Kwa sasa Tanesco ni ushirika la umma ni kama inatoa huduma japo lina muhimu kujiendesha kibishara,ikifikia wakati likaondolewa kama huduma na kuweka biashara zaidi hapo ndipo bei zake zitakua kama petrol kwa maana wafanyabishara wanachojali ni faida sio huduma.Kama Tanesco wananunua Umeme Kwa watu binafsi unaonaje hapo?!;..Je serikali inauza umeme ghali au sekta binafsi
Sio kila mtu anayetaka Tanesco iuzwe ni fisadi, ukweli umeme hakuna na uliopo ni bei mbaya sana, labda ungekuwa na biashara au kiwanda ukashindwa kufanya production kwa ajiri ya umeme unaokatika katika na ukaona bill ya Tanesco inavyoua biashara kwa gharama zisizolipika labda ungeweza kunielewaWenye akili watakuelewa,lakini madalali wa Mafisadi watapinga
more than 50 years with 100% monopoly lakini hakuna chochote zaidi ya TANESCO kuendelea kuwaweka watu gizani ,kuua business za watu kwa umeme usiotosha unaokatika ovyo kila siku, na bei mbaya zisizolipika, ungekuwa na biashara au kiwanda ungeelewa jinsi hao wapuuzi wa TANESCO wanavyofanya uzalishaji kuwa close to impossible kwa ajiri ya bills zao, mnachojua ni excuse excuse excuse na visababu chungu nzima kila siku badilikeni na mjaribu kuona ukweliTanesco either kwa makusudi au Bahati mbaya kuna kipindi ilikuwa inanunua umeme kwa hao wadau wako so called investors (Kina Dowans et al) na Gesi nadhani nayo sio yetu walikuwa wanauziwa..., ukiongezea na management mbovu na vyanzo vingine vya HEP kutokufanya vizuri kupelekea kutumia umeme wa diesel it was a recipe for disaster.... That was then...
Kumbuka wakati wote huo Generated Capacity ilikuwa kama 1600MW; Sasa kama tunakaribia kuongeza 2100MW nyingine tena kwa jasho kubwa la watu kupigwa Matozo na Ma - Mikopo ya kufa mtu....., kweli huu ndio wakati wa kuanza kutafuta mnunuzi ?
Ni kama wewe kuku wako ulikuwa unakataa kumuuza wakati ana magonjwa na sasa karibia anaanza kutaga na amepona eti ndio unaona umuuze, ukiulizwa kwanini eti unasema majirani wote wameuza wao....
Kwani kipindi tanesco,wananunua umeme kwa akina IPTl na SongaS,AgreCo,tulipata unafuu upi?kama si kupandisha garama za umeme kila siku?Sio kila mtu anayetaka Tanesco iuzwe ni fisadi, ukweli umeme hakuna na uliopo ni bei mbaya sana, labda ungekuwa na biashara au kiwanda ukashindwa kufanya production kwa ajiri ya umeme unaokatika katika na ukaona bill ya Tanesco inavyoua biashara kwa gharama zisizolipika labda ungeweza kunielewa
Tatizo sio Dowans or Symbion, walaumu wala rushwa incompetent officers wa TANESCO na serikali walioshiriki kutayarisha hiyo mikataba na kuisimamia, and FYI hao maofisa bado wapo wamejaa na ndio wanaendesha TANESCO, endelea kutetea systemFor Profit peleka kwenye luxury au bia na sio vitu muhimu kama nishati na afya za watu (Tukirudi America unaweza kuona kwa jinsi gani Pharmaceuticals na Insurance Companies zinawafanya watu wafe na kutokutibiwa kwa kukosa Bima)...
Unaongelea Investors wawe motivated kuweka pesa zao ? Kwa lipi hasa tunahitaji pesa zao ? Bwawa tunajenga kwa mikopo ambayo hadi watukuu watalipia, Gesi tulishaifikisha mpaka Dar huenda napo kwa madeni mpaka vitukuu..., Umeme vijijini kila mtu analipa anaponunua LUKU..., sasa hao investors waje ili wafanye nini ? (Tugawane faida ya jasho letu) au sisi tuliochumia juani waje kutusaidia kulia kivulini ?
As for ENRON Kampuni ili-file bancruptcy, watu kupoteza pesa zao, na kazi zao.... In short people;s lives were ruined (I don't think the bancruptcy was any consolation)
Unaongelea Monopoly ya Tanesco; kwahio unataka hizi baadhi ya njia zake (distribution tuwape kina Dowans na Symbion) for me badala ya kuwapa hizi kwanini hao investors wasiende huko in the middle of no where waweke miundombinu (kumbuka na hii miundombinu mimi na wewe ni stakeholders sababu tunaichangia kwenye LUKU)
As for generation mbona watu binafsi walishakuja tu kina Dowans na yaliyotupata kila Mtanzania anajua
Kwa mtu yeyote mwenye akili anajua ile mikataba ilikuwa imejaa rushwa tupu na ulaji wa watu, TANESCO na maofisa wa serikali ndio waliotayarisha hiyo mikataba na kuisimamia lakini bado mnawaona ndio wanaweza kuliko private sector, na kwa taarifa yako ingekuwa ni private sector huo upuuzi usingefanyikaKKw
Kwani kipindi tanesco,wananunua umeme kwa akina IPTl na SongaS,AgreCo,tulipata unafuu upi?kama si kupandisha garama za umeme kila siku?
Mkuu kwanza hiyo crdb imetoka wapi na ni kina nani walisababisha kutoka pale ilipokuwa mpaka kufika hapo?.Lakini si umesikia juzi CRDB wamezidi kupaa? Hao ndiyo wachagga bwashee,kimei ameondoka bado anaidai serikali,na crdb inadunda.
Acha roho hii ya kipumbavu namna hii
Weka sheria,zisimamie kwa roho moja,ndio kazi yako
Then privatize kila kitu kwa watu binafsi wawe wa ndani au wa nje,privatize!
Wewe simamia sheria kama FBI au CIA
Ndio kazi yako,mengine ya biashara waachie watu binafsi
Na hii roho ya kipumbavu ya kupenda vitu vya bure au vilivyopoozwa kwa kodi za serikali ni upumbavu na umasikini mwingine wa kujidanganya
Kila kitu unalipiwa ndio maana unatawaliwa kidikteta na kua treated kama hayawani na serikali maana huna utu na sense of kujitegemea na ku-think and do for yourself...Kila kitu unategemea huruma ya wanasiasa serikalini,na wananchi wote mnakua treated kama watoto msiojua lolote
Kuna mashirika ya Serikali kutokana na wajibu wake ni kama idara za Serikali. Yanatakiwa yagharamikiwe na hazina kuu. Yanafanywa mashirika ili kuweza kudhibiti matumizi na kwamba iwepo tija.
Ukitaka kugeuza TANESCO liwe la kibiashara moja kwa moja kwanza utapata muwekezaji gani? Lazima awe wa nje na atakua na nguvu gani ya kisiasa nchini? Yeye atataka faida tu na umeme ndio roho ya uchumi wa nchi.
Sisi tunamlenga nani kuhusu maendeleo? Raia wa kawaida au wawekezaji kutoka nje? Lazima umeme utakua bei mbaya kwa raia wapiga kura na ndio mfarakano utaanzia hapo.
Hii mambo ya kubinafsisha sijui asili mia 20 TANESCO ni ile ile habari ya kubinafsisha TTCL. Wajanja wakawagawia wahindi hisa za TTCL kwa bei ya bure wakati Serikali ishawekeza mabilioni. Kisha wajanja kushirikiana na wahindi wakakwapua celltel kampuni ya TTCL ya simu za mikononi.
Ikawa wahindi wameshika jikoni TTCL wakikamua hela za umma kwa ruzuku za Serikali eti ni wabia wa TTCL. Magufuli akaja kuwafukuza wahindi na kuirejesha kampuni yake ya mkononi kwa kuhakikisha serikali inapewa hisa stahiki.
Sio kila anayejidai ana uthubutu ana uwezo au nia nzuri. Mashirika kama TANESCO au TTCL sio ya kuwekwa sokoni kama njuku.
Wanaoweza kuyaendesha kwa kufikia malengo yake kwa nchi kama Tanzania hakuna. Ni watanzania gani utawashawishi kuwekeza tanesco?
Hivi unaweza mshawishi mtu awekeze kwa gereza. Gereza linaweza kua mradi wa kibiashara? ..sina hakika wala sijaona. Lakini si lazima magereza yawepo? Kuna mambo lazima yawe jukumu la serikali. Ndio maana kuna kodi.
Tukikubaliana na uhuni huu wa january na zitto akijidai mpendekezaji wa hoja tunaona yale ya TTCL, TRC, na ule mradi wa umeme wa makaa kule Songwe mbeya uhuni ule wa simon group kuhusu uda na kwingine.
La kufanyika ni uongozi imara wa kisiasa usiyokua na mchezo kudhibiti mashirika makubwa ya umma kuhakikisha hakuna ubadhirifu na inakwepo tija.
Kutunga sheria za udhibiti wa chochote nchi hii ni bunge
Msimamizi wa hizi sheria katika level za FBI na CIA ni kazi ya serikali
Sasa wanaona kufanya kazi zao hizo ambazo ndio za msingi,wanaona ni rahisi kufanya kazi zisizowahusu za kufanya biashara?
Ndio maana Marekani na free capitalist countries will forever be the best nations on earth!
Unajua tofauti ya huduma na biashara?!!..Nani alikwambia Tanesco haifanyi biashara?..Kwa sasa Tanesco ni ushirika la umma ni kama inatoa huduma japo lina muhimu kujiendesha kibishara,ikifikia wakati likaondolewa kama huduma na kuweka biashara zaidi hapo ndipo bei zake zitakua kama petrol kwa maana wafanyabishara wanachojali ni faida sio huduma.
Hilo wazo la watu kubinafisha TANESCO ni upunguwani...Chochote kilichobinafsishwa Kwa ufasaha kinafanya vizuri sana!!!...NBC,NMB,CRDB unajua kwanini umeme unaleta shida kila siku?.. Shirika hili la Tanesco halina mshindani ndio maana hata ufanisi ni sifuri!!!..Unajiuliza kwanini Taasisi kama hii ambayo ina vyuo vyake inashindwa kuwa na weledi kwenye kuhudumia wananchi?!!.. Tanesco lazima wabinafsishe tukitaka twende mbele lakini kama tutaendeleza huu utumbo hakika siku nchi itakua kiza yote na hakuna wakusema!!
Net group!!!... Serikali yako ndio ili leta shida!!Marehemu BWM alijaribu kubinafsisha management ya Tanesco ili iwe chini ya net proof ya SA....ilitokea shida kubwa sana
Ndugu mwandishi nataka nikufahamishe Tanesco bado inauzwa umeme na hayo makampuni!!!.. Yawezekana hujui lakini Usipende kupotosha!!Tanesco either kwa makusudi au Bahati mbaya kuna kipindi ilikuwa inanunua umeme kwa hao wadau wako so called investors (Kina Dowans et al) na Gesi nadhani nayo sio yetu walikuwa wanauziwa..., ukiongezea na management mbovu na vyanzo vingine vya HEP kutokufanya vizuri kupelekea kutumia umeme wa diesel it was a recipe for disaster.... That was then...
Kumbuka wakati wote huo Generated Capacity ilikuwa kama 1600MW; Sasa kama tunakaribia kuongeza 2100MW nyingine tena kwa jasho kubwa la watu kupigwa Matozo na Ma - Mikopo ya kufa mtu....., kweli huu ndio wakati wa kuanza kutafuta mnunuzi ?
Ni kama wewe kuku wako ulikuwa unakataa kumuuza wakati ana magonjwa na sasa karibia anaanza kutaga na amepona eti ndio unaona umuuze, ukiulizwa kwanini eti unasema majirani wote wameuza wao....
Wewe ni mjinga hujui Kitu, huwezi ukabinafsisha Shirika la UmemeNet group!!!... Serikali yako ndio ili leta shida!!
Ndugu mwandishi nataka nikurekebishe kabla huja endelea unataka ujue shirika lako lina nunua umeme mwingi kuliko linanavyo zalisha lenyewe!!!.. Ndugu Mwandishi wabia wengi waliowahi kuingia Tanesco (Net group) walishindwa kwasababu Serikali yako ilikua hailipi!!!.. Ndugu mwandishi kuna watu binafsi wanaidai Tanesco mabillion tokea miaka 20 iliyopita na hadi Leo hawajui zinapatikana wapi?!!.. Ndugu mwandishi unajua ukinunua Mafuta Una changia REA?!!..Sasa kama Unaweka Fedha huko na Bado bei ya umeme ni kubwa, unadhani bado twendelee na hii habari kweli!!!.. Ndugu mwandishi twelezee interest zako kwenye shirika hili!!For Profit peleka kwenye luxury au bia na sio vitu muhimu kama nishati na afya za watu (Tukirudi America unaweza kuona kwa jinsi gani Pharmaceuticals na Insurance Companies zinawafanya watu wafe na kutokutibiwa kwa kukosa Bima)...
Unaongelea Investors wawe motivated kuweka pesa zao ? Kwa lipi hasa tunahitaji pesa zao ? Bwawa tunajenga kwa mikopo ambayo hadi watukuu watalipia, Gesi tulishaifikisha mpaka Dar huenda napo kwa madeni mpaka vitukuu..., Umeme vijijini kila mtu analipa anaponunua LUKU..., sasa hao investors waje ili wafanye nini ? (Tugawane faida ya jasho letu) au sisi tuliochumia juani waje kutusaidia kulia kivulini ?
As for ENRON Kampuni ili-file bancruptcy, watu kupoteza pesa zao, na kazi zao.... In short people;s lives were ruined (I don't think the bancruptcy was any consolation)
Unaongelea Monopoly ya Tanesco; kwahio unataka hizi baadhi ya njia zake (distribution tuwape kina Dowans na Symbion) for me badala ya kuwapa hizi kwanini hao investors wasiende huko in the middle of no where waweke miundombinu (kumbuka na hii miundombinu mimi na wewe ni stakeholders sababu tunaichangia kwenye LUKU)
As for generation mbona watu binafsi walishakuja tu kina Dowans na yaliyotupata kila Mtanzania anajua
Tanesco ina madeni tu na bado haijaweza kulipa hata robo!!!...Acha propogandaNachofaham JPM aliitoa Tanesco kutoka kwenye madeni ya mikataba yote ya kinyonyaji ikiwemo IPTL ,na Ata ewura walipo tangazaga kukubali bei ya umeme kupanda aliwatumbua sababu tayari shirika lilikua halina tena mzigo wa madeni,
Na alikua anasubiri bwawa Rufiji likamilike ili unit ya umeme ishuke Bei
Leo nimesoma mahali Tanesco imetengeneza faida ya Tsh Bil 52 ,
Sasa nini kinatafutwa!?
Inachotaka Tanesco ni utashi tu wa viongozi
Umeme deni,Maji deni,Madawa deni, Technology deni,Elimu deni!!!..Mnadaiwa kila kitu na nani?!
Hebu osha uso wako ndugu mwandishi!!Atcl,Tls,mashirika haya yalikuwa hoi, Sasahivi train mpaka kilimanjaro, Kitu ambacho kilikuwa kimesaulika, Sasahivi ndege ya Atcl mpaka washington, shirika kalifufua Magufuri