Pre GE2025 Tunaposhangaa misafara ya Makonda tukumbuke Mbowe anatumia Usafiri wa Chopa kwenye mikutano ya Kawaida kabisa!

Pre GE2025 Tunaposhangaa misafara ya Makonda tukumbuke Mbowe anatumia Usafiri wa Chopa kwenye mikutano ya Kawaida kabisa!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hapo iliposhiwa na mafuta na ikabakia kuwa ya kupigia selfie
fb_img_1684849274867-jpg.2632462

..Ccm huwa hawaishiwi fedha.

..jiulize wanatoa wapi fedha za kutapanya bila kikomo kama sio kwa kutukamua kwa kodi, tozo, na ufisadi?
 
..Ccm huwa hawaishiwi fedha.
Sina uhakika, lakini ndivyo inavyoonekana. We can assume?
..jiulize wanatoa wapi fedha za kutapanya bila kikomo kama sio kwa kutukamua kwa kodi, tozo, na ufisadi?
Wafadhili? Hatahivyo hata ikitokea CHADEMA wameshika Dola-watakamua kodi kulingana na kamba zao. In a sense kwamba wao ndio watakuwa Serikali/Serikalini.

Ni kuulize tu, labda utakuwa na za ndani za CHADEMA.
Unafikiri wana bajeti za kununua Noah pindi wakishika Dola?
 
Kuna wajinga wengi sana nchini ndio maama ccm wanawaburuza miaka 200 wajinga wengiii sanaas
 
Sina uhakika, lakini ndivyo inavyoonekana. We can assume?

Wafadhili? Hatahivyo hata ikitokea CHADEMA wameshika Dola-watakamua kodi kulingana na kamba zao. In a sense kwamba wao ndio watakuwa Serikali/Serikalini.

Ni kuulize tu, labda utakuwa na za ndani za CHADEMA.
Unafikiri wana bajeti za kununua Noah pindi wakishika Dola?ki

..tunahitaji katiba mpya na bora itakayodhibiti wanasiasa na watawala.

..katiba hii ya 1977 hata tukichagua kiongozi msafi lazima atalewa na kuvimbiwa na madaraka na mwisho wake sio mzuri kwetu.

..kama utakumbuka ktk kampeni za 2020 Lissu alikuwa akiwaambia wananchi kwamba anataka kubadilisha katiba ndani ya muda mfupi kwasababu hataki kuwa Raisi mungu-mtu kama watangulizi ktk nafasi hiyo.
 
Nimeona akina Yoda, Tindo, Mshana Jr nk wanalalamikia msafara wa bodaboda zinazomsindikiza Komredi Makonda kwenye mikutano yake ya Chama

Niwashauri tu wangeanza kuhoji Matumizi mabaya ya ruzuku kukodi Chopa wanayopanda Watu Wawili tu Mbowe na Mrema

Sina Mengi

Mlale Unono [emoji3]
Huna akili

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo chopa ni ya serekali? Watu wanahoji magari ya serekali kutumika kwenye ziara za huyo muhalifu kwa faida ya chama.
Makonda ni mpango wa Mungu,jiandae kuugua kisukari na presha kwa chuki ulizonazo dhidi yake.

Kama ni mkosa peleka ushahidi wako mahakamani ili ashughulikiwe
 
Nimeona akina Yoda, Tindo, Mshana Jr nk wanalalamikia msafara wa bodaboda zinazomsindikiza Komredi Makonda kwenye mikutano yake ya Chama

Niwashauri tu wangeanza kuhoji Matumizi mabaya ya ruzuku kukodi Chopa wanayopanda Watu Wawili tu Mbowe na Mrema

Sina Mengi

Mlale Unono [emoji3]
Kweli una AKILI NDOGO SANA

Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Hiyo chopa ni ya serekali? Watu wanahoji magari ya serekali kutumika kwenye ziara za huyo muhalifu kwa faida ya chama.
Dhana ni Ile Ile hakuna kitakachobadilika ikiwa ameshindwa kujidhibiti hana Serikali akiwanayo atawezaje Sasa? Utetezi wa kijinga
 
Hiyo chopa ni ya serekali? Watu wanahoji magari ya serekali kutumika kwenye ziara za huyo muhalifu kwa faida ya chama.
wahenga hawakukosea waliposema,

nanukuu..

"Nyani haoni kundule"

mwisho wa kunukuu ,
cc.
nyumbu
 
..tunahitaji katiba mpya na bora itakayodhibiti wanasiasa na watawala.
Naamini katiba hii iliopo inatosheleza kama ilivyo kama tu ikafuatwa na kuheshimiwa. Mbona J.K.Nyerere aliweza? Hatahivyo marekebisho yanaweza yakafanywa kupunguza au kuongeza athari zinazoonekana. Chanya au Hasi.
..katiba hii ya 1977 hata tukichagua kiongozi msafi lazima atalewa na kuvimbiwa na madaraka na mwisho wake sio mzuri kwetu.
Kwa msingi huo unadai Katiba yetu ni nzee hatahivyo inafanya kazi kama ilivyo.

Kama Rais Nyerere aliweza kutawala bila ya kulewa na kuvimbiwa, Kwanini imshinde Tundu Lissu au mtu yeyote yule?
..kama utakumbuka ktk kampeni za 2020 Lissu alikuwa akiwaambia wananchi kwamba anataka kubadilisha katiba ndani ya muda mfupi kwasababu hataki kuwa Raisi mungu-mtu kama watangulizi ktk nafasi hiyo.

...

JK, nakumbuka.

Je, TL anashindwa nini, kama ndie atakae chaguliwa kuwa Raisi, ashindwe kufanya kama alivyofanya Rais J.K. Nyerere?

Eniweyi, sidhani kama katiba mpya ndio itamfanya Lissu au Mbowe kutotumia V8 kama ndio gari Serikali inaweza kumpatia. Ukizingatia kwamba anahitaji ulinzi na aina fulani ya Comfort akiwa kwenye gari.
 
Back
Top Bottom