Tunaposikia ya Makamba na Zitto kutaka kubinafsisha TANESCO, tukumbuke yaliyofanyika TTCL

Wapelekee watu Solar, Huko Bush au hata mtaani uone nani atakupangia bei...., unless otherwise unataka kutumia miundombinu ya Tanesco au unataka kusambaza miundombinu yako utuletee madhara ya kutuunguza na kutuchafulia miji
Ok, sasa excuse ya Tanzania kutokuwa na umeme wa bei nzuri, wa kutosha na kuaminika ni nini? mnataka monopoly na kazi hamuwezi na kila kitu ni visingizio tuu, mna safari ndefu sana nyie
 
Sina imani na Makamba mpaka atapoweka wazi kumiliki Kidimbwi na kwanini kajifichi nyuma ya yule dogo wa salasala,anatuficha nini?
 

I will only take your “my take” . Angalau!
 
Nachofaham JPM aliitoa Tanesco kutoka kwenye madeni ya mikataba yote ya kinyonyaji ikiwemo IPTL ,na Ata ewura walipo tangazaga kukubali bei ya umeme kupanda aliwatumbua sababu tayari shirika lilikua halina tena mzigo wa madeni,
Na alikua anasubiri bwawa Rufiji likamilike ili unit ya umeme ishuke Bei
Leo nimesoma mahali Tanesco imetengeneza faida ya Tsh Bil 52 ,
Sasa nini kinatafutwa!?
Inachotaka Tanesco ni utashi tu wa viongozi
 
For Profit peleka kwenye luxury au bia na sio vitu muhimu kama nishati na afya za watu (Tukirudi America unaweza kuona kwa jinsi gani Pharmaceuticals na Insurance Companies zinawafanya watu wafe na kutokutibiwa kwa kukosa Bima)...

Unaongelea Investors wawe motivated kuweka pesa zao ? Kwa lipi hasa tunahitaji pesa zao ? Bwawa tunajenga kwa mikopo ambayo hadi watukuu watalipia, Gesi tulishaifikisha mpaka Dar huenda napo kwa madeni mpaka vitukuu..., Umeme vijijini kila mtu analipa anaponunua LUKU..., sasa hao investors waje ili wafanye nini ? (Tugawane faida ya jasho letu) au sisi tuliochumia juani waje kutusaidia kulia kivulini ?

As for ENRON Kampuni ili-file bancruptcy, watu kupoteza pesa zao, na kazi zao.... In short people;s lives were ruined (I don't think the bancruptcy was any consolation)

Unaongelea Monopoly ya Tanesco; kwahio unataka hizi baadhi ya njia zake (distribution tuwape kina Dowans na Symbion) for me badala ya kuwapa hizi kwanini hao investors wasiende huko in the middle of no where waweke miundombinu (kumbuka na hii miundombinu mimi na wewe ni stakeholders sababu tunaichangia kwenye LUKU)

As for generation mbona watu binafsi walishakuja tu kina Dowans na yaliyotupata kila Mtanzania anajua
 
Kuna watu wanakula haswa kwenye hili shirika na hakuna wa kuwafanya kitu kwa sababu ni serikali
Ingekuwa binafsi ingekuwa tofauti kabisa
 
Ok, sasa excuse ya Tanzania kutokuwa na umeme wa bei nzuri, wa kutosha na kuaminika ni nini? mnataka monopoly na kazi hamuwezi na kila kitu ni visingizio tuu, mna safari ndefu sana nyie
Tanesco either kwa makusudi au Bahati mbaya kuna kipindi ilikuwa inanunua umeme kwa hao wadau wako so called investors (Kina Dowans et al) na Gesi nadhani nayo sio yetu walikuwa wanauziwa..., ukiongezea na management mbovu na vyanzo vingine vya HEP kutokufanya vizuri kupelekea kutumia umeme wa diesel it was a recipe for disaster.... That was then...

Kumbuka wakati wote huo Generated Capacity ilikuwa kama 1600MW; Sasa kama tunakaribia kuongeza 2100MW nyingine tena kwa jasho kubwa la watu kupigwa Matozo na Ma - Mikopo ya kufa mtu....., kweli huu ndio wakati wa kuanza kutafuta mnunuzi ?

Ni kama wewe kuku wako ulikuwa unakataa kumuuza wakati ana magonjwa na sasa karibia anaanza kutaga na amepona eti ndio unaona umuuze, ukiulizwa kwanini eti unasema majirani wote wameuza wao....
 
Sio kweli kwasasa tanesco inajiendesha yenyewe bila ruzuku ya serikali
 
Wenye akili watakuelewa,lakini madalali wa Mafisadi watapinga
 
 
Nmewahi kaa huko ubaruku miaka ya nyuma...Hawa jamaa wa ihefu ndo walikuwa wanasambaza umeme ., Ulikuwa Bei chee na haukatikagi mzee Ila walivokuja tanesco ni msala, Tena huko Kuna mashine kubwa za mpunga Ila wanaoata wakijiskia,...tanesco wakaanzisha monopoly system na wakamtoa mchizi , jamaa akatoa waya akawaachia nguzo imara za cement tanesco Sasa anafel,

Huko njombe Kuna mbena anadhalisha umeme na anasambaza na anapiga Mia mia za kutosha tu na ananguzo zake na watu wanaenjoy maisha
 
Kama Zungu na Tozo
 
Umemaliza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…