Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Sasa mbona Tanesco anauziwa Umeme au mimi sielewi?...kama Tanesco anauziwa umeme alafu anauza kwetu!!!..Alafu unasema hawa watu binafsi watatuuzia bei juu!!!..Hebu tafakari kidogo nadhani hujui hata shirika letu linauziwa umeme na kutuuzia sisi
Kuuziwa umeme ni tofauti na kumiliki umeme. Trust me. Unajua tatizo moja ni kuwa watanzania tumeshakata tamaa na kila kitu tunadhani hatuwezi kufanya wenyewe bila kufanyiwa. Ni hivyo hivyo kila siku watu wanapiga kelele uwekezaji na ufadhili. Haya mambo hayajengi nchi. Nchi inajengwa na wananchi. Ni imekuwa bahati mbaya tu serikali tawala imekuwa ya kizembe lakini wakiingia watu weledi, Tanesco inanyuka bila kubinafsishwa.
 
Sasa mbona Tanesco anauziwa Umeme au mimi sielewi?...kama Tanesco anauziwa umeme alafu anauza kwetu!!!..Alafu unasema hawa watu binafsi watatuuzia bei juu!!!..Hebu tafakari kidogo nadhani hujui hata shirika letu linauziwa umeme na kutuuzia sisi
Nafahamu linauziwa.
Kampuni ya kufua umeme ya IPTL ni mfano mzuri.

Songas pia ni mfano mwingine. Ila sio kila taasisi au shirika la uma ni la kubinafsisha.

Umetolea mifano ya mabank, ukatoa mfano wa kampuni ya bia.

Nikikuwekea vitu hivi Umeme,Sigara,Pombe, Na uchague bank ya kuhifadhi pesa zako bila shaka chenye thamani zaidi ni umeme hapo.

Umeme ni nguzo muhimu ya kiuchumi kwa taifa, inatakiwa iwe stable siku zote kuiruhusu ubinafsishaji ni kuruhusu mlipuko wa bei za ajabu ajabu za bidhaa, huduma na maisha kwa ujumla.

Narudia maboresho mazuri yanahitajika lakini sio ubinafsishaji.
 
Nafahamu linauziwa.
Kampuni ya kufua umeme ya IPTL ni mfano mzuri.

Songas pia ni mfano mwingine. Ila sio kila taasisi au shirika la uma ni la kubinafsisha.

Umetolea mifano ya mabank, ukatoa mfano wa kampuni ya bia.

Nikikuwekea vitu hivi Umeme,Sigara,Pombe, Na uchague bank ya kuhifadhi pesa zako bila shaka chenye thamani zaidi ni umeme hapo.

Umeme ni nguzo muhimu ya kiuchumi kwa taifa, inatakiwa iwe stable siku zote kuiruhusu ubinafsishaji ni kuruhusu mlipuko wa bei za ajabu ajabu za bidhaa, huduma na maisha kwa ujumla.

Narudia maboresho mazuri yanahitajika lakini sio ubinafsishaji.
Tupo hapa kwasababu ya ufukara wa akili na kupambanua mambo!!.. Privatisation ni nzuri na inaleta manufaa sana tumeona nchi nyingi wanafanya hivyo!!..Kama tunanunua Kwa watu binafsi tumeshindwa kuzalisha wenyewe for more than 30 years!!!..Bado Unataka uliue shirika,unajua madeni yake?!!..
 
Kuuziwa umeme ni tofauti na kumiliki umeme. Trust me. Unajua tatizo moja ni kuwa watanzania tumeshakata tamaa na kila kitu tunadhani hatuwezi kufanya wenyewe bila kufanyiwa. Ni hivyo hivyo kila siku watu wanapiga kelele uwekezaji na ufadhili. Haya mambo hayajengi nchi. Nchi inajengwa na wananchi. Ni imekuwa bahati mbaya tu serikali tawala imekuwa ya kizembe lakini wakiingia watu weledi, Tanesco inanyuka bila kubinafsishwa.
Unajua madeni ya Tanesco na kila siku yanaongezeka!!
 
Kuuziwa umeme ni tofauti na kumiliki umeme. Trust me. Unajua tatizo moja ni kuwa watanzania tumeshakata tamaa na kila kitu tunadhani hatuwezi kufanya wenyewe bila kufanyiwa. Ni hivyo hivyo kila siku watu wanapiga kelele uwekezaji na ufadhili. Haya mambo hayajengi nchi. Nchi inajengwa na wananchi. Ni imekuwa bahati mbaya tu serikali tawala imekuwa ya kizembe lakini wakiingia watu weledi, Tanesco inanyuka bila kubinafsishwa.
Sio lazima shirika libinafsishwe, Tanesco na serikali can keep their company, issue hapa sheria zibadilike sekta binafsi iruhusiwe kufanya biashara ya umeme 100% sio kuzalisha tuu na bei wakupangie Tanesco
 
Unajua madeni ya Tanesco na kila siku yanaongezeka!!
Ndiyo maana nimekuambia kuwa tatizo ni watawala. Hayo madeni hayakujitengeneza yenyewe. Na hayajiongezi yenyewe. Ni usimamizi mbaya. Dawa ni kufanyia kazi tatizo. Ukishaona kwenye nchi viongozi wanadhani hawawezi kufanya kazi waliyopewa ila wanatakiwa kuleta watu binafsi kufanya basi ujuwe kuna tatizo kubwa sana. Mimi nimeishi nchi ambazo kuna mashirika mengi ya umma yaliyo chini ya serikali na yanafanya vizuri mno mno.
 
By design,government iliumbwa kua inefficient!

Kila kitokanacho na government ni inefficient

Serikali ambazo hazijabinafsisha mashirika hayafanyi vizuri kama serikali zilizo binafsisha na watu binafsi wanayaendesha,this is a FACT!

Sasa,chagua,kusuka au kunyoa!

Ishu hapa ni serikali kuacha kazi yake original ya u-FBI na u-CIA na kuvamia biashara kwa kigezo cha kipumbavu eti "maslahi ya wananchi",huduma mbovu na hasara tangu kuanzishwa

Hakuna sababu ya maana hapo ni upumbavu na mwananchi infact anavyopenda vitu vya bure kutoka serikalini atasema "kweli" kumbe si kweli

Bei zinapanda na huduma ni mbovu....competing and efficient mashirika bei inashuka na efficiency inaongezeka

Sema mnaogopa maana kazi yenu ya u-FBI na u-CIA hamuijui na hamuitaki
Nimekuuliza: mbona kuna nchi serikali zinamiliki mashirika na yanafanya vizuri sana sana? Nakubali kuwa kuna umuhimu wa watu binafsi kuachiwa baadhi ya mashirika, lakini siyo yote. Serikali kubaki na mashirika machache yenye umuhimu katika uchumi wa nchi siyo jambo baya.
 
Nafahamu linauziwa.
Kampuni ya kufua umeme ya IPTL ni mfano mzuri.

Songas pia ni mfano mwingine. Ila sio kila taasisi au shirika la uma ni la kubinafsisha.

Umetolea mifano ya mabank, ukatoa mfano wa kampuni ya bia.

Nikikuwekea vitu hivi Umeme,Sigara,Pombe, Na uchague bank ya kuhifadhi pesa zako bila shaka chenye thamani zaidi ni umeme hapo.

Umeme ni nguzo muhimu ya kiuchumi kwa taifa, inatakiwa iwe stable siku zote kuiruhusu ubinafsishaji ni kuruhusu mlipuko wa bei za ajabu ajabu za bidhaa, huduma na maisha kwa ujumla.

Narudia maboresho mazuri yanahitajika lakini sio ubinafsishaji.
Inaonekana unaamini serikali inaweza kufanya kazi nzuri kuliko private sekta, lakini kwa mifano halisi tumeona tayari hawana uwezo huo, TBL,NMB,Sigara,CRDB etc walishindwa kabisa na makampuni yalikuwa yanaelekea kufa,watu binafsi baada ya kuyanunua yamekuwa makampuni makubwa yanayolipa kodi kubwa na kuajiri maelfu ya watu na hata DSE yapo, mimi nasema uza Tanesco na kila kitu chao kiwe private 100% wenye ujuzi wao sio politicians wafanya kazi yao
 
Hii ni monopoly marketing.

Supplier anahodhi vyanzo vyote vya uzalishaji wa nishati, tukiruhusu ubinafsishaji umeme utakuwa bei juu sana.

Hakuna mbia atakayeuza umeme wa bei nafuu kuliko Tanesco.

Muhimu ni kuboresha shirika,kuziba mianya inayopwaya.

Muendelezo wa mawazo ya Net group solusheni. Ikitokea serikali kuruhusu huduma ya nishati hii ya umeme kuangukia katika udhibiti wa wadau binafsi iwe na uhakika itakua imecompromise stability yake kwa kiasi kikubwa na kutengeneza mazingira ya kuanguka au kuangushwa kwake kirahisi.
 
Muendelezo wa mawazo ya Net group solusheni. Ikitokea serikali kuruhusu huduma ya nishati hii ya umeme kuangukia katika udhibiti wa wadau binafsi iwe na uhakika itakua imecompromise stability yake kwa kiasi kikubwa na kutengeneza mazingira ya kuanguka au kuangushwa kwake kirahisi.
Lakini tukiwauliza maswali rahisi tuu kama vipi huduma ya umeme under TANESCO nina uhakika hata nyie wenyewe mnajua TANESCO ni shirika la ovyo sana, umeme haupatikani kama unavyotakiwa, umeme ni bei mbaya sana, ubadhirifu ndani ya shirika, madeni yanaongezeka kila mwaka na hamna chochote kizuri kuhusu Tanesco, waliuze tuu na waruhusu sekta binafsi, serikali ijipange kuwa strong regulator
 
Serikali kwendelea kuhodhi shirika hili ni kupoteza mapato na kushindwa kufika malengo yetu kama Nchi!!..unajua Shirika hili Lina madeni yasiyoweza kulipika?!!..Hebu Angali vyanzo vyetu vya umeme lakini bado tunanunua Kwa watu binafsi!!..
Madeni yasiyo lipika kivipi! mbona Makamba juzi alisema wanakusanya tilioni mbili? zote zinaenda Wapi;hapa naona madarali wa Mafisadi wameisha anza kurusha ndoano.Mbona miaka 5 ya Magufuri utukusikia upuuzi huu?
 
Madeni yasiyo lipika kivipi! mbona Makamba juzi alisema wanakusanya tilioni mbili? zote zinaenda Wapi;hapa naona madarali wa Mafisadi wameisha anza kurusha ndoano.Mbona miaka 5 ya Magufuri utukusikia upuuzi huu?
Kabla ya Mwinyi na hata sasa na bado tutaendelea kulipa Madeni ya Tanesco!!...
 
Acha wabinafisishe kijinga na kishamba wakivuna kile waliona hawakuwa na uwezo wa kikichukua, jambo moja lifanyike tu.
Taasisi zetu za kuchukua taarifa katika unyeti wake, zifanye kazi yake wanaweza kuwahujumu TISS lkn Ai, MrS na zingine ziweke taarifa vizuri.
Katiba itabadilishwa siku moja, tutayashtaki makaburi , mifupa , mali na familia zao na kuwafunga au kuwafilisi na kuwawekea rekodi ya aibu kitaifa na kimataifa.
Mifupa yao lazima ikae jela kam ukumbusho wa ujinga huu.
Tupo tunaangalia na tutafuatilia namna zote hata kama deal wakzifanyie nje ya nchi , taarifa zitawekwa kwa ajili ya vizazi vijavyo.

Shida ya mashirika ya serkali ni nini?
1. Je ni jina kuwa ya umma?
2. Hakuna mitaji?
3. Uongozi mbaya?
4. Kuuza ili kupata 10%?
Ikiwa shirika la umma likuzwa na jina lake linaendelea kuwa lilelie, kama NMB lkn ifanye kwa faida tatizo ni nini?
Kama ingekuwepo sheria ya kuadhibu kwa ukali mfano kufilisi mali zote na kifungu kwa pamoja miaka hata 40 na kazi ngumu halafu itekelezeke haya mambo yangepungua.

Lkn hii mtu anaondoka na hela za shirika kiunjaujanja kwenye kiloba, halafu mwendesha mashtaka wa serkali anafremu kesi kwa namna ya kushindwa na baadae ppd anamtoa, watu wataendelea kupiga tu.
Maana kama kuna watu wanaweza kuvamia mtu waue wapate hela , au watoe kafara kupata hela, then wako tayari wafungwe lkn hela waache kwa watoto wao.
Ilihitajika.
1. Afilisiwe ile mali na incriment.
2. Afungwe na kazi ngumu.
Na wakili wa serkali ikibainika amefrem kesi kwa namna ya kushindwa kwa kununuliwa yeye naye 30yrs imuhusu.

Nina miaka 10 sasa umri wangu . Nitakuja kuwa rais asiyejali sijui upinzani au ussiem mi mradi mi MTz tu mwenye moyo wa kujenga .
Katiba itabadilishwa.
Tutaelewana
 
Boys 2men a.k.a vascali da gamaye Work. Tumejua kilichokuwa kinapangwa kwa kumuondoa Kalemani. Ikulu yetu iko mikononi mwa waporaji wakubwa sana kwa sasa na wa kusaidia pekee ni Mungu
Hawa watu wanaendelea kuacha alama ambazo zitatumika baadae, wasije kusema hawakujua koo zao zitakapowajibika miaka 100 ijayo
 
Huo upuuzi wa kubinafsisha TANESCO pelekeni huko na Zitto wenu. Nendeni tu hapo Kenya kwa mabepari muone Kama wamebinafsisha KENGEN au KPLC. Shenzi kabisa vibaraka nyie
Sio tu Kenya...Hata Mabepari wakubwa wa Uingereza, bado wanamiliki Mashirika ya umeme, Maji na usafiri wa mjini (Na shirika la ndege pia). Hapo sisi mwendokasi amepewa UDA aendeshe...Hakuna anachofanya....Mbona DAWASA ni shirika la UMMA na linafanya vizuri baada ya LUHEMEJA kwenda pale? Waweke right People to the right Positions; that is the principle of success - sio watu kama hao wahuni wakina -MA-KATANI; kisha unategemea mambo yaende. Hao watauza kweli.
 
Lakini tukiwauliza maswali rahisi tuu kama vipi huduma ya umeme under TANESCO nina uhakika hata nyie wenyewe mnajua TANESCO ni shirika la ovyo sana, umeme haupatikani kama unavyotakiwa, umeme ni bei mbaya sana, ubadhirifu ndani ya shirika, madeni yanaongezeka kila mwaka na hamna chochote kizuri kuhusu Tanesco, waliuze tuu na waruhusu sekta binafsi, serikali ijipange kuwa strong regulator

Tanesco ya Waheshimiwa sana Marais wa JMT Mkapa na Kikwete si ya JPM. Kwa JPM ilionesha mabadiliko makubwa. Kilichotakiwa ni kuona JPM alifanya nini kupata hiyo ahueni na kuboredha kuanzia hapo.

Tatizo mambo mengi yanayofanywa sasa ni kutaka kuonesha JPM hakufanya kitu chochote na wale walionekana ni watu wa karibu na utendaji wake walikuwa wa hovyo. Hizi ndio juhudi zinazo endelezwa. Spika anakuambia jimboni kwake umeme unakatika zaidi mara 32 kwa siku. Inaingia akili hiyo kumbuka waziri anayelengwa kuoneshwa kwamba ni mzembe kiasi hicho ni mbunge wa Chatto.
 
Haya ni mawazo yako pia ni mazuri kwa kiasi fulani ila shorfall ni nyingi ndio maana nilipendekeza livunjwe ili libinafsishwe, ili kupata uwekezaji wenye technolojia ya kupunguza gharama kama kwenda kweny nuclear nk. Sasa hapa tulipo je ni management tu ndio shida? Au uwekezaji pia ndio shida? Tunawaumiza wananchi tu kwa kungangania kuendesha kila kitu. Niliona kwa wenzetu wamebinasfisisha raiway system kwenye wagons na serikali kuabaki na ile infrastructure na Shirika limeenda. British Airways ni shirika la serikali ila anaeliendesha ni watu binasfi nk. La msingi ni efficiency period.
Mi napenda watu wenye mawazo kama yako.
Ndio tuje kujiuliza maswali.
Kwanini kuna hasara?
Ni management?
Mi mitaji? Au ni nini?
Halafu tukisha sort out tujiulize dawa ni ip?
Je ubovu wa management dawa ni kuuza shirika au kuwa na good management?

Halafu tuje kwenye hali halisi ya wananchi. Huko Nanjilinji umeme wa REA kwa gharama ya 20K bado wengine hawana . Je akija muwekezaji anayeangalia faida atawafikia? Je sera ya viwanda ya nchi anaenda nayo kivipi? Tunapoangalia mf wa UK kuuza BA je Uk na sisi tunamlinganisho gani? Na tunatofautiana vipi hadi kisera kama nchi
 
Hii ni monopoly marketing.

Supplier anahodhi vyanzo vyote vya uzalishaji wa nishati, tukiruhusu ubinafsishaji umeme utakuwa bei juu sana.

Hakuna mbia atakayeuza umeme wa bei nafuu kuliko Tanesco.

Muhimu ni kuboresha shirika,kuziba mianya inayopwaya.
Wazalishaji wakiwa wengi automatically umeme utashuka bei sababu ya ushindani...ni km ilivyo saiv kwenye mitandao ya simu
 
Kuuziwa umeme ni tofauti na kumiliki umeme. Trust me. Unajua tatizo moja ni kuwa watanzania tumeshakata tamaa na kila kitu tunadhani hatuwezi kufanya wenyewe bila kufanyiwa. Ni hivyo hivyo kila siku watu wanapiga kelele uwekezaji na ufadhili. Haya mambo hayajengi nchi. Nchi inajengwa na wananchi. Ni imekuwa bahati mbaya tu serikali tawala imekuwa ya kizembe lakini wakiingia watu weledi, Tanesco inanyuka bila kubinafsishwa.
Watu waeledi huko serikalini hawapo ...wote wanawaza upigaji tu! Hpa solution ya kudum ni kubinafsisha sekta nzima ya nishati ili kuwepo na ufanisi miongoni mwa makampuni yatakayokidhi viwango.
 
Back
Top Bottom