Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Duh, hawa jamaa wana tamaa zaidi ya fisi! Yaani bado tuna machungu ujue... ohooh 😡!
Kuna mashirika ya Serikali kutokana na wajibu wake ni kama idara za Serikali. Yanatakiwa yagharamikiwe na hazina kuu. Yanafanywa mashirika ili kuweza kudhibiti matumizi na kwamba iwepo tija.

Ukitaka kugeuza TANESCO liwe la kibiashara moja kwa moja kwanza utapata muwekezaji gani? Lazima awe wa nje na atakua na nguvu gani ya kisiasa nchini? Yeye atataka faida tu na umeme ndio roho ya uchumi wa nchi.

Sisi tunamlenga nani kuhusu maendeleo? Raia wa kawaida au wawekezaji kutoka nje? Lazima umeme utakua bei mbaya kwa raia wapiga kura na ndio mfarakano utaanzia hapo.

Hii mambo ya kubinafsisha sijui asili mia 20 TANESCO ni ile ile habari ya kubinafsisha TTCL. Wajanja wakawagawia wahindi hisa za TTCL kwa bei ya bure wakati Serikali ishawekeza mabilioni. Kisha wajanja kushirikiana na wahindi wakakwapua celltel kampuni ya TTCL ya simu za mikononi.

Ikawa wahindi wameshika jikoni TTCL wakikamua hela za umma kwa ruzuku za Serikali eti ni wabia wa TTCL. Magufuli akaja kuwafukuza wahindi na kuirejesha kampuni yake ya mkononi kwa kuhakikisha serikali inapewa hisa stahiki.

Sio kila anayejidai ana uthubutu ana uwezo au nia nzuri. Mashirika kama TANESCO au TTCL sio ya kuwekwa sokoni kama njuku.

Wanaoweza kuyaendesha kwa kufikia malengo yake kwa nchi kama Tanzania hakuna. Ni watanzania gani utawashawishi kuwekeza tanesco?

Hivi unaweza mshawishi mtu awekeze kwa gereza. Gereza linaweza kua mradi wa kibiashara? ..sina hakika wala sijaona. Lakini si lazima magereza yawepo? Kuna mambo lazima yawe jukumu la serikali. Ndio maana kuna kodi.

Tukikubaliana na uhuni huu wa january na zitto akijidai mpendekezaji wa hoja tunaona yale ya TTCL na ule mradi wa umeme wa makaa kule Songwe mbeya uhuni ule wa simon group kuhusu uda na kwingine.

La kufanyika ni uongozi imara wa kisiasa usiyokua na mchezo kudhibiti mashirika makubwa ya umma kuhakikisha hakuna ubadhirifu na inakwepo tija.
 
Wakati Magufuli anaonyesha kiburi cha madaraka kwa kuhujumu upinzani mlikuwa mnachekelea kuwa ccm imeimarika.

Leo wamebaki CCM wenyewe na hawataki kukosolewa, matokeo yake chain ya wapigaji inaanza kurudi ndio mnalialia.

Acha hao wahuni warudi kwenye ulaji, na wauze kila kitu kwa bei ya kutupa ili siku nyingine mjue balance of power maana yake ni nini.

Akina Januari na wahuni wenzenu uzeni hiyo TANESCO bei ya kutupwa ili mliokuwa mnafurahia siasa na chaguzi za kishenzi mjifunze.
Hakuna mtu atakayekucheka ukikubali kuwa magufuli alikuwa sahihi kwenye utawala wake, kama mwenyewe unakili kuwa wapigaji wameanza kurudi taratibu.
 
Mleta hoja ndiye anaonyesha hawa ni wapigaji, mimi nimekubaliana naye kuwa ni wapigaji nje ya wapigaji wa sukuma gang.
Hakuna mtu atakayekucheka ukikubali kuwa magufuli alikuwa sahihi kwenye utawala wake, kama mwenyewe unakili kuwa wapigaji wameanza kurudi taratibu.
 
Hivi kwanini tusiruhusu mashirika huru ya umeme kuanzishwa ili kuondokana na tatizo la umeme nchini?
maana kiukweli TANESCO ni wamezidiwa ile mbaya.
Ukiweka mashirika huru yatakuchaji umeme kwa bei kubwa.

TANESCO isibinafsishwe
 
Shirika la ndege la nchi ni huduma kama umeme, hospitali, magereza nk. Huwezi kusema hospitali zinazo toza tozo za huduma za afya zibinafsishwe kwa vile gharama za matibabu wanazo toza hazitoshi kuziendesha. Hivyo hivyo kwa magereza wana miradi ya uzalishaji huwezi sema ya binafsishwe kwa vile miradi yao haitoshelezi kukidhi gharama za uendeshaji wake.

ATCL inachotakiwa ni kujiendesha kwa tija ili ikidhi faida zake mtambuka kwa Watanzania. Moja ya faida mtambuka kwenye route yake ya Dar - Dom imeokoa mno kusambaratika kwa ndoa zilizo kumbwa na changamoto ya maamuzi ya serikaki kuhamia Dodoma kwa namna yalivyo tekelezwa.
Sio kweli kusema hivyo hata kidogo ndugu Shellohi, Mashirika kama Tanesco, hospitali, Rialways, ni mashirika ya huduma na yanapaswa kuendeshwa na serikali hata kidogo. Nchi nyingine zimebinasfisha hivi mashirika kama haya ila uangalifu maalumu na usimamizi huhitajika toka serikalini kisera. Ila kuyaendesha Magereza, police, Zimamoto?? ni kazi ya serikali, hata hili zimamoto nchi nyingine wamebinafsisha Mifano ipo Dar es Salaam walikuwepo siku chache za nyuma hapa sijui kama wapo hadi sasa.
 
Kuna mashirika ya Serikali kutokana na wajibu wake ni kama idara za Serikali. Yanatakiwa yagharamikiwe na hazina kuu. Yanafanywa mashirika ili kuweza kudhibiti matumizi na kwamba iwepo tija.

Ukitaka kugeuza TANESCO liwe la kibiashara moja kwa moja kwanza utapata muwekezaji gani? Lazima awe wa nje na atakua na nguvu gani ya kisiasa nchini? Yeye atataka faida tu na umeme ndio roho ya uchumi wa nchi.

Sisi tunamlenga nani kuhusu maendeleo? Raia wa kawaida au wawekezaji kutoka nje? Lazima umeme utakua bei mbaya kwa raia wapiga kura na ndio mfarakano utaanzia hapo.

Hii mambo ya kubinafsisha sijui asili mia 20 TANESCO ni ile ile habari ya kubinafsisha TTCL. Wajanja wakawagawia wahindi hisa za TTCL kwa bei ya bure wakati Serikali ishawekeza mabilioni. Kisha wajanja kushirikiana na wahindi wakakwapua celltel kampuni ya TTCL ya simu za mikononi.

Ikawa wahindi wameshika jikoni TTCL wakikamua hela za umma kwa ruzuku za Serikali eti ni wabia wa TTCL. Magufuli akaja kuwafukuza wahindi na kuirejesha kampuni yake ya mkononi kwa kuhakikisha serikali inapewa hisa stahiki.

Sio kila anayejidai ana uthubutu ana uwezo au nia nzuri. Mashirika kama TANESCO au TTCL sio ya kuwekwa sokoni kama njuku.

Wanaoweza kuyaendesha kwa kufikia malengo yake kwa nchi kama Tanzania hakuna. Ni watanzania gani utawashawishi kuwekeza tanesco?

Hivi unaweza mshawishi mtu awekeze kwa gereza. Gereza linaweza kua mradi wa kibiashara? ..sina hakika wala sijaona. Lakini si lazima magereza yawepo? Kuna mambo lazima yawe jukumu la serikali. Ndio maana kuna kodi.

Tukikubaliana na uhuni huu wa january na zitto akijidai mpendekezaji wa hoja tunaona yale ya TTCL na ule mradi wa umeme wa makaa kule Songwe mbeya uhuni ule wa simon group kuhusu uda na kwingine.

La kufanyika ni uongozi imara wa kisiasa usiyokua na mchezo kudhibiti mashirika makubwa ya umma kuhakikisha hakuna ubadhirifu na inakwepo tija.
Ile model ya PUMA au Airtel na kwingineko, kwa mtazamo wangu ndio perfect model. Lazima anayeendesha awe huru kuendesha kibiashara, na awe accountable kwa wananchi kwa jinsi anavyoendesha ikiwemo kugawa gawio.
Makampuni ya umma sababu ya kuwa ya umma, kuna mentality za watu kuwa very unproductive, with notcreativity. Ila wanalipwa na kwenda kulala nyumbani kwa amani tu.
Bepari au beberu hatakubali huo ujinga. Tuamke tuanze kufanya kazi kweli kweli ili tuijenge nchi yetu. Huku kujidanganya wenyewe kwa kufanya deals na kutafuta shortcut, kutatugharimu. Tena sisi wote
 
Kuna mashirika ya Serikali kutokana na wajibu wake ni kama idara za Serikali. Yanatakiwa yagharamikiwe na hazina kuu. Yanafanywa mashirika ili kuweza kudhibiti matumizi na kwamba iwepo tija.

Ukitaka kugeuza TANESCO liwe la kibiashara moja kwa moja kwanza utapata muwekezaji gani? Lazima awe wa nje na atakua na nguvu gani ya kisiasa nchini? Yeye atataka faida tu na umeme ndio roho ya uchumi wa nchi.

Sisi tunamlenga nani kuhusu maendeleo? Raia wa kawaida au wawekezaji kutoka nje? Lazima umeme utakua bei mbaya kwa raia wapiga kura na ndio mfarakano utaanzia hapo.

Hii mambo ya kubinafsisha sijui asili mia 20 TANESCO ni ile ile habari ya kubinafsisha TTCL. Wajanja wakawagawia wahindi hisa za TTCL kwa bei ya bure wakati Serikali ishawekeza mabilioni. Kisha wajanja kushirikiana na wahindi wakakwapua celltel kampuni ya TTCL ya simu za mikononi.

Ikawa wahindi wameshika jikoni TTCL wakikamua hela za umma kwa ruzuku za Serikali eti ni wabia wa TTCL. Magufuli akaja kuwafukuza wahindi na kuirejesha kampuni yake ya mkononi kwa kuhakikisha serikali inapewa hisa stahiki.

Sio kila anayejidai ana uthubutu ana uwezo au nia nzuri. Mashirika kama TANESCO au TTCL sio ya kuwekwa sokoni kama njuku.

Wanaoweza kuyaendesha kwa kufikia malengo yake kwa nchi kama Tanzania hakuna. Ni watanzania gani utawashawishi kuwekeza tanesco?

Hivi unaweza mshawishi mtu awekeze kwa gereza. Gereza linaweza kua mradi wa kibiashara? ..sina hakika wala sijaona. Lakini si lazima magereza yawepo? Kuna mambo lazima yawe jukumu la serikali. Ndio maana kuna kodi.

Tukikubaliana na uhuni huu wa january na zitto akijidai mpendekezaji wa hoja tunaona yale ya TTCL na ule mradi wa umeme wa makaa kule Songwe mbeya uhuni ule wa simon group kuhusu uda na kwingine.

La kufanyika ni uongozi imara wa kisiasa usiyokua na mchezo kudhibiti mashirika makubwa ya umma kuhakikisha hakuna ubadhirifu na inakwepo tija.
Unabinafsisha kwa hisa yaani plc,mwenye Shea nyingi ndio muamuzi kwa hiyo serikali itakuwa muamuzi
 
Makamba na Zitto msijaribu hata kidogo kubinafsisha tanesco

na
kumbuka dunia inapokwenda inaenda wapi......lau tungebaki na ttcl yetu je izi smartphone tungekuwa nazo leo hii
 
Kwanini wabinafishe Tanesco ?

Kwanini kama wanaweza na rahisi wasifungue Tanesco zao nyingine ili zicompete na hii Tanesco ?

Kuna vitu vinaitwa Commanding Heights of the Economy..., and these should remain with the State for everyone's benefit
 
Ok umesema shirika libinafsishwe na pawepo ushindani. Hebu ona hali itakayojitokeza kwenye usambazaji. Kila shirika na miundombinu yake. Hiyo dublication ya njia za umeme mijini na vijijini si itakua wastage? Kwa hiyo usambazaji kwanza lazima liwe shirika moja. Kama sio nchi zima iwe kwa kila eneo? Kuzalisha umeme tumefanya majaribio kubinafsisha. Kilichojitokeza ni mikataba ya ovyo ya kufilisi tanesco ambayo kwa hali halisi ndio wanunuzi ili wasambaze maana ndio wenye miundombinu. Magufuli akawafyeka wazalishaji wa mikataba mibaya ya kinyonyaji.
Tulia zako kidogo,hao wawekezaji wakija wanaweza kubuni njia mbadala ya kupitishia waya chini ya ardhi........ila uko baadae teknolojia inapoelekea sasaivi uko ulaya wanabuni umeme wa wireless kama ilivyo mawasiliano ya simu je hapo napo serikali lazima waje kupata ushindani,ukiangalia tulipotoka kwenye ttcl hadi kuja makampuni kama tigo,voda na halotel je ulitegemea tungefika katika hali iyo
 
Kwanini wabinafishe Tanesco ?

Kwanini kama wanaweza na rahisi wasifungue Tanesco zao nyingine ili zicompete na hii Tanesco ?

Kuna vitu vinaitwa Commanding Heights of the Economy..., and these should remain with the State for everyone's benefit
Dunia ndio inapoelekea uko,huoni ushindani uliopo kwenye mitandao ya simu,je wewe hapo ulipo unaweza kuwa na mtandao na wa Ttcl,ngoja serikali wafungue milango kwa makampuni binafsi uwone kitakachotokea kama hao Tanesco watakuwepo
 
Kuna sehemu umesema uongo, umeme wa gas sio cheapest hata kidogo kulinganisha na umeme wa maji.
Mengine unaweza kuwa sawa

..gharama za umeme kwa MLAJI zinategemea mambo mengi ikiwemo chanzo cha nishati iliyotumika kuzalisha umeme.

..Umeme wa maji pamoja na ukweli kwamba ni wa gharama nafuu " kuuzalisha " uliwahi kutuletea matatizo makubwa sana hapa nchini.

..Changamoto za umeme wa maji ndizo zilizopelekea Tz kufikiria vyanzo vingine vya kuzalisha umeme ikiwemo gesi, upepo, n.k.

..Sasa hivi kuna tatizo kubwa la MIUNDOMBINU ya kusambaza umeme. Kwa kiasi kikubwa imechakaa na inasababisha upotevu wa umeme.

..Uchakavu wa miundombinu unasababisha GHARAMA za umeme kwa mtumiaji kuwa kubwa. Sasa hiyo haijalishi umeme huo unazalishwa kutokana na maji, gesi, upepo, etc.

..Jambo lingine ni MIKATABA ya kinyonyaji ambayo serikali imeingia ktk sekta ya umeme. Mikataba hiyo nayo ina athari zake ktk gharama za umeme unaotufikia majumbani na viwandani.

..Kwa maoni yangu hoja ya gharama za umeme inapaswa kuangaliwa kwa mapana yake.
 
Sijaelewa, yaani January juzi tu kateuliwa, alafu atake au anataka TANESCO IBINAFSISHWE? 😡😡😡😡😡😡😡😡😡👺👺👺👺👹👹👹👹👹👹👹👺👺👺👺👺👺👹👹👹👹👹👹👺👺👺👺👺
 
January kabla hajafika mbali atupe mrejesho wa kiwanda Cha chai Mponde kilicho Bumbuli.
 
Sijaelewa, yaani January juzi tu kateuliwa, alafu atake au anataka TANESCO IBINAFSISHWE? 😡😡😡😡😡😡😡😡😡👺👺👺👺👹👹👹👹👹👹👹👺👺👺👺👺👺👹👹👹👹👹👹👺👺👺👺👺
Hiyo ndo agenda ya waliomteua. Si wanaona wenzao wa nchi jirani? Ni bahati mbaya Jeshi halitaki kuchukuwa nchi maana utaona wote wanaficha majina ya watoto wao.
Wanataka shares TANESCO
Wanataka shares shirika la reli
Wanataka shares ATC
 
Sio kweli kusema hivyo hata kidogo ndugu Shellohi, Mashirika kama Tanesco, hospitali, Rialways, ni mashirika ya huduma na yanapaswa kuendeshwa na serikali hata kidogo. Nchi nyingine zimebinasfisha hivi mashirika kama haya ila uangalifu maalumu na usimamizi huhitajika toka serikalini kisera. Ila kuyaendesha Magereza, police, Zimamoto?? ni kazi ya serikali, hata hili zimamoto nchi nyingine wamebinafsisha Mifano ipo Dar es Salaam walikuwepo siku chache za nyuma hapa sijui kama wapo hadi sasa.


Basi uzianene ndege za ATCL kwa bei ya chuma chakafu kama ambavyo mlishawahi fanya huko nyuma kwenye mashirika yaliyokuwa ya Umma kwa mbeleko inayoitwa ubinafsishaji. Maana Watanzania wameumbiwa na Mungu mioyo ya kondoo mwaweza waswaga mtakavyo.
 
Issue ni waruhusu watu binafsi wafanye biashara ya umeme wakiwa huru kwa kuzalisha na usambazaji na waondoe monopoly ya TANESCO, hiyo TANESCO kaeni nayo tuu hakuna mtu anaitaka
 
Issue ni waruhusu watu binafsi wafanye biashara ya umeme wakiwa huru kwa kuzalisha na usambazaji na waondoe monopoly ya TANESCO, hiyo TANESCO kaeni nayo tuu hakuna mtu anaitaka

Hata jeshi wakitaka wanaweza kubinafsisha. USA kule Iraq na Afghanistan walikuwa na majeshi ya watu binafsi miongoni mwa wamiliki wa hao makandarasi ni maafisa wastaafu wa jeshi lao, wakipewa kandarasi mbalimbali za uwanja wa mapambano ya vita na ulinzi wa watu muhimu.
 
Back
Top Bottom