Tunapotaka kutumia nguvu kubwa Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC je, tunaoenda kukutana nao Semi Finals tutawaweza?

Tunapotaka kutumia nguvu kubwa Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC je, tunaoenda kukutana nao Semi Finals tutawaweza?

Najua kuanzia sasa nguvu Kubwa ya Kupindua Meza (kwa Fitna za nje ya Uwanja) zitaanza Kutumika ili Kuwafunga Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo huku tukidanganywa sana kuhusu uwezo wa Timu yetu na Kuaminishwa mno na Kauli Mbiu za Kibabe za Kuujaza Uwanja ili Mapato yapatikane wakati wenye Kuujua vyema Mpira tumeshajua kuwa Safari yetu kwa Msimu huu ndiyo imefikia Tamati hapa na kwa wengi huu ni Ukweli Mchungu.

Kwa nilivyozitizama Klabu Kubwa Tatu ambazo nimehisi huenda Simba SC ikakutana nazo kama itabahatika Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC huenda huko mbele tukaja Kufungwa hata Goli 13 na mojawapo ya hizo Timu kwani zina uwezo mkubwa sana na Wachezaji wa Daraja la Juu ambao kwa Simba SC yetu ni Maji marefu kweli kweli Kushindana ( Kupambana ) nao.

Jana nimewatizama Wydad Casablanca, Esperance du Tunis na Mamelodi Sundowns (ambao Wote hawa ni African Soccer Giants kwa sasa ) ambao najua kama Simba SC itakutana na Mmoja wapo katika CAF CL Semi Finals kuna Hatari ya Kupokea Kipigo Kitakatifu (cha Kishalubela) zaidi ya tulichokipokea Jana pale Soccer City FNB Stadium Johannesburg Afrika Kusini kutoka kwa Kaizer Chiefs FC.

Ushauri wangu wa bure tu kwa Simba SC (ambao najua utawaudhi Wapuuzi, Wanafiki na Washamba kadhaa) ni kwamba Simba SC tusitumie Nguvu Kubwa Kupindua Matokeo bali tuitumie tu hiyo Mechi kama sehemu ya Kujifunza zaidi na kupata Uzoefu ili basi Msimu ujao tukiingia tuwe tumejidhatiti vya Kutosha kwa Kufika mbali Kimashindano.

Kwa Kikosi cha sasa cha Simba SC Kulazimisha kufika Nusu Fainali ya CAF CL na kukutana na hao Giants Watatu niliowataja hapo juu ( ambao uwezo wao ni maradufu ya Kaizer Chiefs FC waliotuadhibu Kikatili jana ) ni Kujitafutia tu Aibu nyingine na tuzidi Kuchekwa na Watani zetu wakubwa Yanga SC ( japo na Wao Timu yao hivi sasa ni kama tu Mgonjwa anayekaribia Kukata Roho ) katika Kuwania Ubingwa wa VPL ambao kuna uwezekano mkubwa wasiupate kwa miaka kadhaa mpaka wakijirekebisha Kiufundi na Timu yao pamoja na Uongozi wao mzima.

Nimefurahi kumsikia Mwekezaji Mo Dewji akisema kuwa amehairisha Kununua Magari yake Mawili aina ya Ferrari na Rolls Royce ili astarehe nayo na ajikite Kuisaidia zaidi Klabu yake pendwa ya Simba SC.

Nami GENTAMYCINE namshauri Mwekezaji Mo Dewji kwamba kama kweli kapania kuachana na Starehe ya Kuyanunua hayo Magari ili aisaidie Simba SC namuomba hizo Pesa azitumie Kusajilia Wachezaji wakubwa, mahiri na wa Kiwango cha Kimataifa na Kimashindano hasa ili tukicheza tena Champions League Msimu ujao lengo letu lisiwe tena kufika Robo au Nusu bali liwe ni Kufika Fainali na kubeba Kombe kabisa la Afrika kwa mara ya Kwanza.

Binafsi kwa Kikosi cha Simba SC cha sasa ( ambacho si cha Kucheza Nusu Fainali ya CAF CL ) kutokana na kuwa na Mapungufu makubwa hasa ya Kiufundi hata tukiishia hapa Robo Fainali kwa kutolewa jumla na Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo bado nitajiona nimejitahidi na Kukazia katika Lengo na kamwe sitochukia au kujisikia vibaya kwani nitakuwa nimetolewa katika hatua nzuri ya Kimashindano na Timu Bora pia kwa bara la Afrika.

Timu ikirejea Kesho Watafutwe haraka Wataalam wa Saikolojia ili wawajenge upya Wachezaji wetu na warudi katika hali zao kwani kwa Jicho langu Kali la Kisaikolojia leo katika recovery session yao pale Kambini Afrika Kusini nimeona almost 95% ya Wachezaji wa Simba SC wamekuwa affected psychologically hivyo kama hawatopata thorough counseling huenda Timu ikapoteza kwa margin kubwa zaidi ya Goli zile Nne ( 4 ) za Jana.

Mpira wa sasa ni wa Kisayansi zaidi hivyo nasi tubadilike na tuacheni na huu Upuuzi Upuuzi wetu wa mambo ya Kiswahili ya nje ya Uwanja ( sijui Kuroga sana na Kupulizia mno Dawa 4-4-2 Vyumbani ) hayatatusaidia lolote na sana sana tutazidi Kuharibikiwa tu na kuonena ni Wapumbavu wa Kiwango kisichovumilika tena katika hii dunia ya Kisasa yenye kuhitaji Fikra, Ubunifu na Mipango thabiti yenye Mikakati endelevu.
Simba anaponzwa na ligi ya nyumbani, ligi ina timu dhaifu nyingi mno
 
Una Akili sawa sawa Wewe? Mechi ni Jumamosi hii ijayo na Timu inaingia leo Jumatatu itachezaje hizo Mechi Mbili wakati hata Kanuni tu za FIFA zinasema Timu inatakiwa ipishane Kucheza Mechi zake kila baada ya Saa 72?

Muwe mnachangia kwa kutumia Akili sometimes kwani mnakera na kuchosha pia. Na kama unajua hujui Masuala ya Mpira ni vyema ukaacha tu Kushadadia na ukachangia Upopoma mtupu tu.
EPL team kuna mda zinacheza mechi baada ya masaa 48
 
Pumbavu hivi nimetaja Mamelodi Sundowns tu pekee? Sijazitaja na Wydad Casablanca pamoja na Esperance du Tunis?

Na nimezitaja hizi Timu Tatu baada ya Kuangalia Mechi za Semi Finals CL zilivyopangwa na CAF na iwe isiwe Simba SC ikiingia itakutana na mojawapo ya hizo Timu.

Huna ukijuacho hivyo kuwa Msomaji tu.
Mamelody kafungwa alafu unamuwazia semi final kweli wewe ni Boflo kama xhaka humudu
 
Sasa kama umeshajua na unajua Mimi ni Mnafiki na siitakii Mema Simba SC kwanini huwa unapoteza muda wako Kunisoma hapa JamiiForums na hata Kuchangia Threads zangu pia?

Kuamini Uchawi ( Njia Mbadala ) ni tatizo? Kuna Uchawi wa Faida na wa Hasara kwa Mwanadamu au kutokana na Upumbavu wako wa Kurithishwa na waliohangaika Kukuleta duniani hujui?

Kama Uchawi ni mbaya inakuwaje katika Mafunzo ya Ukomandoo Cuba, Israel na China ( bila kusahau katika nchi zote za Afrika ) kuna Kipengele cha Utumiaji wa Ndumba ( Uchawi ) kwa recruits wa Kozi hii / hiyo?

Kinachowasumbueni baadhi ya Mashabiki Wapumbavu ( Fools ) wa Simba SC wakiongozwa na Wewe Kinara Wao Mkuu mnataka ( mnapenda ) Mtu akiwa ni Shabiki wa Simba SC basi awe tu anatetea Upuuzi na anaisifia ila asiwe ( asithubutu ) Kuikosoa.

Sina Unafiki na Upumbavu huo na tena huenda GENTAMYCINE nikawa ndiyo Mshabiki mzuri wa Simba SC kuliko Wewe ( Nyie ) Wapuuzi wachache na ndiyo maana huwa napenda Kukosoa, Kushauri na Kutahadharisha ili Timu ipate Maendeleo.

Na nazidi Kukujaza Hasira tena kwa Kukuhakikishia kuwa Kiufundi ( hasa nilivyoiona Simba SC na Uchezaji wa Kaizer Chiefs FC ) kwa 99.9% tumeshatoka tayari, ila kwa Bahati na Fitna ya Kupulizia Dawa ( 4-4-2 ) Vyumbani na katika Basi litakalowabeba Simba SC inaweza Kupindua Meza na ikaifunga Kaizer Chiefs FC hata Goli 5 au 6 Wikiendi ijayo.

Ninapenda Kuchukiwa na Wapumbavu.
Bila kuongelea ukomandoo haupati furaha njoo Mgulani uchague anaekufaa
 
Wewe Ni mbumbumbu Sana.Wala hujitambui.

Kwahiyo Simba wasijipange ili kupata matokeo wasonge mbele kwa sababu kuna Mamelod,Wydad.Nina mashaka na ubongo wako.Hauko sawa.

Simba ikiweza kupindua meza unajua Ni kiasi gani cha fedha kitapatikana kutokana tu na kufikia semi final.Umeshawaza hili?

Tangu Simba inaanza haya mashindano unafikiri walikuwa hawajui kwamba kuna timu km Al Ahly,Wydad au Mamelodi? Na Ni timu zenye ubora?

Unawezaje kufikia quarter final halafu usitamani kucheza semi final eti uwaachie wengine kwamba wewe huna uwezo?

Simba haikufika hapo kwa kubahatisha Ni mpira wa viwango ulichezwa na kupata matokeo bora.Hayo ya uchawi Ni mentality yako.

Tumeona Mamelodi kafungwa na Al Ahly kwa hiyo mamelodi Ni underdog? Kwahiyo nao basi wamwachie Al Ahly na wasijipange na mechi inauofuata ili waweze kusonga mbele?

Kuna mambo umeandika ya maana lkn mengi uliyoandika yanawakilisha Mentality ile ile ya Kitanzania ya MAWAZO ya KIMASKINI ,unyonge ,watu wasioweza jambo lolote,watu wasiojiamini,watu wasio na malengo makubwa.Watu wa kuamini wale wanaweza sisi hatuwezi.

SIMBA ina uwezo wa kuutumia vyema uwanja wao wa nyumbani,kurekebisha kasoro za awali na kupata matokeo bora na kuingia hatua inayofuata.Inawezekana ,huu ni mpira inawezekana!!

Simba imeenda kushindana si kushiriki.Hawajafikia hapo bahati mbaya.

Povu ruksaaaaa,tukana,beza RUKSAAAA.

Una mawazo ya kimaskini!!!
Ulivyoandika Povu ...... nikajua jinsi gani ulivyo empty skull
 
Kwa muendelezo ule ule wa Kudekezwa na TFF haitacheza Mchezo wowote wa VPL ili wajiandae na Mechi hiyo ya marudiano Wikiendi ijayo huku Wakiroga sana, Wakiuroga Uwanja na wakianza Kupulizia Dawa ( 4-4-2 ) Vyumbani ili Wapindue Meza na Lengo la Kufuzu CAF CL Semi Finals litimie.
Huwa unakuwepo wakati wanaroga na kupulizia dawa?
 
Huwa unakuwepo wakati wanaroga na kupulizia dawa?
Nimeshairogea sana Simba SC tena nikiwa na akina Juma Nkamia na Kassim Dewji ( KD ) katika Mechi Tatu Mbili za Kimataifa na Moja ya VPL na zote Simba SC ilishinda.

Kama hiyo haitoshi kuna Umafia mkubwa niliufanya kwa Nkana FC ilipocheza na Simba SC nikishirikiana na Waandishi Wanne wa Habari pale Getini Mkapa Stadium hadi Maofisa wa Nkana FC wakawa wananitafuta Kunidhuru ila Mafia nilishatoka pale na Chama akapiga Bonge la Bao Simba SC ikafuzu.

Unataka nikupe mengine au hii yatosha?
 
Na wameshajua Simba anafigisu za nje ya uwanja hivyo timu yeyote atakayokutana nayo akienda away atapigwa mpaka 20 goals ili wajiweke vzr na figisu za mikia Kwa mkapa
 
Una Akili sawa sawa Wewe? Mechi ni Jumamosi hii ijayo na Timu inaingia leo Jumatatu itachezaje hizo Mechi Mbili wakati hata Kanuni tu za FIFA zinasema Timu inatakiwa ipishane Kucheza Mechi zake kila baada ya Saa 72?

Muwe mnachangia kwa kutumia Akili sometimes kwani mnakera na kuchosha pia. Na kama unajua hujui Masuala ya Mpira ni vyema ukaacha tu Kushadadia na ukachangia Upopoma mtupu tu.
48 hrs mkulu
 
Waleteeni ujinga wa nje ya uwanja ndipo mtakapojua rais mpya wa CAF ni Patrice Motsepe kutoka South Africa
alipoingia Tu akapiga marufuku mashabiki uwanjani


Hata Kwa mkapa sijui kama wataruhu na hivi kamati imesema covid ipo na serikali itangaze


Na Simba wajue JPM amechangia pakubwa sna kufikia hapo walipofika
 
Duuu sasa ni bora mngekutana na Mamelod kuliko hao wengine. Amini hii!
Nishawaambia mara [emoji817] mamelod na sio kaizer chiefs hiyo siyo level Yao kabisa

Mpira wao ni tofauti kabisa na wao

Hawa kaizer wanamipira yote mpira wa don't touch wakiamua utapennda hata Simba hawawezi , mpira wa butua Kwa malengo wanao balaa ndo huo Simba wamechezeshwa 4

Pia wanacheza mchezo poa wanaweza kupoteza muda hasa kwa kumiliki wakicheza kama hawataki


Hawa jamaa siyo level ya Simba mwaka huu


Labda next time
 
Nishawaambia mara [emoji817] mamelod na sio kaizer chiefs hiyo siyo level Yao kabisa

Mpira wao ni tofauti kabisa na wao

Hawa kaizer wanamipira yote mpira wa don't touch wakiamua utapennda hata Simba hawawezi , mpira wa butua Kwa malengo wanao balaa ndo huo Simba wamechezeshwa 4

Pia wanacheza mchezo poa wanaweza kupoteza muda hasa kwa kumiliki wakicheza kama hawataki


Hawa jamaa siyo level ya Simba mwaka huu


Labda next time
Ndugu tukumbuke kuweka akiba ya maneno, mpira una mambo mengine jamani. Usije shangaa Simba wakafanya kila aina ya mbinu iwe za ndani ya uwanja ama nje ya uwanja na mwisho wa siku tukawakataa tena kaizer chiefs kama ndio wale wale waliokuwa south.
 
Ndugu tukumbuke kuweka akiba ya maneno, mpira una mambo mengine jamani. Usije shangaa Simba wakafanya kila aina ya mbinu iwe za ndani ya uwanja ama nje ya uwanja na mwisho wa siku tukawakataa tena kaizer chiefs kama ndio wale wale waliokuwa south.
Tunajua Simba wanahusudu sana uchawi na ndiyo jadi Yao


Nakuhakikishia hao siyo kuwa wapo hovyo kama nkana utakuja uone

Na kama wakipuliza madawa ya kisasa watajulikana


Simba hata south angefanya Tu umafia kaenda Kongo kafanya kaenda misri kafanya

Hawa jamaa ujue siyo urembo urembo
 
Pumbavu hivi nimetaja Mamelodi Sundowns tu pekee? Sijazitaja na Wydad Casablanca pamoja na Esperance du Tunis?

Na nimezitaja hizi Timu Tatu baada ya Kuangalia Mechi za Semi Finals CL zilivyopangwa na CAF na iwe isiwe Simba SC ikiingia itakutana na mojawapo ya hizo Timu.

Huna ukijuacho hivyo kuwa Msomaji tu.
[emoji2][emoji2][emoji2]shikamoo genta
 
Niliangalia mechi ya mamelody na Al ahly..aisee sisi bado sana
Hiyo Al Ahly ni mpya au ni ile Simba walicheza nayo group stage.Mnawaza kwa kutumia nini?

Yani mentality ya mitanzania mingi Ni ya kimaskini Sana, Unyonge, kutojiamini,watu wasio na malengo.Kila kitu sisi hatuwezi,kila kitu sisi bado sana.

Sijawahi kujua mnatumia nini kuwaza.
 
Najua kuanzia sasa nguvu Kubwa ya Kupindua Meza (kwa Fitna za nje ya Uwanja) zitaanza Kutumika ili Kuwafunga Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo huku tukidanganywa sana kuhusu uwezo wa Timu yetu na Kuaminishwa mno na Kauli Mbiu za Kibabe za Kuujaza Uwanja ili Mapato yapatikane wakati wenye Kuujua vyema Mpira tumeshajua kuwa Safari yetu kwa Msimu huu ndiyo imefikia Tamati hapa na kwa wengi huu ni Ukweli Mchungu.

Kwa nilivyozitizama Klabu Kubwa Tatu ambazo nimehisi huenda Simba SC ikakutana nazo kama itabahatika Kupindua Meza kwa Kaizer Chiefs FC huenda huko mbele tukaja Kufungwa hata Goli 13 na mojawapo ya hizo Timu kwani zina uwezo mkubwa sana na Wachezaji wa Daraja la Juu ambao kwa Simba SC yetu ni Maji marefu kweli kweli Kushindana ( Kupambana ) nao.

Jana nimewatizama Wydad Casablanca, Esperance du Tunis na Mamelodi Sundowns (ambao Wote hawa ni African Soccer Giants kwa sasa ) ambao najua kama Simba SC itakutana na Mmoja wapo katika CAF CL Semi Finals kuna Hatari ya Kupokea Kipigo Kitakatifu (cha Kishalubela) zaidi ya tulichokipokea Jana pale Soccer City FNB Stadium Johannesburg Afrika Kusini kutoka kwa Kaizer Chiefs FC.

Ushauri wangu wa bure tu kwa Simba SC (ambao najua utawaudhi Wapuuzi, Wanafiki na Washamba kadhaa) ni kwamba Simba SC tusitumie Nguvu Kubwa Kupindua Matokeo bali tuitumie tu hiyo Mechi kama sehemu ya Kujifunza zaidi na kupata Uzoefu ili basi Msimu ujao tukiingia tuwe tumejidhatiti vya Kutosha kwa Kufika mbali Kimashindano.

Kwa Kikosi cha sasa cha Simba SC Kulazimisha kufika Nusu Fainali ya CAF CL na kukutana na hao Giants Watatu niliowataja hapo juu ( ambao uwezo wao ni maradufu ya Kaizer Chiefs FC waliotuadhibu Kikatili jana ) ni Kujitafutia tu Aibu nyingine na tuzidi Kuchekwa na Watani zetu wakubwa Yanga SC ( japo na Wao Timu yao hivi sasa ni kama tu Mgonjwa anayekaribia Kukata Roho ) katika Kuwania Ubingwa wa VPL ambao kuna uwezekano mkubwa wasiupate kwa miaka kadhaa mpaka wakijirekebisha Kiufundi na Timu yao pamoja na Uongozi wao mzima.

Nimefurahi kumsikia Mwekezaji Mo Dewji akisema kuwa amehairisha Kununua Magari yake Mawili aina ya Ferrari na Rolls Royce ili astarehe nayo na ajikite Kuisaidia zaidi Klabu yake pendwa ya Simba SC.

Nami GENTAMYCINE namshauri Mwekezaji Mo Dewji kwamba kama kweli kapania kuachana na Starehe ya Kuyanunua hayo Magari ili aisaidie Simba SC namuomba hizo Pesa azitumie Kusajilia Wachezaji wakubwa, mahiri na wa Kiwango cha Kimataifa na Kimashindano hasa ili tukicheza tena Champions League Msimu ujao lengo letu lisiwe tena kufika Robo au Nusu bali liwe ni Kufika Fainali na kubeba Kombe kabisa la Afrika kwa mara ya Kwanza.

Binafsi kwa Kikosi cha Simba SC cha sasa ( ambacho si cha Kucheza Nusu Fainali ya CAF CL ) kutokana na kuwa na Mapungufu makubwa hasa ya Kiufundi hata tukiishia hapa Robo Fainali kwa kutolewa jumla na Kaizer Chiefs FC Wikiendi ijayo bado nitajiona nimejitahidi na Kukazia katika Lengo na kamwe sitochukia au kujisikia vibaya kwani nitakuwa nimetolewa katika hatua nzuri ya Kimashindano na Timu Bora pia kwa bara la Afrika.

Timu ikirejea Kesho Watafutwe haraka Wataalam wa Saikolojia ili wawajenge upya Wachezaji wetu na warudi katika hali zao kwani kwa Jicho langu Kali la Kisaikolojia leo katika recovery session yao pale Kambini Afrika Kusini nimeona almost 95% ya Wachezaji wa Simba SC wamekuwa affected psychologically hivyo kama hawatopata thorough counseling huenda Timu ikapoteza kwa margin kubwa zaidi ya Goli zile Nne ( 4 ) za Jana.

Mpira wa sasa ni wa Kisayansi zaidi hivyo nasi tubadilike na tuacheni na huu Upuuzi Upuuzi wetu wa mambo ya Kiswahili ya nje ya Uwanja ( sijui Kuroga sana na Kupulizia mno Dawa 4-4-2 Vyumbani ) hayatatusaidia lolote na sana sana tutazidi Kuharibikiwa tu na kuonena ni Wapumbavu wa Kiwango kisichovumilika tena katika hii dunia ya Kisasa yenye kuhitaji Fikra, Ubunifu na Mipango thabiti yenye Mikakati endelevu.
Kikweli ktk timu zote nane simba ndio alikua underdog na kila timu ilitamani kupangwa na simba.
Chief walifurahi sana kupangwa na simba
 
Back
Top Bottom