The Professor
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 2,221
- 4,564
mtoa uzi na wote walio ku support ni wapuuzi vilevile.. kama alivyo yule mzungu wenu.. sababu mnaonyesha chuki zenu personal kwa Zahera na Yanga nzima, huu ni mpira kila siku huwezi kua wewe tu, leo manchester united wako wapi na pesa zao,, kumbukeni kabla ya pesa za Mo mbwa nyie mlikua mmekaa miaka 5 bila ubingwa mpaka mkataka kwenda FIFA leo hii kuchuku ubingwa mara moja tu imekua tabu, unamsema Zahera kama nyie lengo lenu ni kuelimisha na si kumu attack basi mngeanza na uyo mzungu wenu hata kama yeye ndiye msemaji lakini he is always out of protocol