila kona anaongelewaa

Team kiba mnafeli wapi si mum promte kiba hahahahhaa mnampa attention simba sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Endelea kupambana utapata tuzo ya kumchukia mtu.
 
Msanii Baghdad aliwahi kusema kuwa wazo la kipindi cha The Bartender lilikuwa ni lake na mwanzo wazo lilikuwa TheCounter au The Bartender na alilisajili COSOTA na kubaki na hatimiliki yake. Alishangaa kuona kipindi kinatangazwa wakati makubaliano hayakuwa yametimizwa na kukubaliana. Baghdad anasema kuwa makubaliano yalikuwa ni apate 13% ya mapato yatokanayo na show na idea zote ambazo ataziweka pale Wasafi kuliko kuajiriwa, yaani awe na life-time contract na Wasafi Media.

Baghdad anaendelea kusema kuwa wakiwa katika mchakato wa kusaini mkataba ambao ilionekana kuwa 13% ni kubwa na ishuke hadi 5% ghafla akashangaa kuona promo ya The Bartender, anasema aliamua kuwasiliana na Diamond, cha ajabu Diamond hakuwahi kupokea simu wala kujibu meseji zake. Anasema ilimstua na kuamua kumtafuta Babu Tale, Tale alimsihi sana Baghdad kuwa mtulivu wakati anaongea na Diamond juu ya hili. Alimsihi pia kutofanya chochote mathalani interview popote. Baada ya siku kadhaa Tale na Baghdad walichekiana na kumchana kuwa Diamond kasema fanya chocote unachoweza.

Baghdad aliamua kwenda COSOTA kutafuta haki yake kwa maana hata wazo la Jogoo ni miongoni mwa madini aliyoyatoa Wasafi. Anazidi kusema kuwa, COSOTA waliwaita ili kuwasuruhisha japo Diamond alikuwa akituma wawakilishi, mazungumzo yalifanyika kwa siku kadhaa bila mafanikio na Baghdad kuamua kwenda Mahakamani ili tu haki yake ipatikane.

Kwakeli huu ni utapeli wa kuaminika. Jamaa hawana ubunifu wowote ni wazee wa Kucopy na ku-paste. Walimsema sana Ruge hawa; sasa yule mtoto aliyekua analialia kuonewa kawa mtoto mbaya.

Yani umeenda kukopy mawazo na maelezo ya mtu katika mada ukaja paste hapa mpe credit mkuu sio vzr ufanyavyo


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kwahiyo upendi hoja za wanaomtetea Diamond?
Siyo sioendagi hoja ila nimemtumia kama mfano ila nilichozungumza ni kwamba ushahidi kwa wabongo ni pale wanapokuwa wanampenda mtu huyo huyo mtu anayetaka ushahidi akiona post ya tuhuma kwa mtu asiyemtaka hatotaka ushahidi ataunga tela... hii iko kote hadi kwenye siasa.
 
Mbona unamchukia wakati hela za malezi alikupa??
We ni jinsia gani mkuu au ndo Juma lokole. Inakuuma sana huyo mzazi mwenzenu mnataka aongelewe kwa mazuri tu wakati kuna mabaya kibao anafanya..

Usinipangie cha kupost wala usinipangie mda wa kupost,. Wewe andika mazuri ya huyo mzazi mwenzako, mi ntaandika ambayo nyie hamwezi kuyaandika kisa ushabiki maandazi, Imekuuma utapeli wake kuwekwa wazi,.

Nyie ndo wale hata jamaa akipost sink la choo Mnaenda kukoment viemoj vya moto huku mkibana pua Chibu akee, simbaa akee, hizo pigo peleka huko hapa tunaongea mambo ya kiume, Utapeli haukubaliki

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom