mtumishiwaleo
JF-Expert Member
- May 4, 2020
- 1,477
- 1,725
Juzi Makamba amesema tanesco wanakusanya tilioni mbili, hizo zote zinaenda Wapi,kama si kulipa madeni na uendashaji wa shirika?Kuna madeni mengi na bado ina endelea kukopa!!..Unajua Nani ana fanya services za mitambo?!..Je Magari Yao?;!!... Services za line na stations?!!..Huo Umeme nao!!!..kuna mambo mengi hamjui lakini mnabisha tu!!!..Tuna nunua Umeme,Tuna kodisha Magari,Tuna leta watu kutoka nnje kufanya services za mitambo na kutengeneza!!..Hivi bado twendelee kupigwa tu
Ndio maana na sisitiza ili ufanisi uwepo lazima tukubali shirika hili lipewe Sekta binafsi!!Sawa. Umeeleza vzr lkn hujasema tatizo ni nini?
Wewe ni Koro kabisa kama jina lako. Mbona haya hatukuyasikia wakati JPM hizi nyimbo ziliimbwa kipindi cha JK wakati ufisadi kwenye Nishati umetamalaki. Leo baada ya mwamba kuondoka, mmerudi tena na swaga zenu za upigaji.Du kazi kweli kweli, haya mawazo ya kijamaa ndio yanayoturudisha nyuma. Mashirika mengi ya umma yalikufa haya kama TANESCO yameendelea kuwepo kwasababu tu yanapatiwa ruzuku serikalini ambayo ni kodi za wananchi tunalipia uzembe wote na wizi wote katika shirika hili...
Sasa kama tuna pata fedha na yote inaenda kwenye madeni unategemea tupate huduma boraJuzi Makamba amesema tanesco wanakusanya tilioni mbili, hizo zote zinaenda Wapi,kama si kulipa madeni na uendashaji wa shirika?
Sasa hili ni Tatizo au solution?Ndio maana na sisitiza ili ufanisi uwepo lazima tukubali shirika hili lipewe Sekta binafsi!!
Mbona amsemi tanesco inadaiwa kiasi gani?Sasa kama tuna pata fedha na yote inaenda kwenye madeni unategemea tupate huduma bora
Nyerere alishangaa kwanini tumewapa Sekta binafsi TBL,NBC,NMB na SIGARA alipinga wazi wazi na hata hoja zake ukizichukulia Kwa wepesi ungekataa lakini alisema huwezi kuwapa watu (secta binafsi) vyanzo vikubwa vya mapato serikalini!!..Leo umeona TBL, NBC,NMB,na SIGARA wanavyofanya vyema!!..Je tungekubali tusiwape Sekta binafsi ingekuaje?Wewe ni Koro kabisa kama jina lako. Mbona haya hatukuyasikia wakati JPM hizi nyimbo ziliimbwa kipindi cha JK wakati ufisadi kwenye Nishati umetamalaki. Leo baada ya mwamba kuondoka, mmerudi tena na swaga zenu za upigaji.
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Sekta binafsi ndio suluhu ya matatizo yote ya Umeme!!Sasa hili ni Tatizo au solution?
Wewe Una mawazo ya 80 huko kama NyerereZipo taasisi ukizifanyia ubinafsishaji ni sawa na umeiuza nchi tayari na moja wapo ni TANESCO.
Trillions of TshMbona amsemi tanesco inadaiwa kiasi gani?
N wewe kwa siku hizi umekuwa usiye maana
JPM alichoweza ni kuwapa Marafiki zake cake ya Taifa!!..Kaka kwani ukisema Magufuli alidhibiti haya utapungukiwa nn? Kila kitu ulichoandika ni sawa kabisa. Shida yako ipo kwenye kukubali kwamba magufuli alifanya kazi ya ziada kwenye nchi hii. TANESCO ilikua imetulia kabisa kipindi cha JPM na shida ya mgao wa umeme tuliisahau. Why now?
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Usalama na Uchumi upi?!!Kubinafsisha Tanesco ni hatari, hili shirika limeshika usalama na uchumi wa nchi. HUYU SHETANI KATOKA WAPI ?
Kubinafsisha Tanesco ni hatari, hili shirika limeshika usalama na uchumi wa nchi. HUYU SHETANI KATOKA WAPI ?
Kumbe unaujua ukweli eeh basi tu mnajitoaga ufahamu.
π π π π π π jamaa kaingia juzi tu kashaanza kujitengenezea dili na umeme umekatika mji mzima tayariπZitto naa January ni Kama mtu mmoja, ukiona zitto katoa wazo ujue January ndio kalitoa. Zitto ni Kama mdoli wa january
a kwani ukisema Magufuli alidhibiti haya utapungukiwa nn? Kila kitu ulichoandika ni sawa kabisa. Shida yako ipo kwenye kukubali kwamba magufuli alifanya kazi ya ziada kwenye nchi hii. TANESCO ilikua imetulia kabisa kipindi cha JPM na shida ya mgao wa umeme tuliisahau. Why now?
Sent from my SM-A730F using JamiiForums mobile app
Hahahahah kwenye % hapo ndipo tutapopigwa!Shida kubwa ni kwenye kubinafsisha huku na negotiations za watu wetu unaweza kuliangamiza Taifa. Ubinafsi na uchu wa kijitajirisha ndio tatizo kubwa kwa nchini nyingi za Kiafrica. Mikataba sio ya wazi na hata mingine hazipelekwi Bungeni. Au zinapelekwa je Wabunge wapo keen enough? Shida sio ubinasfishaji ni jinsi ya kuingia mikataba yenye manufaa kwa WaTZ.
Huku nilipo umeme upo hadi Una mwagika!!..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] jamaa kaingia juzi tu kashaanza kujitengenezea dili na umeme umekatika mji mzima tayari[emoji28]