Du kazi kweli kweli, haya mawazo ya kijamaa ndio yanayoturudisha nyuma. Mashirika mengi ya umma yalikufa haya kama TANESCO yameendelea kuwepo kwasababu tu yanapatiwa ruzuku serikalini ambayo ni kodi za wananchi tunalipia uzembe wote na wizi wote katika shirika hili. Dawa ya haya yote ni kilivunja shirika hili kuwa katika sehemu 3 au mbili generation and trasmission na distribution and collection of revenue. Yabinafsishwe kwa uwazi na kuzingatia sheria yunaweza kutafuta uzoefu kwenye mataifa mengine. Na kuweka vigezo vitakavyolinda maslahi ya Taifa kwa uwazi na kwa faida ya walaji. Generation ndio vital watupe ememe usio na kutetereka na penalt incase of default. mfano gas/ nuclear could be the cheapest source of power, sisi tumekimbilia water generation. Kurudi kwenye mashirika ya umma ni ngumu kumeza.