Makonda ni mpango wa Mungu,jiandae kuugua kisukari na presha kwa chuki ulizonazo dhidi yake.
Kama ni mkosa peleka ushahidi wako mahakamani ili ashughulikiwe
Naamini katiba hii iliopo inatosheleza kama ilivyo kama tu ikafuatwa na kuheshimiwa. Mbona J.K.Nyerere aliweza? Hatahivyo marekebisho yanaweza yakafanywa kupunguza au kuongeza athari zinazoonekana. Chanya au Hasi.
Kwa msingi huo unadai Katiba yetu ni nzee hatahivyo inafanya kazi kama ilivyo.
Kama Rais Nyerere aliweza kutawala bila ya kulewa na kuvimbiwa, Kwanini imshinde Tundu Lissu au mtu yeyote yule?
...
JK, nakumbuka.
Je, TL anashindwa nini, kama ndie atakae chaguliwa kuwa Raisi, ashindwe kufanya kama alivyofanya Rais J.K. Nyerere?
Eniweyi, sidhani kama katiba mpya ndio itamfanya Lissu au Mbowe kutotumia V8 kama ndio gari Serikali inaweza kumpatia. Ukizingatia kwamba anahitaji ulinzi na aina fulani ya Comfort akiwa kwenye gari.
Dhana ni Ile Ile hakuna kitakachobadilika ikiwa ameshindwa kujidhibiti hana Serikali akiwanayo atawezaje Sasa? Utetezi wa kijinga
Kwani ruzuku haitokani na kodi za Wananchi Maskini?
Samahani lakini!
πππ₯±wahenga hawakukosea waliposema,
nanukuu..
"Nyani haoni kundule"
mwisho wa kunukuu ,
cc.
nyumbu
Yaani we ndugu unatakiwa uamke usingizini. Wakati katakata ya umeme intufanya mafukara, sukari, petrol, Chakula na kila kitu viko Bei juu mshenji mmoja anazurura nchi nzima akikusanya watumishi wa umma na kuvuruga huduma za jamii kwa gharama kubwa ya misafara ya magari ya serikali.Nimeona akina Yoda, Tindo, Mshana Jr nk wanalalamikia msafara wa bodaboda zinazomsindikiza Komredi Makonda kwenye mikutano yake ya Chama
Niwashauri tu wangeanza kuhoji Matumizi mabaya ya ruzuku kukodi Chopa wanayopanda Watu Wawili tu Mbowe na Mrema
Sina Mengi
Mlale Unono [emoji3]
Huo ni Uzushi...Mwalimu Nyerere alikuwa dikteta.
Nitajie Nchi yeyote ile unayofanya ulinganishi ambayo watu hawawekwi kizuizini kwa uhalifu au uvunjaji wa Sheria kwa sababu wana Katiba mpya na iliyo bora...alikuwa akiwaweka kizuizini au kuwapeleka uhamishoni wapinzani wake.
Kama yepi? Mbona unazusha mkuu?..mambo mengi mabaya yaliyofanywa ktk utawala wake yaliwezeshwa na ubovu wa katiba yetu.
π Hayo ni maoni yako. Sasa haheshimiki?π..kitu ambacho kinamheshimisha Mwalimu Nyerere ni kutokuwa na tamaa ya mali na kutojihusisha na ufisadi.
Haya...Katiba Mpya na Bora haiepukiki.
Nyani ngubu na kibaraka wa mabwenyenye katika kampeni ya wakipendancho π€£π€£πππ₯±
π₯±ππNyani ngubu na kibaraka wa mabwenyenye katika kampeni ya wakipendancho π€£π€£
na mtachakazwa mbaya sana huko nyuma japo mnafedhehesha jamii zenu pia π
CCM ruzuku yao ni kubwa kuliko Chadema ndio maana hawaishiwi fedha ...Ccm huwa hawaishiwi fedha.
..jiulize wanatoa wapi fedha za kutapanya bila kikomo kama sio kwa kutukamua kwa kodi, tozo, na ufisadi?
Huo ni Uzushi.
Nitajie Nchi yeyote ile unayofanya ulinganishi ambayo watu hawawekwi kizuizini kwa uhalifu au uvunjaji wa Sheria kwa sababu wana Katiba mpya na iliyo bora.
Kama yepi? Mbona unazusha mkuu?
π Hayo ni maoni yako. Sasa haheshimiki?π
Haya.
Basi usiwe unakimbia maswali.
Nikuulize, tena, ni kipengele kipi hicho ambacho wewe binafsi ungependa kuona kimeboreshwa au kubadilishwa kabisa.
Anza hapo...anzisha Uzi wake.
Umewapiga kwenye mshonoNimeona akina Yoda, Tindo, Mshana Jr nk wanalalamikia msafara wa bodaboda zinazomsindikiza Komredi Makonda kwenye mikutano yake ya Chama
Niwashauri tu wangeanza kuhoji Matumizi mabaya ya ruzuku kukodi Chopa wanayopanda Watu Wawili tu Mbowe na Mrema
Sina Mengi
Mlale Unono [emoji3]
Kwani hela za ruzuku za vyama siyo kodi ya wananchi, wewe vipi sijui umekula maharage ya wapi leo.Hiyo chopa ni ya serekali? Watu wanahoji magari ya serekali kutumika kwenye ziara za huyo muhalifu kwa faida ya chama.
Kwani hela za ruzuku za vyama siyo kodi ya wananchi, wewe vipi sijui umekula maharage ya wapi leo.
Nimeona akina Yoda, Tindo, Mshana Jr nk wanalalamikia msafara wa bodaboda zinazomsindikiza Komredi Makonda kwenye mikutano yake ya Chama
Niwashauri tu wangeanza kuhoji Matumizi mabaya ya ruzuku kukodi Chopa wanayopanda Watu Wawili tu Mbowe na Mrema
Sina Mengi
Mlale Unono π
CCM ndiyo imeunda serikali ili kutekeleza ilani yake ya uchaguzi. CDM ina serikali ya wapi.Kwahiyo serekali ndio inapanga matumizi ya ruzuku wakishapokea cdm? Hakuna anayehoji matumizi ya ccm, tunahoji magari ya serekali kutumika na ccm kwa faida ya ccm kama chama.
CCM ndiyo imeunda serikali ili kutekeleza ilani yake ya uchaguzi. CDM ina serikali ya wapi.
Wivu tu na uelewa wako mdogo. Yaani huoni hata aibu kuandika uliyoandika kuanika ufinyu wa uelewa wako. Ungeuliza.Acha upotoshaji wa kijinga, wapi Ninahoji bodaboda kwenye msafara wa Makonda? Mimi ninahoji magari ya serekali sio vyombo vya moto vya watu binafsi.
Wivu tu na uelewa wako mdogo. Yaani huoni hata aibu kuandika uliyoandika kuanika ufinyu wa uelewa wako. Ungeuliza.